Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan

  • Raia 5 wa familia moja wauawa katika shambulio la droni la RSF huko Kordofan ya Kaskazini

    Raia 5 wa familia moja wauawa katika shambulio la droni la RSF huko Kordofan ya Kaskazini

    Aug 31, 2025 07:23

    Jeshi la Sudan limetangaza kuwa raia watano kutoka kwa familia moja, wakiwemo binti wawili, wameuawa katika shambulio la ndege isiyo na rubani lililotekelezwa na Kikosi cha Wanamgambo waMsaada wa Haraka (RSF) katika Jimbo la Kordofan Kaskazini, kusini mwa Sudan.

  • Katibu Mkuu wa UN alaani mashambulizi yasiyokoma ya RSF dhidi ya mji wa El Fasher, Sudan

    Katibu Mkuu wa UN alaani mashambulizi yasiyokoma ya RSF dhidi ya mji wa El Fasher, Sudan

    Aug 30, 2025 05:53

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres amelaani vikali mashambulizi yanayofanywa na Vikosi vya Usaidizi wa Haraka, RSF dhidi ya mji wa El Fasher, kaskazini mwa jimbo la Darfur nchini Sudan huko akitoa indhari juu ya maafa makubwa ya kibinadamu na ukiukaji wa sheria za kimataifa unaofanywa katika mji huo.

  • UNICEF yaonya: Watoto wamenasa kwenye janga la kutisha El Fasher, Sudan

    UNICEF yaonya: Watoto wamenasa kwenye janga la kutisha El Fasher, Sudan

    Aug 29, 2025 02:23

    Shirika la Kuhudumia Watoto la Umoja wa Mataifa UNICEF limeonya juu ya janga kubwa la kuogofya linalowawajihi watoto walionasa mjini El-Fasher, makao makuu ya jimbo la Darfur Kaskazini, magharibi mwa Sudan.

  • Raia 13 wauawa na wanamgambo wa RSF huko Darfur, Sudan

    Raia 13 wauawa na wanamgambo wa RSF huko Darfur, Sudan

    Aug 25, 2025 10:34

    Raia wasiopungua 13 wa Sudan wameripotiwa kuuawa na wapiganaji wa Kikosi cha Msaada wa Haraka (RSF) huko Darfur Kaskazini.

  • Sudan yaripoti wagonjwa wapya wa kipindupindu 1,575, vifo 22

    Sudan yaripoti wagonjwa wapya wa kipindupindu 1,575, vifo 22

    Aug 20, 2025 06:30

    Wizara ya Afya ya Sudan imetangaza kuwa wagonjwa 1,575 wapya wa kipindupindu na vifo 22 vimesajiliwa kote nchini humo katika muda wa wiki moja iliyopita.

  • Watu 21 waaga dunia kwa kipindupindu nchini Sudan katika muda wa wiki moja

    Watu 21 waaga dunia kwa kipindupindu nchini Sudan katika muda wa wiki moja

    Aug 06, 2025 06:52

    Wizara ya Afya ya Sudan jana ilitangaza kuwa raia wa nchi hiyo wasiopungua 21 wameaga dunia katika muda wa wiki moja baada ya kuugua kipindupindu huku maambukizo mapya yakiripotiwa kufikia 2,345.

  • UNICEF: Watoto Sudan wanakaribia katika ukingo wa madhara yasiyoweza kurekebishwa

    UNICEF: Watoto Sudan wanakaribia katika ukingo wa madhara yasiyoweza kurekebishwa

    Aug 05, 2025 14:41

    Kusimamishwa kwa ufadhili wa kimataifa wa fedha kunakisukuma kizazi chote cha watoto wa Sudan katika ukingo wa madhara yasiyoweza kurekebishwa huku idadi ya watoto walioathiriwa na utapiamlo nchini humo ikiongezeka. Haya ni kwa mujibu wa ripoti ya UNICEF.

  • Njaa yaongezeka katika mji wa al Fashir, Sudan

    Njaa yaongezeka katika mji wa al Fashir, Sudan

    Aug 05, 2025 02:43

    Mamia ya maelfu ya watu waliozingirwa na jeshi la Sudan katika mji wa al Fashir katika jimbo la Darfur wanaishiwa na chakula huku wakikabiliwa na mashambulizi ya mara kwa mara ya droni na makombora.

  • Kwa nini serikali ya Sudan inachukulia uundaji wa serikali hasimu kuwa tishio kubwa?

    Kwa nini serikali ya Sudan inachukulia uundaji wa serikali hasimu kuwa tishio kubwa?

    Jul 29, 2025 10:56

    Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Sudan imelaani vikali tangazo la kuundwa serikali hasimu na Vikosi vya Msaada wa Haraka vinavyoongozwa na "Mohammed Hamdan Dagalo", anayejulikana kwa jina la "Hemedti".

  • Sudan yalaani vikwazo vipya vya Umoja wa Ulaya dhidi yake

    Sudan yalaani vikwazo vipya vya Umoja wa Ulaya dhidi yake

    Jul 20, 2025 14:07

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Sudan imeshutumu vikwazo vipya vilivyowekwa na Umoja wa Ulaya dhidi ya watu binafsi na mashirika ya Sudan, na kusisitiza kuwa havina "viwango vya uadilifu vya kisheria."

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS