Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • 5 wauawa katika shambulio la bomu la al-Shabaab kusini mwa Somalia

    5 wauawa katika shambulio la bomu la al-Shabaab kusini mwa Somalia

    Dec 06, 2021 03:17

    Watu wasiopungua watano wameuawa katika mripuko wa bomu uliotokea katika mgahawa mmoja wenye shughuli nyingi kusini mwa Somalia.

  • Al-Shabaab yashambulia askari wa Ethiopia, uwanja wa ndege Somalia

    Al-Shabaab yashambulia askari wa Ethiopia, uwanja wa ndege Somalia

    Dec 01, 2021 03:43

    Kundi la kigaidi la al-Shabaab limeshambulia uwanja wa ndege na kambi ya kijeshi ya askari wa Ethiopia katika mji wa Baidoa, ulioko kusini magharibi mwa mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.

  • Watu watano waaga dunia katika mlipuko wa bomu karibu na shule huko Mogadishu

    Watu watano waaga dunia katika mlipuko wa bomu karibu na shule huko Mogadishu

    Nov 25, 2021 08:15

    Watu watano wameuawa na wengine zaidi ya 12 wamejeruhiwa hii leo katika mlipuko wa bomu lililokuwa limetegwa ndani ya gari karibu na shule moja katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.

  • Mwanahabari mtajika wa redio ya Somalia auawa katika shambulio la kigaidi

    Mwanahabari mtajika wa redio ya Somalia auawa katika shambulio la kigaidi

    Nov 21, 2021 08:19

    Kundi la kigaidi la al Shabaab lenye mfungamano na mtandao wa al Qaida limehusika katika mlipuko wa bomu uliosababisha kifo cha mwandishi habari mtajika wa redio ya serikali ya Somalia huko Mogadishu.

  • Askari 2 wa Uganda wahukumiwa kifo kwa mauaji ya raia Somalia

    Askari 2 wa Uganda wahukumiwa kifo kwa mauaji ya raia Somalia

    Nov 14, 2021 08:16

    Askari wawili wa Jeshi la Ulinzi la Uganda (UPDF) wanaohudumu kwenye Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Afrika nchini Somalia (AMISOM) wamehukumiwa kifo, kutokana na mauaji ya raia katika nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Jeshi la Somalia laangamiza magaidi 9 wa al-Shabaab kusini mwa nchi

    Jeshi la Somalia laangamiza magaidi 9 wa al-Shabaab kusini mwa nchi

    Nov 11, 2021 04:14

    Jeshi la Taifa la Somalia (SNA) limetangaza kuwa limeua magaidi tisa wa kundi la al-Shabaab katika wilaya ya Awdhigle kusini mwa nchi hiyo.

  • Askari wa Uganda kushtakiwa kwenye mahakama ya kijeshi kwa kuua raia Somalia

    Askari wa Uganda kushtakiwa kwenye mahakama ya kijeshi kwa kuua raia Somalia

    Oct 23, 2021 07:49

    Mpango wa Umoja wa Afrika wa kulinda amani nchini Somalia AMISOM umeshauri mahakama ya kijeshi ya Uganda iwafungulie mashtaka askari wa nchi hiyo wanaohudumu katika mpango huo, ambao wamehusishwa na mauaji ya raia nchini Somalia.

  • Uganda kutuma askari polisi 160 wa kulinda amani Somalia

    Uganda kutuma askari polisi 160 wa kulinda amani Somalia

    Oct 15, 2021 04:20

    Uganda inajiandaa kutuma maafisa wa polisi wapatao 160 nchini Somalia, kwenda kushiriki operesheni za kudumisha amani katika nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Somalia yatoa wito wa kushirikiana na Kenya baada ya uamuzi wa ICJ

    Somalia yatoa wito wa kushirikiana na Kenya baada ya uamuzi wa ICJ

    Oct 14, 2021 02:22

    Rais wa Somalia amesema katika hotuba yake aliyotoa jana Jumatano kwamba, uamuzi uliotolewa siku ya Jumanne na Mahakama ya Kimataifa ya Uadilifu (ICJ) kuhusu mzozo wa mpaka na Kenya ni fursa kwa nchi mbili hizo kushirikiana.

  • Kenya yapinga uamuzi wa ICJ kuhusu mzozo wa mpaka wa baharini na Somalia

    Kenya yapinga uamuzi wa ICJ kuhusu mzozo wa mpaka wa baharini na Somalia

    Oct 13, 2021 12:58

    Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya amepinga uamuzi uliotolewa jana Jumanne na Mahakama ya Kimataifa ya Uadilifu (ICJ), kuhusu mzozo wa muda mrefu wa nchi hiyo na Somalia juu ya mpaka wa baharini wa pande hizo mbili.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS