Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • Magaidi 20 wa al-Shabaab waangamizwa na askari wa AMISOM, Somalia

    Magaidi 20 wa al-Shabaab waangamizwa na askari wa AMISOM, Somalia

    Feb 17, 2022 23:39

    Wanachama zaidi ya 20 wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la al-Shabaab wameangamizwa katika operesheni ya askari wa Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Afrika nchini Somalia (AMISOM).

  • Al Shabaab washambulia vituo vya polisi na upekuzi Mogadishu

    Al Shabaab washambulia vituo vya polisi na upekuzi Mogadishu

    Feb 16, 2022 08:31

    Wanamgambo wa kundi la al Shabaab wa nchini Somalia mapema leo wameshambulia vituo vya polisi na vya upekuzi katika mji mkuu Mogadishu. Kundi hilo la kigaidi limefanya hujuma hiyo huku Somalia ikijiandaa kwa uchaguzi wa rais ulioakhirishwa mara kadhaa.

  • Mama na wanawe wawili wafa njaa nchini Somalia

    Mama na wanawe wawili wafa njaa nchini Somalia

    Feb 13, 2022 23:41

    Mwanamke mmoja na watoto wake wawili wameaga dunia kutokana na makali ya njaa na kiu huko kusini magharibi mwa Somalia.

  • 6 wauawa, 13 wajeruhiwa katika shambulio la bomu Somalia

    6 wauawa, 13 wajeruhiwa katika shambulio la bomu Somalia

    Feb 10, 2022 23:00

    Watu wasiopungua sita wameuawa katika mripuko wa bomu uliotokea katika makutano ya barabara yenye shughuli nyingi ya El Gaab katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.

  • UN: Ukame umeathiri watu milioni 4.3 nchini Somalia

    UN: Ukame umeathiri watu milioni 4.3 nchini Somalia

    Feb 08, 2022 04:12

    Umoja wa Mataifa umesema Somalia inaendelea kuandamwa na ukame ambao umeathiri watu zaidi ya milioni 4.3 katika nchi hiyo ya Pembe ya Afrika, kutoka watu milioni 3.2 iliyoripotiwa mwezi mmoja uliopita.

  • FAO yatoa wito wa kuwasaidia waathirika wa ukame katika nchi za Kenya, Ethiopia na Somalia

    FAO yatoa wito wa kuwasaidia waathirika wa ukame katika nchi za Kenya, Ethiopia na Somalia

    Feb 04, 2022 04:23

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo FAO katika Ukanda wa Afrika Mashariki limetoa wito kwa wananchi, taasisi binafsi na mashirika ya dini kuchangia wananchi walioathirika na ukame pamoja na mazao yao kuharibiwa na nzige katika nchi za Kenya, Ethiopia na Somalia.

  • Shirika la misaada: Kuendelea ukame kutasababisha vifo na watu kulazimika makwao Somalia

    Shirika la misaada: Kuendelea ukame kutasababisha vifo na watu kulazimika makwao Somalia

    Jan 28, 2022 23:51

    Shirika la utoaji misaada ya kibinadamu la Norway Refugee Council (NRC) mjini Mogadishu nchini Somalia limeonya kuwa huenda watu kadhaa wakapoteza maisha huku wengine zaidi ya milioni 1 wakalazimika kuhama makwao kutokana na hali ya ukame kuendelea kuwa mbaya nchini humo.

  • Jeshi la Somalia lakomboa miji, vijiji 10 vilivyokuwa vimetwaliwa na al-Shabaab

    Jeshi la Somalia lakomboa miji, vijiji 10 vilivyokuwa vimetwaliwa na al-Shabaab

    Jan 26, 2022 08:46

    Jeshi la Taifa la Somalia limefanikiwa kukomboa miji na vijiji kadhaa vya nchi hiyo vilivyokuwa vimetekwa na wapiganaji wa kundi la kigaidi la al-Shabaab.

  • Msemaji wa serikali ya Somalia anusurika kuuawa, ajeruhiwa katika mlipuko Mogadishu

    Msemaji wa serikali ya Somalia anusurika kuuawa, ajeruhiwa katika mlipuko Mogadishu

    Jan 16, 2022 23:10

    Msemaji wa serikali ya Somalia jana Jumapili alijeruhiwa katika mji mkuu wa nchi hiyo, Mogadishu katika shambulio la kigaidi la kujilipua kwa bomu.

  • Magaidi 17 wa kundi la al-Shabab waangamizwa na jeshi katikati mwa Somalia

    Magaidi 17 wa kundi la al-Shabab waangamizwa na jeshi katikati mwa Somalia

    Jan 08, 2022 03:40

    Wanachama 17 wa kundi la kigaidi la al-Shabab la Somalia wameangamizwa na jeshi katikati mwa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika kufuatia opesheni ya kijeshi dhidi ya wapiganaji hao.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS