-
Ghalibaf: Majeshi ya Iran yataendelea kuwaadhibu wavamizi
Mar 05, 2026 10:52Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran), Mohammad Bagher Ghalibaf amesema Jamhuri ya Kiislamu itaendeleza operesheni zake za kulipiza kisasi mpaka ihakikishe imewaadhibu vya kutosha na kuwatia adabu wavamizi walioanzisha chokochoko dhidi ya taifa hili.
-
Iran na Iraq zasaini makubaliano muhimu ya usalama wa mpaka kufuatia mazungumzo ya ngazi ya juu
Aug 12, 2025 04:15Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Iraq zimetia saini Hati ya Maelewano ili kuimarisha usalama kwenye mpaka wao wa pamoja.
-
Bunge la Iraq: Tumeazimia kuzuia kuanzishwa uhusiano wa kawaida na Israel
May 22, 2022 03:29Spika wa Bunge la Iraq amesisitiza kuwa, taasisi hiyo imeazimia kuzuia kuanzishwa uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel unaozikalia kwa mabavu ardhi za Palestina.
-
Spika wa bunge la Iraq azuiwa kutoka nje ya nchi
Aug 02, 2016 11:13Waziri Mkuu wa Iraq amemzuia Spika wa bunge la nchi hiyo kutoka nje ya nchi.
-
Salim al Jabouri asisitiza kuundwa serikali yenye nguvu Iraq
Apr 17, 2016 10:49Spika wa bunge la Iraq amesema kuwa nchi hiyo inaweza kuvijua na matatizo iliyonayo iwapo serikali imara itaundwa nchini humo.