Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

shahid

  • Wapalestina wasiopungua 94 wameuawa shahidi Gaza katika saa 24; 180 waaga dunia kwa njaa

    Wapalestina wasiopungua 94 wameuawa shahidi Gaza katika saa 24; 180 waaga dunia kwa njaa

    Aug 04, 2025 10:40

    Vyombo vya habari vimetangaza kuwa Wapalestina wengine wasiopungua 23 wameuawa shahidi katika mashambulizi ya jeshi la utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Gaza.

  • Wapalestina 127 wameshakufa shahidi kutokana na njaa na lisheduni katika Ukanda wa Ghaza

    Wapalestina 127 wameshakufa shahidi kutokana na njaa na lisheduni katika Ukanda wa Ghaza

    Jul 27, 2025 11:08

    Maafisa wa utoaji misaada katika Ukanda wa Ghaza wametangaza leo kuwa watu 127 wamekufa shahidi kwa utapiamlo na njaa kutokana na mzingiro mkubwa lililowekewa eneo hilo na utawala wa kizayuni na hatua ya utawala huo ghasibu ya kuzuia uingizaji misaada ya kibinadamu.

  • NGO: Israel inashikilia miili ya Wapalestina 198 waliouawa mwaka 2024

    NGO: Israel inashikilia miili ya Wapalestina 198 waliouawa mwaka 2024

    Jan 01, 2025 13:02

    Kampeni ya Kitaifa ya Kurejesha Miili ya Mashahidi (The National Campaign to Retrieve Martyrs' Bodies) imeeleza kuwa viongozi wa utawala ghasibu wa Israel wanashikilia miiili ya mashahidi wa Kipalestina 198 walisajiliwa mwaka jana wa 2024.

  • Kamanda Qaani: Tutakuwa bega kwa bega na Hizbullah hadi Quds na Palestina zitakapokombolewa

    Kamanda Qaani: Tutakuwa bega kwa bega na Hizbullah hadi Quds na Palestina zitakapokombolewa

    Sep 30, 2024 03:30

    Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema, Iran itakuwa bega kwa bega na harakati ya Muqawama ya Lebanon ya Hizbullah hadi ukombozi wa Palestina na Quds Tukufu.

  • Maafisa wa jeshi la Syria washiriki katika hitma ya shahidi Brigedia Jenerali Razi Mousavi

    Maafisa wa jeshi la Syria washiriki katika hitma ya shahidi Brigedia Jenerali Razi Mousavi

    Dec 26, 2023 11:59

    Maafisa wa kijeshi na wa jeshi la Syria leo Jumanne wameshiriki katika hitma ya shahidi Brigedia Jenerali Sayyid Razi Mousavi katika ubalozi wa Iran huko Damascus, Syria.

  • Idadi ya waliouawa katika mripuko uliotokea jana Kunduz Afghanistan yafikia watu 33

    Idadi ya waliouawa katika mripuko uliotokea jana Kunduz Afghanistan yafikia watu 33

    Apr 23, 2022 07:26

    Idadi ya watu waliouawa shahidi katika shambulio la kigaidi lililotokea jana kwenye Msikiti mmoja wakati wa Sala ya Ijumaa huko Kunduz, kaskazini mwa Afghanistan wamefikia Waislamu 33.

  • Umoja wa Mataifa wakabidhiwa nyaraka za Wairani 17,000 waliouawa shahidi nchini

    Umoja wa Mataifa wakabidhiwa nyaraka za Wairani 17,000 waliouawa shahidi nchini

    Jun 17, 2020 02:43

    Shirika moja la kutetea haki za binadamu nchini Iran limeukabidhi Umoja wa Mataifa nyaraka kuhusu namna Wairani 17,000 waliovyouawa shahidi katika hujuma za kigaidi nchini.

  • Umoja wa Mataifa wakabidhiwa nyaraka za Wairani 17,000 waliouawa shahidi nchini

    Umoja wa Mataifa wakabidhiwa nyaraka za Wairani 17,000 waliouawa shahidi nchini

    Jun 17, 2020 01:16

    Shirika moja la kutetea haki za binadamu nchini Iran limeukabidhi Umoja wa Mataifa nyaraka kuhusu namna Wairani 17,000 waliovyouawa shahidi katika hujuma za kigaidi nchini.

  • Mwili mtoharifu wa Shahidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani wawasili Iran ya Kiislamu

    Mwili mtoharifu wa Shahidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani wawasili Iran ya Kiislamu

    Jan 05, 2020 05:06

    Mwili mtoharifu wa Shahidi Luteni Jenerali Haj Qassem Soleimani, Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) umewasili katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran mapema leo asubuhi katika Uwanja wa Kimataifa wa Ndege wa Ahwaz kusini mwa nchi.

  • Israel imeua shahidi Wapalestina 324 na kuwajeruhi wengine 18,000 katika maandamano ya 'Kurejea'

    Israel imeua shahidi Wapalestina 324 na kuwajeruhi wengine 18,000 katika maandamano ya 'Kurejea'

    Sep 08, 2019 02:36

    Jeshi la Utawala wa Kizayuni wa Israel limewaua shahidi Wapalestina 324 na kuwajeruhi wengine 18,000 katika maandamano ya amani ya 'Haki ya Kurejea' ambayo hufanyika kila Ijumaa katika Ukanda wa Ghaza.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS