-
UN: Ukame umeathiri watu milioni 4.3 nchini Somalia
Feb 08, 2022 07:42Umoja wa Mataifa umesema Somalia inaendelea kuandamwa na ukame ambao umeathiri watu zaidi ya milioni 4.3 katika nchi hiyo ya Pembe ya Afrika, kutoka watu milioni 3.2 iliyoripotiwa mwezi mmoja uliopita.
-
FAO yatoa wito wa kuwasaidia waathirika wa ukame katika nchi za Kenya, Ethiopia na Somalia
Feb 04, 2022 07:53Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo FAO katika Ukanda wa Afrika Mashariki limetoa wito kwa wananchi, taasisi binafsi na mashirika ya dini kuchangia wananchi walioathirika na ukame pamoja na mazao yao kuharibiwa na nzige katika nchi za Kenya, Ethiopia na Somalia.
-
Shirika la misaada: Kuendelea ukame kutasababisha vifo na watu kulazimika makwao Somalia
Jan 29, 2022 03:21Shirika la utoaji misaada ya kibinadamu la Norway Refugee Council (NRC) mjini Mogadishu nchini Somalia limeonya kuwa huenda watu kadhaa wakapoteza maisha huku wengine zaidi ya milioni 1 wakalazimika kuhama makwao kutokana na hali ya ukame kuendelea kuwa mbaya nchini humo.
-
Jeshi la Somalia lakomboa miji, vijiji 10 vilivyokuwa vimetwaliwa na al-Shabaab
Jan 26, 2022 12:16Jeshi la Taifa la Somalia limefanikiwa kukomboa miji na vijiji kadhaa vya nchi hiyo vilivyokuwa vimetekwa na wapiganaji wa kundi la kigaidi la al-Shabaab.
-
Msemaji wa serikali ya Somalia anusurika kuuawa, ajeruhiwa katika mlipuko Mogadishu
Jan 17, 2022 02:40Msemaji wa serikali ya Somalia jana Jumapili alijeruhiwa katika mji mkuu wa nchi hiyo, Mogadishu katika shambulio la kigaidi la kujilipua kwa bomu.
-
Magaidi 17 wa kundi la al-Shabab waangamizwa na jeshi katikati mwa Somalia
Jan 08, 2022 07:10Wanachama 17 wa kundi la kigaidi la al-Shabab la Somalia wameangamizwa na jeshi katikati mwa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika kufuatia opesheni ya kijeshi dhidi ya wapiganaji hao.
-
Umoja wa Afrika na Somalia kutathmini hatima ya AMISOM
Jan 01, 2022 07:56Somalia na Umoja wa Afrika (AU) zimekubaliana kutathmini operesheni za vikosi vya nchi wanachama wa umoja huo AMISOM, ambavyo muda wake uliongezwa mpaka mwezi Machi mwaka 2022.
-
AU yataka pande hasimu za kisiasa Somalia zifanye mazungumzo
Jan 01, 2022 03:01Umoja wa Afrika umetoa mwito kwa Rais Mohamed Abdullahi Farmaajo wa Somalia na Waziri Mkuu wa nchi hiyo aliyesimamishwa kazi hivi karibuni, Mohamed Hussein Roble kufanya mazungumzo haraka iwezekanavyo, baada ya wawili hao kutofautiana vikali wakati huu wa kuendelea uchaguzi wa bunge.
-
Financial Times latahadharisha: Ash-Shabaab wanaweza kurudi tena madarakani Somalia
Dec 30, 2021 11:40Gazeti la Financial Times limetahadharisha kuwa, kundi la kigaidi la Ash-Shabaab linaweza likarudi upya kwenye medani na kuidhibiti tena Somalia.
-
Rais wa Somalia amfuta kazi Waziri Mkuu wake, mzozo wapamba moto.
Dec 27, 2021 07:03Rais wa Somalia amemfuta kazi Waziri Mkuu wake wakati huu wa kuendelea uchaguzi wa bunge na hivyo kuzusha mzozo mpya wa kisiasa katika nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.