-
Magaidi 20 wa al-Shabaab waangamizwa na askari wa AMISOM, Somalia
Feb 17, 2022 23:39Wanachama zaidi ya 20 wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la al-Shabaab wameangamizwa katika operesheni ya askari wa Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Afrika nchini Somalia (AMISOM).
-
Al Shabaab washambulia vituo vya polisi na upekuzi Mogadishu
Feb 16, 2022 08:31Wanamgambo wa kundi la al Shabaab wa nchini Somalia mapema leo wameshambulia vituo vya polisi na vya upekuzi katika mji mkuu Mogadishu. Kundi hilo la kigaidi limefanya hujuma hiyo huku Somalia ikijiandaa kwa uchaguzi wa rais ulioakhirishwa mara kadhaa.
-
Mama na wanawe wawili wafa njaa nchini Somalia
Feb 13, 2022 23:41Mwanamke mmoja na watoto wake wawili wameaga dunia kutokana na makali ya njaa na kiu huko kusini magharibi mwa Somalia.
-
6 wauawa, 13 wajeruhiwa katika shambulio la bomu Somalia
Feb 10, 2022 23:00Watu wasiopungua sita wameuawa katika mripuko wa bomu uliotokea katika makutano ya barabara yenye shughuli nyingi ya El Gaab katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.
-
UN: Ukame umeathiri watu milioni 4.3 nchini Somalia
Feb 08, 2022 04:12Umoja wa Mataifa umesema Somalia inaendelea kuandamwa na ukame ambao umeathiri watu zaidi ya milioni 4.3 katika nchi hiyo ya Pembe ya Afrika, kutoka watu milioni 3.2 iliyoripotiwa mwezi mmoja uliopita.
-
FAO yatoa wito wa kuwasaidia waathirika wa ukame katika nchi za Kenya, Ethiopia na Somalia
Feb 04, 2022 04:23Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo FAO katika Ukanda wa Afrika Mashariki limetoa wito kwa wananchi, taasisi binafsi na mashirika ya dini kuchangia wananchi walioathirika na ukame pamoja na mazao yao kuharibiwa na nzige katika nchi za Kenya, Ethiopia na Somalia.
-
Shirika la misaada: Kuendelea ukame kutasababisha vifo na watu kulazimika makwao Somalia
Jan 28, 2022 23:51Shirika la utoaji misaada ya kibinadamu la Norway Refugee Council (NRC) mjini Mogadishu nchini Somalia limeonya kuwa huenda watu kadhaa wakapoteza maisha huku wengine zaidi ya milioni 1 wakalazimika kuhama makwao kutokana na hali ya ukame kuendelea kuwa mbaya nchini humo.
-
Jeshi la Somalia lakomboa miji, vijiji 10 vilivyokuwa vimetwaliwa na al-Shabaab
Jan 26, 2022 08:46Jeshi la Taifa la Somalia limefanikiwa kukomboa miji na vijiji kadhaa vya nchi hiyo vilivyokuwa vimetekwa na wapiganaji wa kundi la kigaidi la al-Shabaab.
-
Msemaji wa serikali ya Somalia anusurika kuuawa, ajeruhiwa katika mlipuko Mogadishu
Jan 16, 2022 23:10Msemaji wa serikali ya Somalia jana Jumapili alijeruhiwa katika mji mkuu wa nchi hiyo, Mogadishu katika shambulio la kigaidi la kujilipua kwa bomu.
-
Magaidi 17 wa kundi la al-Shabab waangamizwa na jeshi katikati mwa Somalia
Jan 08, 2022 03:40Wanachama 17 wa kundi la kigaidi la al-Shabab la Somalia wameangamizwa na jeshi katikati mwa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika kufuatia opesheni ya kijeshi dhidi ya wapiganaji hao.