-
Sudan imeingia mwaka wa tatu wa vita; wachezaji wa kikanda wana nafasi gani?
Apr 18, 2025 02:33Wakati vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini Sudan vikiingia katika mwaka wake wa tatu, mapigano, kuhama makazi na njaa vimeifanya nchi hiyo kuwa moja ya nchi zilizotumbukia kwenye mgogoro mkubwa zaidi duniani.
-
Jeshi la Sudan lasonga mbele Omdurman Magharibi, lateka tena maeneo 3 kutoka RSF
Apr 16, 2025 08:02Jeshi la Sudan jana lilitangaza kuwa limesonga mbele katika eneo la Omdurman Magharibi na kukomboa maeneo matatu na kambi moja kutoka kwa wanamgambo wa Kikosi cha Msaada wa Haraka (RSF).
-
Iran yabainisha wasiwasi wake kuhusu hali mbaya ya watu wa Al-Fasher, Sudan
Apr 15, 2025 10:14Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amebainisha wasiwasi wake juu ya hali mbaya ya kibinadamu ya watu wa mji wa Al-Fasher uliozingirwa huko Sudan, na ametaka kuondolewa kwa mzingiro huo, kusitishwa kwa mashambulizi, na kulindwa kwa maisha ya raia kwa mujibu wa misingi ya sheria za kimataifa za kibinadamu.
-
UN: Mauaji ya mamia ya watu El-Fasher, Sudan yanatisha
Apr 15, 2025 07:59Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa amelaani vikali mashambulizi mabaya ya hivi karibuni ya Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) huko eneo la Darfur Kaskazini nchini Sudan akisema kuwa, mashambulizi hayo yanaashiria kushindwa kwa jamii ya kimataifa kuchukua hatua za maana licha ya maonyo ya mara kwa mara.
-
Mamia wauawa na kujeruhiwa katika shambulio la RSF kwenye kambi ya Zamzam
Apr 13, 2025 06:54Wizara ya Mambo ya Nje ya Sudan na mashirika ya misaada ya kibinadamu yamesema kuwa mamia ya watu wameuawa na kujeruhiwa katika shambulio lililofanywa jana na Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) kwenye kambi ya Zamzam ya wakimbizi wa ndani katika mji wa El Fasher, Jimbo la Darfur Kaskazini, magharibi mwa Sudan.
-
Sudan: RSF imeua raia wengine 32 El-Fasher, Darfur Kaskazini
Apr 12, 2025 11:39Jeshi la Sudan limesema kwa uchache raia 32 wameuawa katika shambulio jipya la Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) huko El-Fasher, makao makuu ya Jimbo la Darfur Kaskazini.
-
Sudan yaiambia ICJ kuwa UAE inachochea mauaji ya halaiki Darfur
Apr 11, 2025 02:06Sudan iliiambia Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) jana Alhamisi kwamba, Umoja wa Falme za Kiarabu umekiuka Mkataba wa Mauaji ya Kimbari kwa kuunga mkono vikosi vya wanamgambo huko Darfur, na kuwataka majaji wa mahakama hiyo kutoa amri ya dharura ya kuzuia mauaji ya kimbari katika eneo hilo.
-
Mapigano makali yaripotiwa jeshi la Sudan likizilenga ngome za mwisho za RFS huko Khartoum
Apr 05, 2025 07:03Jeshi la Sudan jana Ijumaa lilikabiliana vikali na hasimu wake yaani Kikosi cha Wanamgambo wa Msaada wa Haraka (RSF) katika ngome za mwisho za kikosi hicho katika mji wa Omdurman huko Khartoum.
-
Watu 89 wauawa katika mashambulizi ya RSF Omdurman, Sudan
Apr 03, 2025 07:06Raia wasiopungua 89 wameuawa na mamia ya wengine kujeruhiwa katika mashambulizi ya Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) kwenye vijiji vya Omdurman, karibu na ufukwe wa Mto Nile, kaskazini magharibi mwa Khartoum, mji mkuu wa Sudan.
-
RSF yaua na kujeruhi makumi ya raia wa Sudan Kordofan Kusini
Apr 03, 2025 02:32Kwa akali raia 12 wa Sudan wameuawa katika mashambulizi ya Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) katika Jimbo la Kordofan Kusini.