Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Saudia

  • Jeshi la Yemen lashambulia kwa makombora maeneo ya kijeshi ya Wasaudia

    Jeshi la Yemen lashambulia kwa makombora maeneo ya kijeshi ya Wasaudia

    Mar 09, 2017 04:30

    Jeshi la Yemen kwa kushirikiana na harakati ya wananchi ya Answarullah, limeshambulia kwa kombora la balestiki, eneo la mkusanyiko la askari vibaraka wa Saudia katika mji wa al-Makha katika mkoa wa Taiz nchini humo.

  • Malaysia yawatia mbaroni watuhumiwa wa njama ya kumuua Mfalme Salman wa Saudia

    Malaysia yawatia mbaroni watuhumiwa wa njama ya kumuua Mfalme Salman wa Saudia

    Mar 07, 2017 12:07

    Serikali ya Malyasia imedai kuwa, ilizima njama ya jaribio la kutaka kumuua Mfalme Salman bin Abdul Aziz wa Saudi Arabia aliyeko katika safari ya kuzitembelea nchi kadhaa za mashariki mwa Asia.

  • Mfalme wa Saudia asitisha safari yake Lebanon kwa kuumizwa na mahusiano ya Rais Aoun na Hizbullah

    Mfalme wa Saudia asitisha safari yake Lebanon kwa kuumizwa na mahusiano ya Rais Aoun na Hizbullah

    Mar 07, 2017 01:12

    Mfalme Salman bin Abdulaziz Al Saud wa nchini Saudia, amesitisha safari yake nchini Lebanon kutokana na misimamo chanya ya Rais Michel Aoun wa nchi hiyo katika kuunga mkono Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah.

  • Wananchi wa Yemen waandamana tena dhidi ya Saudia

    Wananchi wa Yemen waandamana tena dhidi ya Saudia

    Mar 04, 2017 04:03

    Makumi ya maelfu ya wananchi wa Yemen kwa mara nyingine tena wamejitokeza mabarabarani kushiriki maandamano ya kulaani uvamizi na hujuma za kijeshi za utawala wa Saudi Arabia.

  • Hizbullah: Saudi Arabia inafanya juhudi za kusaidia Israel iendelee kuwepo

    Hizbullah: Saudi Arabia inafanya juhudi za kusaidia Israel iendelee kuwepo

    Feb 26, 2017 12:47

    Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Muqawama ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, hii leo watu wote wameelewa wazi kwamba, Saudi Arabia inafuatilia kuwa na uhusiano na Israel na inafanya juhudi za kuusaidia utawala huo vamizi uendelee kuwepo.

  • Wanajeshi wa Yemen waangamiza mamluki, kusini mwa Saudia

    Wanajeshi wa Yemen waangamiza mamluki, kusini mwa Saudia

    Feb 24, 2017 04:39

    Jeshi la Yemen na vikosi vya kujitolea vya wananchi wa nchi hiyo vimeshambulia kwa kombora kituo cha komandi ya kijeshi cha Saudi Arabia katika eneo la Asir la kusini mwa Saudia na kuangamiza mamluki kadhaa wa nchi hiyo.

  • Mfalme wa Saudia kutumia mamilioni ya dola kustarehe Indonesia

    Mfalme wa Saudia kutumia mamilioni ya dola kustarehe Indonesia

    Feb 23, 2017 03:09

    Mfalme Salman bin Abdulaziz wa Saudi Arabia anatazamiwa kuelekea Indonesia mapema mwezi Machi kwa ajili ya safari ya starehe na anasa itakayogharimu mamilioni ya dola.

  • Wapalestina: Uungaji mkono wa Iran kwa Palestina ndio umeifanya Saudia iichukie Tehran

    Wapalestina: Uungaji mkono wa Iran kwa Palestina ndio umeifanya Saudia iichukie Tehran

    Feb 20, 2017 04:07

    Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Ukombozi wa Palestina amesema kuwa, Saudia inapingana na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kutokana na hatua ya Tehran kuiunga mkono Palestina.

  • Qassemi: Kufanana misimamo ya Israel na Saudia sio jambo la ghafla

    Qassemi: Kufanana misimamo ya Israel na Saudia sio jambo la ghafla

    Feb 20, 2017 03:55

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kufanana misimamo hasi dhidi ya Iran ya Kiislamu ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudia na Waziri wa Vita wa Israel katika kikao cha Usalama cha mjini Munich, Ujerumani sio jambo la ghafla.

  • Saudia yanunua idadi kubwa ya 'silaha za kichokozi'

    Saudia yanunua idadi kubwa ya 'silaha za kichokozi'

    Feb 17, 2017 23:09

    Wataalamu wa kijeshi wamefichua kuwa, Saudi Arabia na nchi kadhaa za Kiarabu zinazopata himaya ya nchi za Magharibi zimenunua idadi kubwa ya silaha za 'kichokozi' na zenye uwezo wa kutumika kuhujumu masafa ya mbali.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS