-
Mkurugenzi Mkuu wa WHO ataka kusitishwa umwagaji damu nchini Sudan
Nov 11, 2025 03:09Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) ametaka kusitishwa ghasia nchini Sudan baada ya kuuawa daktari katika mji ulioathiriwa na vita wa Al Fasher.
-
RSF imezika kwa halaiki na kuchoma moto maiti za mamia ya raia El-Fasher kuficha jinai za mauaji ya kimbari
Nov 10, 2025 06:18Mtandao wa Madaktari wa Sudan umeripoti kuwa, maiti za mamia ya raia zimezikwa katika makaburi ya pamoja na nyingine zimechomwa moto na Vikosi vya Usaidizi wa Haraka (RSF) mjini El-Fasher magharibi mwa nchi hiyo.
-
Mtandao wa Madaktari Sudan: RSF imeteketeza mamia ya miili ya watu huko El Fasher
Nov 09, 2025 10:04Mtandao wa Madaktari wa Sudan umesema kwamba Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) vilikusanya mamia ya miili kutoka mitaani na vitongoji vya makazi ya raia vya El Fasher (mji mkuu wa Darfur Kaskazini) na kuzika baadhi ya miili hiyo katika makaburi ya umati, huku mingine ikichomwa moto kabisa.
-
Balozi wa Russia nchini Sudan: Mamluki wa Ukraine wanaendeshaji droni huko Darfur
Nov 08, 2025 07:15Balozi wa Russia nchini Sudan, Andrey Chernovol, ameripoti kwamba kuna uvumi unaosambaa nchini Sudan kuhusu uwepo wa Waukreini wanasimamia operesheni za ndege zisizo na rubani katika safu ya waasi wa Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF).
-
Jeshi la Sudan lakabiliana na mashambulizi ya droni katika mji mkuu Khartoum
Nov 08, 2025 04:08Jeshi la Sudan limetangaza kuwa kikosi chake cha ulinzi wa anga jana Ijumaa kilinasa kundi la ndege zisizo na rubani (droni) zilizokusudia kufanya mashambulizi katika mji wa Omdurman, magharibi mwa Khartoum, na katika mji wa kaskazini wa Atbara.
-
El Fasher, Hadithi ya Kuanguka Mji
Nov 07, 2025 16:32El Fasher sio jina la mji tu; bali ni jeraha lililowazi la dhamiri ya dunia. Katika kipindi chetu leo, tunasimulia mzingiro uliozuia mkate wa watu, na hujuma iliokata pumzi za watoto. Ni simulizi fupi lakini sahihi, inayotuhimiza sisi sote kuelekeza mazingatio yetu kwa maafa ya binadamu yanayotokea huko Sudan....
-
Sudan: Jamii ya kimataifa ichukue hatua kusitisha utumaji silaha kwa wanamgambo wa RSF
Nov 05, 2025 07:12Sudan imekariri wito wake kwa jamii ya kimataifa ikitaka kufanyika juhudi za kuzuia mtiririko wa silaha kwa wanamgambo wa Kikosi cha Msaada wa Haraka (RSF) na kulitaja kundi hilo kuwa "taasisi ya kigaidi."
-
Wasichotaka mkijue; Sudan, nchi ya dhahabu iliyonaswa na wafanyanjama wa kimataifa
Nov 05, 2025 06:04Sudan, ambayo kwa sasa imetumbukia katika kinamasi cha vita vya wenyewe kwa wenyewe, ni nchi yenye nguvu na uwezo mwingi.
-
Mkuu wa WHO alaani kuuliwa wagonjwa na raia katika mji wa El Fasher nchini Sudan
Oct 31, 2025 03:14Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani WHO amelaani taarifa iliyoripotiwa kuhusu kuuliwa wagonjwa na raia kufuatia kushtadi machafuko katika mji wa El Fasher nchini Sudan. Tedros Adhanom Ghebreyesus ametaka kuhitimishwa uhasama.
-
IOM: Zaidi ya raia 7,400 wamekimbia makazi yao huko El-Fasher, Sudan
Oct 29, 2025 07:31Shirika la Kimataifa la Uhamiaji (IOM) limeeleza kuwa watu wasiopungua 7,455 wamekimbia imji wa El fasher magharibi mwa Sudan katika muda wa siku moja kufuatia mashambulizi ya wanamgambo wa Kikosi cha Msaada wa Haraka (RSF).