Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan

  • Watu 54 wameuawa katika shambulio la anga linalodaiwa kufanywa na jeshi la Sudan

    Watu 54 wameuawa katika shambulio la anga linalodaiwa kufanywa na jeshi la Sudan

    Mar 26, 2025 07:45

    Makundi ya misaada ya kibinadamu yameripoti kuwa watu wasiopungua 54 wameuawa katika shambulio la anga la jeshi katika soko moja mashariki mwa nchi hiyo.

  • RSF yaua raia 45 Al-Malha; jeshi la Sudan lasonga mbele

    RSF yaua raia 45 Al-Malha; jeshi la Sudan lasonga mbele

    Mar 23, 2025 10:55

    Zaidi ya raia 45 wameuawa katika shambulio la Kikosi cha Msaada wa Haraka (RSF) katika eneo la Al-Malha, yapata kilomita 210 kaskazini mwa El Fasher, magharibi mwa Sudan.

  • Mashambulizi ya RSF magharibi mwa Khartoum yauwa raia 4 na kujeruhi wengine 30

    Mashambulizi ya RSF magharibi mwa Khartoum yauwa raia 4 na kujeruhi wengine 30

    Mar 17, 2025 11:53

    Mamlaka ya serikali za mitaa huko Sudan imetangaza leo Jumatatu kuwa mashambulizi ya mizinga ya wanamgambo wa kikosi cha RSF yameua raia wanne na kujeruhiwa wengine 30 katika mji wa Omdurman unaopatikana katika jimbo la Khartoum, mji mkuu wa nchi hiyo.

  • Wawakilishi wa Sudan na UAE walumbana katika mkutano wa Baraza la Usalama

    Wawakilishi wa Sudan na UAE walumbana katika mkutano wa Baraza la Usalama

    Mar 14, 2025 13:02

    Mkutano wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa mjini New York uliokuwa ukichunguza hali ya kibinadamu nchini Sudan umeambatana na malumbano na shutuma za pande mbili kati ya wawakilishi wa Sudan na UAE katika Umoja wa Mataifa.

  • UN: Zaidi ya watu milioni 30 nchini Sudan wanahitaji msaada wa haraka wa kibinadamu

    UN: Zaidi ya watu milioni 30 nchini Sudan wanahitaji msaada wa haraka wa kibinadamu

    Mar 13, 2025 07:43

    Zaidi ya watu milioni 30 katika nchi iliyoathiriwa na vita ya Sudan wanahitaji msaada wa haraka wa kibinadamu huku hali ya maisha ikizidi kuwa mbaya. Haya yalielezwa jana Shirika la Kimataifa la Uhamiaji (IOM).

  • RSF yaua raia 23 katika mashambulizi kadhaa al-Jazira, Sudan

    RSF yaua raia 23 katika mashambulizi kadhaa al-Jazira, Sudan

    Mar 07, 2025 11:00

    Vikosi vya Msaada wa Haraka vya Sudan (RSF) vimeripotiwa kuwauwa makumi ya raia katika vijiji vya jimbo la al-Jazira ambalo linapakana na mji mkuu Khartoum, kaskazini mwa nchi.

  • Sudan yaishtaki UAE Mahakama ya ICJ kuwa imehusika na mauaji ya kimbari ya jamii ya Masalit

    Sudan yaishtaki UAE Mahakama ya ICJ kuwa imehusika na mauaji ya kimbari ya jamii ya Masalit

    Mar 07, 2025 07:06

    Mahakama ya Kimataifa ya Haki ya Umoja wa Mataifa (ICJ) imetangaza kuwa imepokea mashtaka yaliyowasilishwa na Sudan dhidi ya Muungano wa Falme za Kiarabu UAE, au Imarati ambapo Khartoum inaituhumu Abu Dhabi kuwa imekiuka Mkataba wa Mauaji ya Kimbari kwa kuwapa silaha na kuwafadhili kifedha wanamgambo wa "Vikosi vya Usaidizi wa Haraka" (RSF) katika vita vya ndani vya Sudan.

  • Misri yapinga kuundwa serikali nyingine nchini Sudan

    Misri yapinga kuundwa serikali nyingine nchini Sudan

    Mar 02, 2025 12:24

    Misri imetangaza leo Jumapili kuwa haiafiki jaribio lolote la kuunda serikali nyingine nchini Sudan au kuchukuliwa hatua yoyote ambayo inatishia umoja na mamlaka ya kujitawala Sudan.

  • Mapigano makali yaripotiwa kandokando ya ikulu ya rais mjini Khartoum, Sudan

    Mapigano makali yaripotiwa kandokando ya ikulu ya rais mjini Khartoum, Sudan

    Mar 02, 2025 07:15

    Baadhi ya vyanzo vya ndani vimeripoti kuwa Jeshi la Sudan limefanya mashambulizi makali dhidi ya ngome za wapiganaji wa Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) mjini Khartoum na kwamba mapigano makali yanashuhudiwa karibu na ikulu ya rais.

  • WFP yasimamisha usambazaji wa chakula Darfur Kaskazini, Sudan

    WFP yasimamisha usambazaji wa chakula Darfur Kaskazini, Sudan

    Mar 01, 2025 07:14

    Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) limesitisha usambazaji wa chakula cha msaada katika kambi ya wakimbizi ya Zamzam nchini Sudan kutokana na kushtadi mapigano kati ya jeshi la serikali na Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF).

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS