Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • Askari wa Uganda kushtakiwa kwenye mahakama ya kijeshi kwa kuua raia Somalia

    Askari wa Uganda kushtakiwa kwenye mahakama ya kijeshi kwa kuua raia Somalia

    Oct 23, 2021 04:19

    Mpango wa Umoja wa Afrika wa kulinda amani nchini Somalia AMISOM umeshauri mahakama ya kijeshi ya Uganda iwafungulie mashtaka askari wa nchi hiyo wanaohudumu katika mpango huo, ambao wamehusishwa na mauaji ya raia nchini Somalia.

  • Uganda kutuma askari polisi 160 wa kulinda amani Somalia

    Uganda kutuma askari polisi 160 wa kulinda amani Somalia

    Oct 15, 2021 00:50

    Uganda inajiandaa kutuma maafisa wa polisi wapatao 160 nchini Somalia, kwenda kushiriki operesheni za kudumisha amani katika nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Somalia yatoa wito wa kushirikiana na Kenya baada ya uamuzi wa ICJ

    Somalia yatoa wito wa kushirikiana na Kenya baada ya uamuzi wa ICJ

    Oct 13, 2021 22:52

    Rais wa Somalia amesema katika hotuba yake aliyotoa jana Jumatano kwamba, uamuzi uliotolewa siku ya Jumanne na Mahakama ya Kimataifa ya Uadilifu (ICJ) kuhusu mzozo wa mpaka na Kenya ni fursa kwa nchi mbili hizo kushirikiana.

  • Kenya yapinga uamuzi wa ICJ kuhusu mzozo wa mpaka wa baharini na Somalia

    Kenya yapinga uamuzi wa ICJ kuhusu mzozo wa mpaka wa baharini na Somalia

    Oct 13, 2021 09:28

    Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya amepinga uamuzi uliotolewa jana Jumanne na Mahakama ya Kimataifa ya Uadilifu (ICJ), kuhusu mzozo wa muda mrefu wa nchi hiyo na Somalia juu ya mpaka wa baharini wa pande hizo mbili.

  • AU yaunga mkono kuundwa kikosi cha pamoja nchini Somalia

    AU yaunga mkono kuundwa kikosi cha pamoja nchini Somalia

    Oct 12, 2021 04:37

    Baraza la Amani na Usalama la Umoja wa Afrika limetangaza kuunga mkono pendekezo la kuundwa kikosi cha pamoja cha Umoja wa Mataifa nchini Somalia, kitakachochukua nafasi ya Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Afrika nchini humo (Amisom), iwapo wazo hilo litapasishwa.

  • Kenya yapinga mamlaka ya Mahakama ya UN kabla ya kutoa uamuzi kuhusu mpaka wa Somalia

    Kenya yapinga mamlaka ya Mahakama ya UN kabla ya kutoa uamuzi kuhusu mpaka wa Somalia

    Oct 08, 2021 23:59

    Kenya jana Ijumaa ilisema kuwa inapinga mamlaka rasmi ya utoaji maamuzi ya Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) kabla ya kutoa uamuzi wiki ijayo kuhusu mzozo wa muda mrefu wa eneo la bahari kati yake na Somalia.

  • Watu 10 wauawa katika mlipuko wa bomu karibu na ikulu ya Rais nchini Somalia

    Watu 10 wauawa katika mlipuko wa bomu karibu na ikulu ya Rais nchini Somalia

    Sep 25, 2021 13:44

    Kwa akali watu 10 wanaripotiwa kuuawa katika mlipuko wa bomuu jirani na ikulu ya Rais katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.

  • Idadi ya magaidi wa al Shabab waliouawa na jeshi la Somalia yafika 90

    Idadi ya magaidi wa al Shabab waliouawa na jeshi la Somalia yafika 90

    Aug 25, 2021 23:15

    Jeshi la Somalia limeripoti kuwa, idadi ya wanamgambo wa kundi la kigaidi la al Shabab waliouawa katika oparesheni ya jeshi hilo imeongezeka.

  • AMISOM yakiri askari wa Uganda wameua raia nchini Somalia

    AMISOM yakiri askari wa Uganda wameua raia nchini Somalia

    Aug 22, 2021 23:02

    Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Afrika nchini Somalia (AMISOM) limekiri kuwa askari wa Jeshi la Ulinzi la Uganda (UPDF) wanaofanya kazi chini ya mwavuli wa kikosi hicho wameua raia wasio na hatia kusini mwa Somalia.

  • Kwa akali watu 15 wauawa katika milipuko miwili ya mabomu nchini Somalia

    Kwa akali watu 15 wauawa katika milipuko miwili ya mabomu nchini Somalia

    Aug 11, 2021 03:11

    Kwa akali watu 15 wanaripotiwa kuuawa nchini Somalia na makumi ya wengine kujeruhiwa kufuatia shambulio la kigaidi la milipuko miwili ya mabomu katika eneo moja katikati mwa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS