-
RSF yashambulia tena kambi ya wakimbizi na kuua 14 Darfur, Sudan
Jun 05, 2025 06:52Kwa akali watu 14 wameuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa katika shambulizi la mizinga la Kikosi cha Msaada wa Haraka (RSF) katika jimbo la Darfur Kaskazini, magharibi mwa Sudan.
-
UNHCR: Mgogoro mpya Sudan Kusini “umeng’oa” zaidi ya watu 165,000 ndani ya miezi mitatu
Jun 04, 2025 13:13Zaidi ya watu 165,000 wamelazimika kukimbia makazi yao na kukimbilia usalama wao maeneo mengi kutokana na mivutano na migogoro ambayo inazidi kuongezeka nchini Sudan Kusini katika kipindi cha miezi mitatu iliyopita.
-
UN: Wakimbizi milioni 4 wametoroka vita Sudan
Jun 04, 2025 06:08Umoja wa Mataifa umesema zaidi ya watu milioni 4 wamekimbia vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini Sudan.
-
Je, waziri mkuu mpya anaweza kuiokoa Sudan kutokana na mzozo mkubwa wa kisiasa na kiuchumi?
Jun 03, 2025 02:12Kamil Eltayeb Idris ameapishwa kuwa Waziri Mkuu mpya wa Sudan mbele ya Abdel Fattah Al-Burhan, Mwenyekiti wa Baraza la Utawala na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Sudan.
-
Waziri Mkuu mpya wa Sudan avunja serikali ya mpito
Jun 02, 2025 06:42Waziri Mkuu mpya wa Sudan, Kamil Idris amevunja serikali ya mpito ya nchi hiyo ya Kiarabu ya kaskazini mwa Afrika.
-
Waziri Mkuu mpya wa Sudan ala kiapo cha kikatiba
Jun 01, 2025 07:13Kamil Idris aliapishwa jana Jumamosi kuwa Waziri Mkuu mpya wa Sudan, mbele ya Abdel Fattah al-Burhan, Mkuu wa Baraza la Mpito linalotawala nchini humo.
-
Kipindupindu chaua watu zaidi ya 170 ndani ya wiki moja Sudan
May 28, 2025 06:55Zaidi ya watu 170 wameripotiwa kufariki dunia kutokana na ugonjwa wa kipindupindu ndani ya wiki moja katika nchi ya Sudan iliyogubikwa na mapigano kwa zaidi ya miaka miwili sasa.
-
Sudan yagundua makaburi ya halaiki yenye mamia ya miili Omdurman
May 22, 2025 12:37Jeshi la Sudan limesema leo Alkhamisi kwamba, makaburi ya halaiki ya mamia ya raia yamegunduliwa katika mji wa Omdurman, kaskazini mwa mji mkuu wa nchi hiyo, Khartoum.
-
Jeshi la Sudan: Tunakaribia kudhibiti tena Khartoum
May 21, 2025 02:26Jeshi la Sudan lilisema jana Jumanne kwamba, vikosi vyake vinakaribia "kusafisha kabisa" Jimbo la Khartoum toka mikononi mwa Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF).
-
Jeshi la Sudan latwaa tena eneo la kimkakati Darfur Kaskazini kutoka kwa RSF
May 19, 2025 07:06Jeshi la Sudan limefanikiwa kutwaa tena udhibiti wa eneo muhimu la kistratajia la Attrun huko Darfur Kaskazini kutoka kwa Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF).