Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • Jeshi la Somalia lamkamata kamanda mkuu wa al-Shabaab

    Jeshi la Somalia lamkamata kamanda mkuu wa al-Shabaab

    Jul 26, 2021 07:57

    Jeshi la Taifa la Somalia limetangaza habari ya kumtia mbaroni kiongozi wa ngazi ya juu wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab kusini mwa nchi hiyo.

  • Ilhan Omar ataka ufafanuzi wa Biden juu ya shambulio la anga Somalia

    Ilhan Omar ataka ufafanuzi wa Biden juu ya shambulio la anga Somalia

    Jul 24, 2021 20:50

    Mjumbe wa Baraza la Wawakilishi la Marekani kwa tiketi ya chama cha Democratic amemuandikia barua Rais Joe Biden wa nchi hiyo, akitaka ufafanuzi na maelezo kuhusu shambulio la kwanza la anga lililofanywa na utawala wake nchini Somalia.

  • Magaidi 50 wa kundi la  al-Shabab Somalia waangamizwa na jeshi

    Magaidi 50 wa kundi la al-Shabab Somalia waangamizwa na jeshi

    Jul 21, 2021 07:36

    Jeshi la Somalia limetangaza kuwa, magaidi wasiopungua 50 wa kundi la al-Shabab wameangamizwa kufuatia shambulio la anga dhidi ya ngome zao katikati mwa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Shambulio la kigaidi laua na kujeruhi watu 13 katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu

    Shambulio la kigaidi laua na kujeruhi watu 13 katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu

    Jul 10, 2021 07:19

    Watu 13 wameuawa na kujeruhiwa baada ya gari lililotegwa bomu kuripuka katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.

  • Watu 10 wauawa baada ya gaidi kujiripua Mogadishu, Somalia

    Watu 10 wauawa baada ya gaidi kujiripua Mogadishu, Somalia

    Jul 03, 2021 08:10

    Kwa akali watu kumi wameuawa baada ya gaidi aliyekuwa amejifunga mabomu kujiripua katika mkahawa mmoja wenye shughuli nyingi kwenye makutano ya barabara ya Jubba, katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.

  • Somalia yatangaza tarehe ya uchaguzi wa rais

    Somalia yatangaza tarehe ya uchaguzi wa rais

    Jun 30, 2021 06:32

    Baada ya kushuhudiwa miezi kadhaa ya mkwamo wa kisiasa nchini Somalia, hatimaye viongozi wa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika wameafikiana kuhusu tarehe ya kufanyika uchaguzi usio wa moja kwa moja wa rais.

  • Biden atafakari kuvirejesha vikosi vya Marekani nchini Somalia

    Biden atafakari kuvirejesha vikosi vya Marekani nchini Somalia

    Jun 17, 2021 03:04

    Rais wa Marekani, Joe Biden anatafakari kuwarejesha wanajeshi wa nchi hiyo huko Somalia, eti kwenda kusaidia juhudi za kupambana na magaidi wa kundi la ukufurishaji la al-Shabaab.

  • Makurutu 15 wa kijeshi wauawa katika shambulio la kigaidi, Somalia

    Makurutu 15 wa kijeshi wauawa katika shambulio la kigaidi, Somalia

    Jun 15, 2021 22:05

    Kwa akali makurutu 15 wameuawa katika shambulio linaloaminika kuwa la kigaidi katika kambi moja ya mafunzo ya kijeshi huko Mogadishu, mji mkuu wa Somalia.

  • UN yawawekea vikwazo vinara wa kundi la kigaidi la Al Shabab

    UN yawawekea vikwazo vinara wa kundi la kigaidi la Al Shabab

    Jun 15, 2021 03:12

    Vinara watatu wa kundi la kigaidi la Al-Shabaab wameingizwa katika orodha ya vikwazo vya Umoja wa Mataifa ili kusaidia serikali ya Somalia kupambana na kundi hilo.

  • Baada ya US kuondoa askari wake Somalia, sasa yawatuma Kenya

    Baada ya US kuondoa askari wake Somalia, sasa yawatuma Kenya

    Jun 13, 2021 22:02

    Rais wa Marekani, Joe Biden ametangaza kuwa serikali yake itatuma vikosi maalumu vya wanajeshi nchini Kenya, eti kwenda kusaidia juhudi za kupambana na magaidi wa kundi la ukufurishaji la al-Shabaab.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS