Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • Jeshi la Somalia laendelea kutoa kipigo kwa magaidi wa al-Shabaab

    Jeshi la Somalia laendelea kutoa kipigo kwa magaidi wa al-Shabaab

    Jun 12, 2021 08:05

    Kundi la kigaidi la al-Shabaab limeendelea kuandamwa na wimbi la vipigo kutoka kwa Jeshi la Taifa la Somalia (SNA), ambalo linatazamiwa kutwikwa jukumu la ulinzi na usalama wa nchi baada ya kumalizika muda wa Mpango wa Mpito wa Somalia (STP).

  • Kenya yairuhusu tena Somalia itumie anga yake

    Kenya yairuhusu tena Somalia itumie anga yake

    Jun 11, 2021 08:09

    Kenya imetoa idhini tena anga yake itumike kwa aili ya safari za ndege kwenda na kutoka Somalia huku kukiwa na matumaini kwamba, uhusiano wa nchi hizo mbili utarejea katika hali ya kawaida.

  • UN: Wanajeshi wa Kisomali wamehusika na mauaji ya kimbari ya Tigray

    UN: Wanajeshi wa Kisomali wamehusika na mauaji ya kimbari ya Tigray

    Jun 09, 2021 03:47

    Wanajeshi wa Somalia wanaopata mafunzo ya kijeshi nchini Eritrea wanatuhumiwa kuhusika na mauaji ya maelfu ya watu katika eneo la Tigray, huko kaskazini mwa Ethiopia.

  • Jeshi la Somalia laangamiza magaidi 130 wa al-Shabaab

    Jeshi la Somalia laangamiza magaidi 130 wa al-Shabaab

    Jun 07, 2021 22:20

    Jeshi la Taifa la Somalia (SNA) limetangaza habari ya kufanikiwa kuua wanachama wasiopungua 130 wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab katika kipindi cha wiki tatu zilizopita.

  • Amisom kuchunguza kikamilifu madai kwamba KDF inaua raia wa Somalia

    Amisom kuchunguza kikamilifu madai kwamba KDF inaua raia wa Somalia

    Jun 06, 2021 03:25

    Ujumbe wa Umoja wa Afrika nchini Somalia (AMISOM) umeahidi kuchunguza madai yanayosema kwamba, Jeshi la Ulinzi la Kenya (KDF) limewaua raia katika eneo la Gedo nchini Somalia katika shambulizi la anga dhidi ya wanamgambo wa Al-Shabaab.

  • Somalia yadai jeshi la Kenya linaua raia katika hujuma zake za anga

    Somalia yadai jeshi la Kenya linaua raia katika hujuma zake za anga

    Jun 05, 2021 21:57

    Serikali ya Somalia kwa mara nyingine tena imekosoa vikali kile ilichodai kuwa ni tabia ya Jeshi la Ulinzi la Kenya (KDF) kuua raia wa Kisomali katika mashambulizi yake ya anga katika eneo la Gedo, jimbo la Jubaland kusini mwa Somalia.

  • Wanachama 30 wa kundi la kigaidi la al-Shabaab waangamizwa na jeshi la Somalia

    Wanachama 30 wa kundi la kigaidi la al-Shabaab waangamizwa na jeshi la Somalia

    Jun 02, 2021 02:15

    Jeshi la Somalia limefanikiwa kuua wanachama wasiopungua 30 wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab katikati mwa nchi.

  • Magaidi 100 wa al Shabab wauawa kusini mwa Somalia

    Magaidi 100 wa al Shabab wauawa kusini mwa Somalia

    May 31, 2021 02:53

    Jeshi la Somalia limetangaza kuwa, limeua wanamgambo 100 wa genge la kigaidi la al Shabab wakiwemo makamanda kadhaa wa genge hilo katika operesheni maalumu ya kijeshi huko kusini mwa Somalia.

  • Mjumbe wa UN Somalia apongeza mapatano ya viongozi kuhusu uchaguzi

    Mjumbe wa UN Somalia apongeza mapatano ya viongozi kuhusu uchaguzi

    May 28, 2021 22:21

    Mjumbe maalumu wa Umoja wa Mataifa nchini Somalia James Swan amepongeza uamuzi uliofikiwa na viongozi wa Somalia wa kufanya uchaguzi wa Rais na Bunge ndani ya miezi miwili, ikiwa ni baada ya siku nne za mazungumzo ya kina yaliyofanyika mjini Mogadishu.

  • Somalia kuitisha uchaguzi katika kipindi cha miezi miwili ijayo

    Somalia kuitisha uchaguzi katika kipindi cha miezi miwili ijayo

    May 28, 2021 02:35

    Serikali ya Somalia imetangaza kuwa sasa uchaguzi mkuu uliokuwa umeakhirishwa kwa miezi kadhaa, utafanyika katika kipindi cha siku 60 zijazo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS