Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan

  • Sudan imeingia mwaka wa tatu wa vita; wachezaji wa kikanda wana nafasi gani?

    Sudan imeingia mwaka wa tatu wa vita; wachezaji wa kikanda wana nafasi gani?

    Apr 18, 2025 02:33

    Wakati vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini Sudan vikiingia katika mwaka wake wa tatu, mapigano, kuhama makazi na njaa vimeifanya nchi hiyo kuwa moja ya nchi zilizotumbukia kwenye mgogoro mkubwa zaidi duniani.

  • Jeshi la Sudan lasonga mbele Omdurman Magharibi, lateka tena maeneo 3 kutoka RSF

    Jeshi la Sudan lasonga mbele Omdurman Magharibi, lateka tena maeneo 3 kutoka RSF

    Apr 16, 2025 08:02

    Jeshi la Sudan jana lilitangaza kuwa limesonga mbele katika eneo la Omdurman Magharibi na kukomboa maeneo matatu na kambi moja kutoka kwa wanamgambo wa Kikosi cha Msaada wa Haraka (RSF).

  • Iran yabainisha wasiwasi wake kuhusu hali mbaya ya watu wa Al-Fasher, Sudan

    Iran yabainisha wasiwasi wake kuhusu hali mbaya ya watu wa Al-Fasher, Sudan

    Apr 15, 2025 10:14

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amebainisha wasiwasi wake juu ya hali mbaya ya kibinadamu ya watu wa mji wa Al-Fasher uliozingirwa huko Sudan, na ametaka kuondolewa kwa mzingiro huo, kusitishwa kwa mashambulizi, na kulindwa kwa maisha ya raia kwa mujibu wa misingi ya sheria za kimataifa za kibinadamu.

  • UN: Mauaji ya mamia ya watu El-Fasher, Sudan yanatisha

    UN: Mauaji ya mamia ya watu El-Fasher, Sudan yanatisha

    Apr 15, 2025 07:59

    Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa amelaani vikali mashambulizi mabaya ya hivi karibuni ya Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) huko eneo la Darfur Kaskazini nchini Sudan akisema kuwa, mashambulizi hayo yanaashiria kushindwa kwa jamii ya kimataifa kuchukua hatua za maana licha ya maonyo ya mara kwa mara.

  •  Mamia wauawa na kujeruhiwa katika shambulio la RSF kwenye kambi ya Zamzam

    Mamia wauawa na kujeruhiwa katika shambulio la RSF kwenye kambi ya Zamzam

    Apr 13, 2025 06:54

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Sudan na mashirika ya misaada ya kibinadamu yamesema kuwa mamia ya watu wameuawa na kujeruhiwa katika shambulio lililofanywa jana na Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) kwenye kambi ya Zamzam ya wakimbizi wa ndani katika mji wa El Fasher, Jimbo la Darfur Kaskazini, magharibi mwa Sudan.

  • Sudan: RSF imeua raia wengine 32 El-Fasher, Darfur Kaskazini

    Sudan: RSF imeua raia wengine 32 El-Fasher, Darfur Kaskazini

    Apr 12, 2025 11:39

    Jeshi la Sudan limesema kwa uchache raia 32 wameuawa katika shambulio jipya la Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) huko El-Fasher, makao makuu ya Jimbo la Darfur Kaskazini.

  • Sudan yaiambia ICJ kuwa UAE inachochea mauaji ya halaiki Darfur

    Sudan yaiambia ICJ kuwa UAE inachochea mauaji ya halaiki Darfur

    Apr 11, 2025 02:06

    Sudan iliiambia Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) jana Alhamisi kwamba, Umoja wa Falme za Kiarabu umekiuka Mkataba wa Mauaji ya Kimbari kwa kuunga mkono vikosi vya wanamgambo huko Darfur, na kuwataka majaji wa mahakama hiyo kutoa amri ya dharura ya kuzuia mauaji ya kimbari katika eneo hilo.

  • Mapigano makali yaripotiwa jeshi la Sudan likizilenga ngome za mwisho za RFS huko Khartoum

    Mapigano makali yaripotiwa jeshi la Sudan likizilenga ngome za mwisho za RFS huko Khartoum

    Apr 05, 2025 07:03

    Jeshi la Sudan jana Ijumaa lilikabiliana vikali na hasimu wake yaani Kikosi cha Wanamgambo wa Msaada wa Haraka (RSF) katika ngome za mwisho za kikosi hicho katika mji wa Omdurman huko Khartoum.

  • Watu 89 wauawa katika mashambulizi ya RSF Omdurman, Sudan

    Watu 89 wauawa katika mashambulizi ya RSF Omdurman, Sudan

    Apr 03, 2025 07:06

    Raia wasiopungua 89 wameuawa na mamia ya wengine kujeruhiwa katika mashambulizi ya Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) kwenye vijiji vya Omdurman, karibu na ufukwe wa Mto Nile, kaskazini magharibi mwa Khartoum, mji mkuu wa Sudan.

  • RSF yaua na kujeruhi makumi ya raia wa Sudan Kordofan Kusini

    RSF yaua na kujeruhi makumi ya raia wa Sudan Kordofan Kusini

    Apr 03, 2025 02:32

    Kwa akali raia 12 wa Sudan wameuawa katika mashambulizi ya Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) katika Jimbo la Kordofan Kusini.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS