Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • Waliouawa katika hujuma pacha za mabomu Somalia wafika 48

    Waliouawa katika hujuma pacha za mabomu Somalia wafika 48

    Mar 25, 2022 02:30

    Watu 48 wameuawa katika mashambulizi pacha ya mabomu katika mji wa Beledweyne katika eneo la Hiran, katikati ya Somalia. Watu wenine 108 wamejeruhiwa katika mahambulizi hayo pacha.

  • Magaidi 2 wa al-Shabaab wauawa wakijaribu kushambulia uwanja wa ndege Somalia

    Magaidi 2 wa al-Shabaab wauawa wakijaribu kushambulia uwanja wa ndege Somalia

    Mar 24, 2022 03:30

    Wanachama wawili wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la al-Shabaab wameangamizwa walipojaribu kushambulia Uwanja wa Kimataifa wa Ndege wa Aden Adde katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.

  • Zaidi ya watu 800,000 wamekuwa wakimbizi kutokana na ukame huko Ethiopia na Somalia

    Zaidi ya watu 800,000 wamekuwa wakimbizi kutokana na ukame huko Ethiopia na Somalia

    Mar 10, 2022 04:11

    Msemaji wa Umoja wa Mataifa ametangaza kuwa, ukame na uhaba wa chakula umewafanya watu zaidi ya 845,000 kuwa wakimbizi huko Ethiopia na Somalia.

  • Somalia yaakhirisha tena muhula wa kumalizika uchaguzi wa Bunge

    Somalia yaakhirisha tena muhula wa kumalizika uchaguzi wa Bunge

    Feb 26, 2022 02:38

    Kwa mara nyingine tena, Somalia imetangaza kusogeza mbele muhula wa mwisho uliokuwa umewekwa kwa ajili ya kumalizika uchaguzi wa Bunge nchini humo.

  • IMF kuinyima fedha Somalia iwapo itaakhirisha tena uchaguzi

    IMF kuinyima fedha Somalia iwapo itaakhirisha tena uchaguzi

    Feb 23, 2022 02:37

    Shirika la Fedha Duniani (IMF) limesema huenda likasimamisha ushirikiano wake wa kifedha na serikali ya federali ya Somalia katika kipindi cha miezi mitatu ijayo, iwapo nchi hiyo ya Pembe ya Afrika itaakhirisha tena uchaguzi.

  • Watu 14 wauawa baada ya gaidi kujiripua kwa bomu Somalia

    Watu 14 wauawa baada ya gaidi kujiripua kwa bomu Somalia

    Feb 20, 2022 07:58

    Kwa akali watu 14 wamepoteza maisha baada ya gaidi aliyekuwa amejifunga bomu kujiripua katika eneo lenye shughuli nyingi katikati mwa Somalia.

  • Magaidi 20 wa al-Shabaab waangamizwa na askari wa AMISOM, Somalia

    Magaidi 20 wa al-Shabaab waangamizwa na askari wa AMISOM, Somalia

    Feb 18, 2022 03:09

    Wanachama zaidi ya 20 wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la al-Shabaab wameangamizwa katika operesheni ya askari wa Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Afrika nchini Somalia (AMISOM).

  • Al Shabaab washambulia vituo vya polisi na upekuzi Mogadishu

    Al Shabaab washambulia vituo vya polisi na upekuzi Mogadishu

    Feb 16, 2022 12:01

    Wanamgambo wa kundi la al Shabaab wa nchini Somalia mapema leo wameshambulia vituo vya polisi na vya upekuzi katika mji mkuu Mogadishu. Kundi hilo la kigaidi limefanya hujuma hiyo huku Somalia ikijiandaa kwa uchaguzi wa rais ulioakhirishwa mara kadhaa.

  • Mama na wanawe wawili wafa njaa nchini Somalia

    Mama na wanawe wawili wafa njaa nchini Somalia

    Feb 14, 2022 03:11

    Mwanamke mmoja na watoto wake wawili wameaga dunia kutokana na makali ya njaa na kiu huko kusini magharibi mwa Somalia.

  • 6 wauawa, 13 wajeruhiwa katika shambulio la bomu Somalia

    6 wauawa, 13 wajeruhiwa katika shambulio la bomu Somalia

    Feb 11, 2022 02:30

    Watu wasiopungua sita wameuawa katika mripuko wa bomu uliotokea katika makutano ya barabara yenye shughuli nyingi ya El Gaab katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS