Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan

  • UN: Ukatili unaofanyika Sudan hauna mipaka; vifo vyaongezeka Darfur

    UN: Ukatili unaofanyika Sudan hauna mipaka; vifo vyaongezeka Darfur

    May 02, 2025 02:53

    Umoja wa Mataifa umesema zaidi ya watu 540 wameuawa huko Darfur Kaskazini, magharibi mwa Sudan katika muda wa wiki tatu zilizopita, huku wanajeshi wakizidisha opereseheni zao za kuukomboa mji wa el-Fasher, makao makuu ya jimbo hilo.

  • Maelfu waliokimbia vita Sudan wanarejea nchini kutoka Misri

    Maelfu waliokimbia vita Sudan wanarejea nchini kutoka Misri

    Apr 30, 2025 11:21

    Makumi ya maelfu ya Wasudani waliolazimika kuhama makazi yao kutokana na vita sasa wanarejea nchini licha ya vita kuendelea kushuhudiwa katika baadhi ya maeneo ya Sudan.

  • Wasudan 31 wauawa katika shambulio la RSF mjini Omdurman

    Wasudan 31 wauawa katika shambulio la RSF mjini Omdurman

    Apr 28, 2025 07:59

    Raia wasiopungua 31 wa Sudan wakiwemo watoto wameuawa na wapiganaji wa Kikosi cha Msaada wa Haraka (RSF) katika mji wa Omdurman, kaskazini mwa mji mkuu wa Sudan Khartoum.

  • RSF ya Sudan yafanya mauaji mengine ya kutisha El-Fasher, Darfur Kaskazini

    RSF ya Sudan yafanya mauaji mengine ya kutisha El-Fasher, Darfur Kaskazini

    Apr 23, 2025 02:23

    Raia wasiopungua 47 wameuawa katika mashambulizi ya mizinga yalilofanywa na Kikosi cha Msaada wa Haraka (RSF) huko El-Fasher, mji mkuu wa Jimbo la Darfur Kaskazini magharibi mwa Sudan.

  • Katibu Mkuu wa Hilali Nyekundu Sudan: Vita haviheshimu chochote

    Katibu Mkuu wa Hilali Nyekundu Sudan: Vita haviheshimu chochote

    Apr 19, 2025 06:50

    Huku vita vya ndani huko Sudan vikiingia katika mwaka wa tatu, Mkuu wa Shirika la Hilali Nyekundu la Sudan (Hilali Nyekundu) SRCS ametahadharisha kuhusu kuongezeka hatari zinazowakabili wafanyakazi wa misaada ya kibinadamu katika mazingira magumu wanayofanyia kazi wakati wakitoa huduma kwa mamilioni ya watu walioathiriwa na vita.

  • Sudan imeingia mwaka wa tatu wa vita; wachezaji wa kikanda wana nafasi gani?

    Sudan imeingia mwaka wa tatu wa vita; wachezaji wa kikanda wana nafasi gani?

    Apr 18, 2025 02:33

    Wakati vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini Sudan vikiingia katika mwaka wake wa tatu, mapigano, kuhama makazi na njaa vimeifanya nchi hiyo kuwa moja ya nchi zilizotumbukia kwenye mgogoro mkubwa zaidi duniani.

  • Jeshi la Sudan lasonga mbele Omdurman Magharibi, lateka tena maeneo 3 kutoka RSF

    Jeshi la Sudan lasonga mbele Omdurman Magharibi, lateka tena maeneo 3 kutoka RSF

    Apr 16, 2025 08:02

    Jeshi la Sudan jana lilitangaza kuwa limesonga mbele katika eneo la Omdurman Magharibi na kukomboa maeneo matatu na kambi moja kutoka kwa wanamgambo wa Kikosi cha Msaada wa Haraka (RSF).

  • Iran yabainisha wasiwasi wake kuhusu hali mbaya ya watu wa Al-Fasher, Sudan

    Iran yabainisha wasiwasi wake kuhusu hali mbaya ya watu wa Al-Fasher, Sudan

    Apr 15, 2025 10:14

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amebainisha wasiwasi wake juu ya hali mbaya ya kibinadamu ya watu wa mji wa Al-Fasher uliozingirwa huko Sudan, na ametaka kuondolewa kwa mzingiro huo, kusitishwa kwa mashambulizi, na kulindwa kwa maisha ya raia kwa mujibu wa misingi ya sheria za kimataifa za kibinadamu.

  • UN: Mauaji ya mamia ya watu El-Fasher, Sudan yanatisha

    UN: Mauaji ya mamia ya watu El-Fasher, Sudan yanatisha

    Apr 15, 2025 07:59

    Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa amelaani vikali mashambulizi mabaya ya hivi karibuni ya Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) huko eneo la Darfur Kaskazini nchini Sudan akisema kuwa, mashambulizi hayo yanaashiria kushindwa kwa jamii ya kimataifa kuchukua hatua za maana licha ya maonyo ya mara kwa mara.

  •  Mamia wauawa na kujeruhiwa katika shambulio la RSF kwenye kambi ya Zamzam

    Mamia wauawa na kujeruhiwa katika shambulio la RSF kwenye kambi ya Zamzam

    Apr 13, 2025 06:54

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Sudan na mashirika ya misaada ya kibinadamu yamesema kuwa mamia ya watu wameuawa na kujeruhiwa katika shambulio lililofanywa jana na Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) kwenye kambi ya Zamzam ya wakimbizi wa ndani katika mji wa El Fasher, Jimbo la Darfur Kaskazini, magharibi mwa Sudan.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS