Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan

  • Sudan: RSF imeua raia wengine 32 El-Fasher, Darfur Kaskazini

    Sudan: RSF imeua raia wengine 32 El-Fasher, Darfur Kaskazini

    Apr 12, 2025 11:39

    Jeshi la Sudan limesema kwa uchache raia 32 wameuawa katika shambulio jipya la Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) huko El-Fasher, makao makuu ya Jimbo la Darfur Kaskazini.

  • Sudan yaiambia ICJ kuwa UAE inachochea mauaji ya halaiki Darfur

    Sudan yaiambia ICJ kuwa UAE inachochea mauaji ya halaiki Darfur

    Apr 11, 2025 02:06

    Sudan iliiambia Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) jana Alhamisi kwamba, Umoja wa Falme za Kiarabu umekiuka Mkataba wa Mauaji ya Kimbari kwa kuunga mkono vikosi vya wanamgambo huko Darfur, na kuwataka majaji wa mahakama hiyo kutoa amri ya dharura ya kuzuia mauaji ya kimbari katika eneo hilo.

  • Mapigano makali yaripotiwa jeshi la Sudan likizilenga ngome za mwisho za RFS huko Khartoum

    Mapigano makali yaripotiwa jeshi la Sudan likizilenga ngome za mwisho za RFS huko Khartoum

    Apr 05, 2025 07:03

    Jeshi la Sudan jana Ijumaa lilikabiliana vikali na hasimu wake yaani Kikosi cha Wanamgambo wa Msaada wa Haraka (RSF) katika ngome za mwisho za kikosi hicho katika mji wa Omdurman huko Khartoum.

  • Watu 89 wauawa katika mashambulizi ya RSF Omdurman, Sudan

    Watu 89 wauawa katika mashambulizi ya RSF Omdurman, Sudan

    Apr 03, 2025 07:06

    Raia wasiopungua 89 wameuawa na mamia ya wengine kujeruhiwa katika mashambulizi ya Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) kwenye vijiji vya Omdurman, karibu na ufukwe wa Mto Nile, kaskazini magharibi mwa Khartoum, mji mkuu wa Sudan.

  • RSF yaua na kujeruhi makumi ya raia wa Sudan Kordofan Kusini

    RSF yaua na kujeruhi makumi ya raia wa Sudan Kordofan Kusini

    Apr 03, 2025 02:32

    Kwa akali raia 12 wa Sudan wameuawa katika mashambulizi ya Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) katika Jimbo la Kordofan Kusini.

  • Watu 54 wameuawa katika shambulio la anga linalodaiwa kufanywa na jeshi la Sudan

    Watu 54 wameuawa katika shambulio la anga linalodaiwa kufanywa na jeshi la Sudan

    Mar 26, 2025 07:45

    Makundi ya misaada ya kibinadamu yameripoti kuwa watu wasiopungua 54 wameuawa katika shambulio la anga la jeshi katika soko moja mashariki mwa nchi hiyo.

  • RSF yaua raia 45 Al-Malha; jeshi la Sudan lasonga mbele

    RSF yaua raia 45 Al-Malha; jeshi la Sudan lasonga mbele

    Mar 23, 2025 10:55

    Zaidi ya raia 45 wameuawa katika shambulio la Kikosi cha Msaada wa Haraka (RSF) katika eneo la Al-Malha, yapata kilomita 210 kaskazini mwa El Fasher, magharibi mwa Sudan.

  • Mashambulizi ya RSF magharibi mwa Khartoum yauwa raia 4 na kujeruhi wengine 30

    Mashambulizi ya RSF magharibi mwa Khartoum yauwa raia 4 na kujeruhi wengine 30

    Mar 17, 2025 11:53

    Mamlaka ya serikali za mitaa huko Sudan imetangaza leo Jumatatu kuwa mashambulizi ya mizinga ya wanamgambo wa kikosi cha RSF yameua raia wanne na kujeruhiwa wengine 30 katika mji wa Omdurman unaopatikana katika jimbo la Khartoum, mji mkuu wa nchi hiyo.

  • Wawakilishi wa Sudan na UAE walumbana katika mkutano wa Baraza la Usalama

    Wawakilishi wa Sudan na UAE walumbana katika mkutano wa Baraza la Usalama

    Mar 14, 2025 13:02

    Mkutano wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa mjini New York uliokuwa ukichunguza hali ya kibinadamu nchini Sudan umeambatana na malumbano na shutuma za pande mbili kati ya wawakilishi wa Sudan na UAE katika Umoja wa Mataifa.

  • UN: Zaidi ya watu milioni 30 nchini Sudan wanahitaji msaada wa haraka wa kibinadamu

    UN: Zaidi ya watu milioni 30 nchini Sudan wanahitaji msaada wa haraka wa kibinadamu

    Mar 13, 2025 07:43

    Zaidi ya watu milioni 30 katika nchi iliyoathiriwa na vita ya Sudan wanahitaji msaada wa haraka wa kibinadamu huku hali ya maisha ikizidi kuwa mbaya. Haya yalielezwa jana Shirika la Kimataifa la Uhamiaji (IOM).

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS