Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • Kenya yapinga uamuzi wa ICJ kuhusu mzozo wa mpaka wa baharini na Somalia

    Kenya yapinga uamuzi wa ICJ kuhusu mzozo wa mpaka wa baharini na Somalia

    Oct 13, 2021 12:58

    Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya amepinga uamuzi uliotolewa jana Jumanne na Mahakama ya Kimataifa ya Uadilifu (ICJ), kuhusu mzozo wa muda mrefu wa nchi hiyo na Somalia juu ya mpaka wa baharini wa pande hizo mbili.

  • AU yaunga mkono kuundwa kikosi cha pamoja nchini Somalia

    AU yaunga mkono kuundwa kikosi cha pamoja nchini Somalia

    Oct 12, 2021 08:07

    Baraza la Amani na Usalama la Umoja wa Afrika limetangaza kuunga mkono pendekezo la kuundwa kikosi cha pamoja cha Umoja wa Mataifa nchini Somalia, kitakachochukua nafasi ya Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Afrika nchini humo (Amisom), iwapo wazo hilo litapasishwa.

  • Kenya yapinga mamlaka ya Mahakama ya UN kabla ya kutoa uamuzi kuhusu mpaka wa Somalia

    Kenya yapinga mamlaka ya Mahakama ya UN kabla ya kutoa uamuzi kuhusu mpaka wa Somalia

    Oct 09, 2021 03:29

    Kenya jana Ijumaa ilisema kuwa inapinga mamlaka rasmi ya utoaji maamuzi ya Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) kabla ya kutoa uamuzi wiki ijayo kuhusu mzozo wa muda mrefu wa eneo la bahari kati yake na Somalia.

  • Watu 10 wauawa katika mlipuko wa bomu karibu na ikulu ya Rais nchini Somalia

    Watu 10 wauawa katika mlipuko wa bomu karibu na ikulu ya Rais nchini Somalia

    Sep 25, 2021 17:14

    Kwa akali watu 10 wanaripotiwa kuuawa katika mlipuko wa bomuu jirani na ikulu ya Rais katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.

  • Idadi ya magaidi wa al Shabab waliouawa na jeshi la Somalia yafika 90

    Idadi ya magaidi wa al Shabab waliouawa na jeshi la Somalia yafika 90

    Aug 26, 2021 03:45

    Jeshi la Somalia limeripoti kuwa, idadi ya wanamgambo wa kundi la kigaidi la al Shabab waliouawa katika oparesheni ya jeshi hilo imeongezeka.

  • AMISOM yakiri askari wa Uganda wameua raia nchini Somalia

    AMISOM yakiri askari wa Uganda wameua raia nchini Somalia

    Aug 23, 2021 03:32

    Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Afrika nchini Somalia (AMISOM) limekiri kuwa askari wa Jeshi la Ulinzi la Uganda (UPDF) wanaofanya kazi chini ya mwavuli wa kikosi hicho wameua raia wasio na hatia kusini mwa Somalia.

  • Kwa akali watu 15 wauawa katika milipuko miwili ya mabomu nchini Somalia

    Kwa akali watu 15 wauawa katika milipuko miwili ya mabomu nchini Somalia

    Aug 11, 2021 07:41

    Kwa akali watu 15 wanaripotiwa kuuawa nchini Somalia na makumi ya wengine kujeruhiwa kufuatia shambulio la kigaidi la milipuko miwili ya mabomu katika eneo moja katikati mwa nchi hiyo.

  • Jeshi la Somalia lamkamata kamanda mkuu wa al-Shabaab

    Jeshi la Somalia lamkamata kamanda mkuu wa al-Shabaab

    Jul 26, 2021 12:27

    Jeshi la Taifa la Somalia limetangaza habari ya kumtia mbaroni kiongozi wa ngazi ya juu wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab kusini mwa nchi hiyo.

  • Ilhan Omar ataka ufafanuzi wa Biden juu ya shambulio la anga Somalia

    Ilhan Omar ataka ufafanuzi wa Biden juu ya shambulio la anga Somalia

    Jul 25, 2021 01:20

    Mjumbe wa Baraza la Wawakilishi la Marekani kwa tiketi ya chama cha Democratic amemuandikia barua Rais Joe Biden wa nchi hiyo, akitaka ufafanuzi na maelezo kuhusu shambulio la kwanza la anga lililofanywa na utawala wake nchini Somalia.

  • Magaidi 50 wa kundi la  al-Shabab Somalia waangamizwa na jeshi

    Magaidi 50 wa kundi la al-Shabab Somalia waangamizwa na jeshi

    Jul 21, 2021 12:06

    Jeshi la Somalia limetangaza kuwa, magaidi wasiopungua 50 wa kundi la al-Shabab wameangamizwa kufuatia shambulio la anga dhidi ya ngome zao katikati mwa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS