-
Yemen; maabara ya silaha zilizopigwa marufuku za Magharibi
Nov 16, 2020 03:32Abdul-Qadir Antar, mshauri wa Waziri Mkuu wa Serikali ya Wokovu wa Kitaifa ya Yemen amesema kuwa, nchi hiyo imegeuzwa kuwa maabara na mahapa pa kujaribia silaha zilizopigwa marufuku za Magharibi.
-
Saudi Arabia yaendelea kuishambulia Yemen kwa mabomu yaliyopigwa marufuku
Apr 19, 2018 09:21Saudi Arabia imeendelea na hujuma zake za kijeshi huko Yemen na kuendelea kutumia mabomu yaliyopigwa marufuku kimataifa.