Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan

  • Taasisi ya misaada Sudan: Shambulio la RSF limeua watu 75 Darfur

    Taasisi ya misaada Sudan: Shambulio la RSF limeua watu 75 Darfur

    Sep 20, 2025 02:37

    Vikosi vya Usaidizi wa Haraka RSF vimewaua watu 75 katika shambulio la ndege zisizo na rubani lililolenga msikiti mmoja katika kambi ya watu waliolazimika kuyahama makazi yao kwenye jimbo la Darfur nchini Sudan. Hayo yameelezwa na taasisi ya utoaji misaada inayoendesha eneo hilo inayojulikana kama Chumba cha Mjibizo wa Dharura (Emergency Response Room).

  • Zaidi ya 1,000 waaga dunia katika maporomoko ya ardhi Darfur, Sudan

    Zaidi ya 1,000 waaga dunia katika maporomoko ya ardhi Darfur, Sudan

    Sep 02, 2025 07:03

    Kwa akali watu 1,000 wamepoteza maisha katika maporomoko ya ardhi yaliyoharibu kijiji kizima katika eneo la Milima ya Marra magharibi mwa Sudan.

  • Kamanda wa wanamgambo wa RSF aapishwa kuwa Mkuu wa serikali sambamba huko Sudan

    Kamanda wa wanamgambo wa RSF aapishwa kuwa Mkuu wa serikali sambamba huko Sudan

    Sep 01, 2025 07:45

    Mohammed Hamdan Dagalo kamanda wa wanamgambo wa Kikosi cha Msaada wa Haraka (RSF) jana aliapishwa kuwa kiongozi wa serikali sambamba nchini Sudan.

  • Raia 5 wa familia moja wauawa katika shambulio la droni la RSF huko Kordofan ya Kaskazini

    Raia 5 wa familia moja wauawa katika shambulio la droni la RSF huko Kordofan ya Kaskazini

    Aug 31, 2025 07:23

    Jeshi la Sudan limetangaza kuwa raia watano kutoka kwa familia moja, wakiwemo binti wawili, wameuawa katika shambulio la ndege isiyo na rubani lililotekelezwa na Kikosi cha Wanamgambo waMsaada wa Haraka (RSF) katika Jimbo la Kordofan Kaskazini, kusini mwa Sudan.

  • Katibu Mkuu wa UN alaani mashambulizi yasiyokoma ya RSF dhidi ya mji wa El Fasher, Sudan

    Katibu Mkuu wa UN alaani mashambulizi yasiyokoma ya RSF dhidi ya mji wa El Fasher, Sudan

    Aug 30, 2025 05:53

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres amelaani vikali mashambulizi yanayofanywa na Vikosi vya Usaidizi wa Haraka, RSF dhidi ya mji wa El Fasher, kaskazini mwa jimbo la Darfur nchini Sudan huko akitoa indhari juu ya maafa makubwa ya kibinadamu na ukiukaji wa sheria za kimataifa unaofanywa katika mji huo.

  • UNICEF yaonya: Watoto wamenasa kwenye janga la kutisha El Fasher, Sudan

    UNICEF yaonya: Watoto wamenasa kwenye janga la kutisha El Fasher, Sudan

    Aug 29, 2025 02:23

    Shirika la Kuhudumia Watoto la Umoja wa Mataifa UNICEF limeonya juu ya janga kubwa la kuogofya linalowawajihi watoto walionasa mjini El-Fasher, makao makuu ya jimbo la Darfur Kaskazini, magharibi mwa Sudan.

  • Raia 13 wauawa na wanamgambo wa RSF huko Darfur, Sudan

    Raia 13 wauawa na wanamgambo wa RSF huko Darfur, Sudan

    Aug 25, 2025 10:34

    Raia wasiopungua 13 wa Sudan wameripotiwa kuuawa na wapiganaji wa Kikosi cha Msaada wa Haraka (RSF) huko Darfur Kaskazini.

  • Sudan yaripoti wagonjwa wapya wa kipindupindu 1,575, vifo 22

    Sudan yaripoti wagonjwa wapya wa kipindupindu 1,575, vifo 22

    Aug 20, 2025 06:30

    Wizara ya Afya ya Sudan imetangaza kuwa wagonjwa 1,575 wapya wa kipindupindu na vifo 22 vimesajiliwa kote nchini humo katika muda wa wiki moja iliyopita.

  • Watu 21 waaga dunia kwa kipindupindu nchini Sudan katika muda wa wiki moja

    Watu 21 waaga dunia kwa kipindupindu nchini Sudan katika muda wa wiki moja

    Aug 06, 2025 06:52

    Wizara ya Afya ya Sudan jana ilitangaza kuwa raia wa nchi hiyo wasiopungua 21 wameaga dunia katika muda wa wiki moja baada ya kuugua kipindupindu huku maambukizo mapya yakiripotiwa kufikia 2,345.

  • UNICEF: Watoto Sudan wanakaribia katika ukingo wa madhara yasiyoweza kurekebishwa

    UNICEF: Watoto Sudan wanakaribia katika ukingo wa madhara yasiyoweza kurekebishwa

    Aug 05, 2025 14:41

    Kusimamishwa kwa ufadhili wa kimataifa wa fedha kunakisukuma kizazi chote cha watoto wa Sudan katika ukingo wa madhara yasiyoweza kurekebishwa huku idadi ya watoto walioathiriwa na utapiamlo nchini humo ikiongezeka. Haya ni kwa mujibu wa ripoti ya UNICEF.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS