Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan

  • Kipindupindu chaua watu zaidi ya 170 ndani ya wiki moja Sudan

    Kipindupindu chaua watu zaidi ya 170 ndani ya wiki moja Sudan

    May 28, 2025 06:55

    Zaidi ya watu 170 wameripotiwa kufariki dunia kutokana na ugonjwa wa kipindupindu ndani ya wiki moja katika nchi ya Sudan iliyogubikwa na mapigano kwa zaidi ya miaka miwili sasa.

  • Sudan yagundua makaburi ya halaiki yenye mamia ya miili Omdurman

    Sudan yagundua makaburi ya halaiki yenye mamia ya miili Omdurman

    May 22, 2025 12:37

    Jeshi la Sudan limesema leo Alkhamisi kwamba, makaburi ya halaiki ya mamia ya raia yamegunduliwa katika mji wa Omdurman, kaskazini mwa mji mkuu wa nchi hiyo, Khartoum.

  • Jeshi la Sudan: Tunakaribia kudhibiti tena Khartoum

    Jeshi la Sudan: Tunakaribia kudhibiti tena Khartoum

    May 21, 2025 02:26

    Jeshi la Sudan lilisema jana Jumanne kwamba, vikosi vyake vinakaribia "kusafisha kabisa" Jimbo la Khartoum toka mikononi mwa Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF).

  • Jeshi la Sudan latwaa tena eneo la kimkakati Darfur Kaskazini kutoka kwa RSF

    Jeshi la Sudan latwaa tena eneo la kimkakati Darfur Kaskazini kutoka kwa RSF

    May 19, 2025 07:06

    Jeshi la Sudan limefanikiwa kutwaa tena udhibiti wa eneo muhimu la kistratajia la Attrun huko Darfur Kaskazini kutoka kwa Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF).

  • Kadhaa wauawa katika shambulio la droni kusini ya Sudan

    Kadhaa wauawa katika shambulio la droni kusini ya Sudan

    May 16, 2025 07:06

    Watu kadhaa wameripotiwa kuuawa huku wengine wengi wakijeruhiwa, baada ya ndege isiyo na rubani kushambulia hospitali moja katika mji wa El-Obeid, mji mkuu wa Jimbo la Kordofan Kaskazini kusini mwa Sudan jana Alkhamisi.

  • Uwanja wa Ndege wa Port Sudan kutoka Lango la Matumaini hadi Uwanja wa Vita. Je, jitihada za kutoa msaada zitaendelea?

    Uwanja wa Ndege wa Port Sudan kutoka Lango la Matumaini hadi Uwanja wa Vita. Je, jitihada za kutoa msaada zitaendelea?

    May 08, 2025 05:52

    Sauti ya ving'ora inasikika kutoka mbali. Moshi mweusi unatanda angani kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Port Sudan. Umati mkubwa wa watu unakimbia kuelekea moja ya kambi za maficho za muda.

  • Shambulio jingine la droni laripotiwa Port Sudan, pande hasimu zinaendelea kupigana

    Shambulio jingine la droni laripotiwa Port Sudan, pande hasimu zinaendelea kupigana

    May 08, 2025 02:20

    Watu walioshuhudia jana Jumatano waliripoti kujiri shambulio jingine la ndege zisizo na rubani katika mji wa mashariki wa Sudan wa Port Sudan huku mapigano makali yakiendelea kati ya Jeshi la Taifa na Kikosi cha Msaada wa Haraka (RSF).

  • Iran yalaani shambulio dhidi ya Port Sudan lililoua mamia ya watu

    Iran yalaani shambulio dhidi ya Port Sudan lililoua mamia ya watu

    May 05, 2025 02:24

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani shambulizi la ndege isiyo na rubani ambalo lililenga uwanja wa ndege pamoja na maeneo na vituo vya kiraia mashariki mwa Sudan.

  • Sudan: Waasi wa RSF wameua raia zaidi ya 300 Kordofan

    Sudan: Waasi wa RSF wameua raia zaidi ya 300 Kordofan

    May 05, 2025 02:24

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Sudan imevituhumu Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) kwa kufanya "mauaji ya halaiki" dhidi ya raia huko Al-Nahud katika jimbo la Kordofan Magharibi, kusini mwa nchi na kusababisha vifo vya watu 300.

  • RSF yafanya shambulio la kwanza la droni Port Sudan

    RSF yafanya shambulio la kwanza la droni Port Sudan

    May 04, 2025 07:43

    Msemaji wa jeshi la Sudan ametangaza leo kuwa wanamgambo wa kikosi cha RSF wamefanya shambulio la ndege isiyo na rubani (droni) katika kambi ya jeshi la nchi hiyo na katika vituo vingine karibu na uwanja wa ndege wa Port Sudan. Hili ni shambulio la kwanza kuwahi kufanywa na wanamgambo wa RSF katika mji huo wa bandari wa mashariki.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS