-
Jeshi la Somalia laendelea kutoa kipigo kwa magaidi wa al-Shabaab
Jun 12, 2021 08:05Kundi la kigaidi la al-Shabaab limeendelea kuandamwa na wimbi la vipigo kutoka kwa Jeshi la Taifa la Somalia (SNA), ambalo linatazamiwa kutwikwa jukumu la ulinzi na usalama wa nchi baada ya kumalizika muda wa Mpango wa Mpito wa Somalia (STP).
-
Kenya yairuhusu tena Somalia itumie anga yake
Jun 11, 2021 08:09Kenya imetoa idhini tena anga yake itumike kwa aili ya safari za ndege kwenda na kutoka Somalia huku kukiwa na matumaini kwamba, uhusiano wa nchi hizo mbili utarejea katika hali ya kawaida.
-
UN: Wanajeshi wa Kisomali wamehusika na mauaji ya kimbari ya Tigray
Jun 09, 2021 03:47Wanajeshi wa Somalia wanaopata mafunzo ya kijeshi nchini Eritrea wanatuhumiwa kuhusika na mauaji ya maelfu ya watu katika eneo la Tigray, huko kaskazini mwa Ethiopia.
-
Jeshi la Somalia laangamiza magaidi 130 wa al-Shabaab
Jun 07, 2021 22:20Jeshi la Taifa la Somalia (SNA) limetangaza habari ya kufanikiwa kuua wanachama wasiopungua 130 wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab katika kipindi cha wiki tatu zilizopita.
-
Amisom kuchunguza kikamilifu madai kwamba KDF inaua raia wa Somalia
Jun 06, 2021 03:25Ujumbe wa Umoja wa Afrika nchini Somalia (AMISOM) umeahidi kuchunguza madai yanayosema kwamba, Jeshi la Ulinzi la Kenya (KDF) limewaua raia katika eneo la Gedo nchini Somalia katika shambulizi la anga dhidi ya wanamgambo wa Al-Shabaab.
-
Somalia yadai jeshi la Kenya linaua raia katika hujuma zake za anga
Jun 05, 2021 21:57Serikali ya Somalia kwa mara nyingine tena imekosoa vikali kile ilichodai kuwa ni tabia ya Jeshi la Ulinzi la Kenya (KDF) kuua raia wa Kisomali katika mashambulizi yake ya anga katika eneo la Gedo, jimbo la Jubaland kusini mwa Somalia.
-
Wanachama 30 wa kundi la kigaidi la al-Shabaab waangamizwa na jeshi la Somalia
Jun 02, 2021 02:15Jeshi la Somalia limefanikiwa kuua wanachama wasiopungua 30 wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab katikati mwa nchi.
-
Magaidi 100 wa al Shabab wauawa kusini mwa Somalia
May 31, 2021 02:53Jeshi la Somalia limetangaza kuwa, limeua wanamgambo 100 wa genge la kigaidi la al Shabab wakiwemo makamanda kadhaa wa genge hilo katika operesheni maalumu ya kijeshi huko kusini mwa Somalia.
-
Mjumbe wa UN Somalia apongeza mapatano ya viongozi kuhusu uchaguzi
May 28, 2021 22:21Mjumbe maalumu wa Umoja wa Mataifa nchini Somalia James Swan amepongeza uamuzi uliofikiwa na viongozi wa Somalia wa kufanya uchaguzi wa Rais na Bunge ndani ya miezi miwili, ikiwa ni baada ya siku nne za mazungumzo ya kina yaliyofanyika mjini Mogadishu.
-
Somalia kuitisha uchaguzi katika kipindi cha miezi miwili ijayo
May 28, 2021 02:35Serikali ya Somalia imetangaza kuwa sasa uchaguzi mkuu uliokuwa umeakhirishwa kwa miezi kadhaa, utafanyika katika kipindi cha siku 60 zijazo.