Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan

  • Jeshi la Sudan ladhibiti kikamilifu kiwanda kikubwa zaidi cha kusafisha mafuta nchini humo

    Jeshi la Sudan ladhibiti kikamilifu kiwanda kikubwa zaidi cha kusafisha mafuta nchini humo

    Jan 26, 2025 06:54

    Jeshi la Sudan limeeleza kuwa limechukua udhibiti kamili wa kiwanda cha kusafisha mafuta cha al Jaili karibu na mji mkuu wa nchi hiyo, Khartoum huku gavana mmoja wa nchi hiyo akiripoti kuuawa watu zaidi ya 70 katika shambulio la droni lililotekelezwa na wanamgambo wa Kikosi cha Msaada wa Haraka (RSF) huko al Fasher magharibi mwa Sudan.

  • Jeshi la Sudan: Tumevunja mzingiro wa RSF Khartoum

    Jeshi la Sudan: Tumevunja mzingiro wa RSF Khartoum

    Jan 25, 2025 11:35

    Jeshi la Sudan limetangaza habari ya kufanikiwa kuvunja 'mzingiro' uliowekwa na Kikosi cha Msaada wa Haraka (RSF) dhidi ya Kamandi Kuu ya jeshi hilo katikati mwa Khartoum, mji mkuu wa nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.

  • Jeshi la Sudan na RSF wapigana kuhusu kinu cha kusafisha mafuta kaskazini mwa Khartoum

    Jeshi la Sudan na RSF wapigana kuhusu kinu cha kusafisha mafuta kaskazini mwa Khartoum

    Jan 24, 2025 03:36

    Mapigano makali yaliendelea kwa siku ya pili jana Alhamisi kati ya jeshi la Sudan na wanamgambo hasimu wa jeshi hiyo yaani Kikosi cha Msaada wa Haraka (RSF) karibu na kinu cha kusafisha mafuta kaskazini mwa mji mkuu, Khartoum.

  • Sudan: Wanamgambo wa RSF wamekishambulia kituo cha umeme cha mji wa Dongola

    Sudan: Wanamgambo wa RSF wamekishambulia kituo cha umeme cha mji wa Dongola

    Jan 21, 2025 07:11

    Jeshi la Sudan limewatuhumu wanamgambo wa kikosi cha (RSF) kwa kukishambulia kituo cha umeme kaskazini mwa nchi hiyo na kusababisha kukatika kwa umeme katika mji wa Dongola.

  • Sudan yakosoa hatua ya Marekani ya kumuwekea vikwazo kamanda wa jeshi la nchi hiyo

    Sudan yakosoa hatua ya Marekani ya kumuwekea vikwazo kamanda wa jeshi la nchi hiyo

    Jan 18, 2025 02:41

    Sudan imelaani na kukosoa uamuzi wa Wizara ya Fedha ya Marekani ya kumuwekea vikwazo kiongozi wa jeshi la nchi hiyo, Jenerali Abdel Fattah al-Burhan.

  • Kiongozi wa Sudan: Mataifa ya kikoloni yanachochea migogoro Afrika

    Kiongozi wa Sudan: Mataifa ya kikoloni yanachochea migogoro Afrika

    Jan 13, 2025 10:49

    Kiongozi wa Sudan Jenerali Abdel Fattah al Burhan amesema kuwa mataifa ya kikoloni yanachochea migogoro mbalimbali barani Afrika.

  • Al Burhan akataa kurejea katika mazingira kabla ya vita na kikosi cha RSF

    Al Burhan akataa kurejea katika mazingira kabla ya vita na kikosi cha RSF

    Jan 01, 2025 12:31

    Kiongozi wa Baraza Kuu la Utawala la Sudan amesema ni jambo lisilowezekana kurejea katika hali ya kabla ya vita na mahasimu wao yaani wanamgambo wa Kikosi cha Msaada wa Haraka (RSF) .

  • Sudan: Vyombo vya habari vya Magharibi vinapotosha ukweli kuhusu vita

    Sudan: Vyombo vya habari vya Magharibi vinapotosha ukweli kuhusu vita

    Dec 30, 2024 12:20

    Waziri wa Habari na Utamaduni wa Sudan amevituhumu vyombo vya habari vya Magharibi kwa kupotosha uhakika wa mambo kuhusiana na vita vinavyoendelea nchini humo akisema kuwa vyombo hivyo vinaegemea upande wa kikosi cha RSF.

  • Sudan yaikosoa EU kwa kuwawekea vikwazo majenerali wake 2

    Sudan yaikosoa EU kwa kuwawekea vikwazo majenerali wake 2

    Dec 20, 2024 02:51

    Sudan imelaani uamuzi wa Umoja wa Ulaya wa kuwawekea vikwazo majenerali wawili wa jeshi la nchi hiyo, ikieleza kuwa hatua hiyo ni potofu na yenye dosari.

  • Mauritania; mwenyeji wa mazungumzo ya amani ya Sudan

    Mauritania; mwenyeji wa mazungumzo ya amani ya Sudan

    Dec 18, 2024 12:56

    Mauritania Jumatano hii imekuwa mwenyeji wa mashauriano yenye lengo la kurejesha amani nchini Sudan kufuatia ombi la Umoja wa Mataifa na kwa ushiriki wa wajumbe kutoka nchi na mashirika mbalimbali.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS