Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • UN: Ukame umeathiri watu milioni 4.3 nchini Somalia

    UN: Ukame umeathiri watu milioni 4.3 nchini Somalia

    Feb 08, 2022 07:42

    Umoja wa Mataifa umesema Somalia inaendelea kuandamwa na ukame ambao umeathiri watu zaidi ya milioni 4.3 katika nchi hiyo ya Pembe ya Afrika, kutoka watu milioni 3.2 iliyoripotiwa mwezi mmoja uliopita.

  • FAO yatoa wito wa kuwasaidia waathirika wa ukame katika nchi za Kenya, Ethiopia na Somalia

    FAO yatoa wito wa kuwasaidia waathirika wa ukame katika nchi za Kenya, Ethiopia na Somalia

    Feb 04, 2022 07:53

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo FAO katika Ukanda wa Afrika Mashariki limetoa wito kwa wananchi, taasisi binafsi na mashirika ya dini kuchangia wananchi walioathirika na ukame pamoja na mazao yao kuharibiwa na nzige katika nchi za Kenya, Ethiopia na Somalia.

  • Shirika la misaada: Kuendelea ukame kutasababisha vifo na watu kulazimika makwao Somalia

    Shirika la misaada: Kuendelea ukame kutasababisha vifo na watu kulazimika makwao Somalia

    Jan 29, 2022 03:21

    Shirika la utoaji misaada ya kibinadamu la Norway Refugee Council (NRC) mjini Mogadishu nchini Somalia limeonya kuwa huenda watu kadhaa wakapoteza maisha huku wengine zaidi ya milioni 1 wakalazimika kuhama makwao kutokana na hali ya ukame kuendelea kuwa mbaya nchini humo.

  • Jeshi la Somalia lakomboa miji, vijiji 10 vilivyokuwa vimetwaliwa na al-Shabaab

    Jeshi la Somalia lakomboa miji, vijiji 10 vilivyokuwa vimetwaliwa na al-Shabaab

    Jan 26, 2022 12:16

    Jeshi la Taifa la Somalia limefanikiwa kukomboa miji na vijiji kadhaa vya nchi hiyo vilivyokuwa vimetekwa na wapiganaji wa kundi la kigaidi la al-Shabaab.

  • Msemaji wa serikali ya Somalia anusurika kuuawa, ajeruhiwa katika mlipuko Mogadishu

    Msemaji wa serikali ya Somalia anusurika kuuawa, ajeruhiwa katika mlipuko Mogadishu

    Jan 17, 2022 02:40

    Msemaji wa serikali ya Somalia jana Jumapili alijeruhiwa katika mji mkuu wa nchi hiyo, Mogadishu katika shambulio la kigaidi la kujilipua kwa bomu.

  • Magaidi 17 wa kundi la al-Shabab waangamizwa na jeshi katikati mwa Somalia

    Magaidi 17 wa kundi la al-Shabab waangamizwa na jeshi katikati mwa Somalia

    Jan 08, 2022 07:10

    Wanachama 17 wa kundi la kigaidi la al-Shabab la Somalia wameangamizwa na jeshi katikati mwa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika kufuatia opesheni ya kijeshi dhidi ya wapiganaji hao.

  • Umoja wa Afrika na Somalia kutathmini hatima ya AMISOM

    Umoja wa Afrika na Somalia kutathmini hatima ya AMISOM

    Jan 01, 2022 07:56

    Somalia na Umoja wa Afrika (AU) zimekubaliana kutathmini operesheni za vikosi vya nchi wanachama wa umoja huo AMISOM, ambavyo muda wake uliongezwa mpaka mwezi Machi mwaka 2022.

  • AU yataka pande hasimu za kisiasa Somalia zifanye mazungumzo

    AU yataka pande hasimu za kisiasa Somalia zifanye mazungumzo

    Jan 01, 2022 03:01

    Umoja wa Afrika umetoa mwito kwa Rais Mohamed Abdullahi Farmaajo wa Somalia na Waziri Mkuu wa nchi hiyo aliyesimamishwa kazi hivi karibuni, Mohamed Hussein Roble kufanya mazungumzo haraka iwezekanavyo, baada ya wawili hao kutofautiana vikali wakati huu wa kuendelea uchaguzi wa bunge.

  • Financial Times latahadharisha: Ash-Shabaab wanaweza kurudi tena madarakani Somalia

    Financial Times latahadharisha: Ash-Shabaab wanaweza kurudi tena madarakani Somalia

    Dec 30, 2021 11:40

    Gazeti la Financial Times limetahadharisha kuwa, kundi la kigaidi la Ash-Shabaab linaweza likarudi upya kwenye medani na kuidhibiti tena Somalia.

  • Rais wa Somalia amfuta kazi Waziri Mkuu wake, mzozo wapamba moto.

    Rais wa Somalia amfuta kazi Waziri Mkuu wake, mzozo wapamba moto.

    Dec 27, 2021 07:03

    Rais wa Somalia amemfuta kazi Waziri Mkuu wake wakati huu wa kuendelea uchaguzi wa bunge na hivyo kuzusha mzozo mpya wa kisiasa katika nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS