Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • Shambulio la kigaidi laua na kujeruhi watu 13 katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu

    Shambulio la kigaidi laua na kujeruhi watu 13 katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu

    Jul 10, 2021 11:49

    Watu 13 wameuawa na kujeruhiwa baada ya gari lililotegwa bomu kuripuka katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.

  • Watu 10 wauawa baada ya gaidi kujiripua Mogadishu, Somalia

    Watu 10 wauawa baada ya gaidi kujiripua Mogadishu, Somalia

    Jul 03, 2021 12:40

    Kwa akali watu kumi wameuawa baada ya gaidi aliyekuwa amejifunga mabomu kujiripua katika mkahawa mmoja wenye shughuli nyingi kwenye makutano ya barabara ya Jubba, katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.

  • Somalia yatangaza tarehe ya uchaguzi wa rais

    Somalia yatangaza tarehe ya uchaguzi wa rais

    Jun 30, 2021 11:02

    Baada ya kushuhudiwa miezi kadhaa ya mkwamo wa kisiasa nchini Somalia, hatimaye viongozi wa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika wameafikiana kuhusu tarehe ya kufanyika uchaguzi usio wa moja kwa moja wa rais.

  • Biden atafakari kuvirejesha vikosi vya Marekani nchini Somalia

    Biden atafakari kuvirejesha vikosi vya Marekani nchini Somalia

    Jun 17, 2021 07:34

    Rais wa Marekani, Joe Biden anatafakari kuwarejesha wanajeshi wa nchi hiyo huko Somalia, eti kwenda kusaidia juhudi za kupambana na magaidi wa kundi la ukufurishaji la al-Shabaab.

  • Makurutu 15 wa kijeshi wauawa katika shambulio la kigaidi, Somalia

    Makurutu 15 wa kijeshi wauawa katika shambulio la kigaidi, Somalia

    Jun 16, 2021 02:35

    Kwa akali makurutu 15 wameuawa katika shambulio linaloaminika kuwa la kigaidi katika kambi moja ya mafunzo ya kijeshi huko Mogadishu, mji mkuu wa Somalia.

  • UN yawawekea vikwazo vinara wa kundi la kigaidi la Al Shabab

    UN yawawekea vikwazo vinara wa kundi la kigaidi la Al Shabab

    Jun 15, 2021 07:42

    Vinara watatu wa kundi la kigaidi la Al-Shabaab wameingizwa katika orodha ya vikwazo vya Umoja wa Mataifa ili kusaidia serikali ya Somalia kupambana na kundi hilo.

  • Baada ya US kuondoa askari wake Somalia, sasa yawatuma Kenya

    Baada ya US kuondoa askari wake Somalia, sasa yawatuma Kenya

    Jun 14, 2021 02:32

    Rais wa Marekani, Joe Biden ametangaza kuwa serikali yake itatuma vikosi maalumu vya wanajeshi nchini Kenya, eti kwenda kusaidia juhudi za kupambana na magaidi wa kundi la ukufurishaji la al-Shabaab.

  • Jeshi la Somalia laendelea kutoa kipigo kwa magaidi wa al-Shabaab

    Jeshi la Somalia laendelea kutoa kipigo kwa magaidi wa al-Shabaab

    Jun 12, 2021 12:35

    Kundi la kigaidi la al-Shabaab limeendelea kuandamwa na wimbi la vipigo kutoka kwa Jeshi la Taifa la Somalia (SNA), ambalo linatazamiwa kutwikwa jukumu la ulinzi na usalama wa nchi baada ya kumalizika muda wa Mpango wa Mpito wa Somalia (STP).

  • Kenya yairuhusu tena Somalia itumie anga yake

    Kenya yairuhusu tena Somalia itumie anga yake

    Jun 11, 2021 12:39

    Kenya imetoa idhini tena anga yake itumike kwa aili ya safari za ndege kwenda na kutoka Somalia huku kukiwa na matumaini kwamba, uhusiano wa nchi hizo mbili utarejea katika hali ya kawaida.

  • UN: Wanajeshi wa Kisomali wamehusika na mauaji ya kimbari ya Tigray

    UN: Wanajeshi wa Kisomali wamehusika na mauaji ya kimbari ya Tigray

    Jun 09, 2021 08:17

    Wanajeshi wa Somalia wanaopata mafunzo ya kijeshi nchini Eritrea wanatuhumiwa kuhusika na mauaji ya maelfu ya watu katika eneo la Tigray, huko kaskazini mwa Ethiopia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS