Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan

  • Sudan yaishtaki UAE Mahakama ya ICJ kuwa imehusika na mauaji ya kimbari ya jamii ya Masalit

    Sudan yaishtaki UAE Mahakama ya ICJ kuwa imehusika na mauaji ya kimbari ya jamii ya Masalit

    Mar 07, 2025 07:06

    Mahakama ya Kimataifa ya Haki ya Umoja wa Mataifa (ICJ) imetangaza kuwa imepokea mashtaka yaliyowasilishwa na Sudan dhidi ya Muungano wa Falme za Kiarabu UAE, au Imarati ambapo Khartoum inaituhumu Abu Dhabi kuwa imekiuka Mkataba wa Mauaji ya Kimbari kwa kuwapa silaha na kuwafadhili kifedha wanamgambo wa "Vikosi vya Usaidizi wa Haraka" (RSF) katika vita vya ndani vya Sudan.

  • Misri yapinga kuundwa serikali nyingine nchini Sudan

    Misri yapinga kuundwa serikali nyingine nchini Sudan

    Mar 02, 2025 12:24

    Misri imetangaza leo Jumapili kuwa haiafiki jaribio lolote la kuunda serikali nyingine nchini Sudan au kuchukuliwa hatua yoyote ambayo inatishia umoja na mamlaka ya kujitawala Sudan.

  • Mapigano makali yaripotiwa kandokando ya ikulu ya rais mjini Khartoum, Sudan

    Mapigano makali yaripotiwa kandokando ya ikulu ya rais mjini Khartoum, Sudan

    Mar 02, 2025 07:15

    Baadhi ya vyanzo vya ndani vimeripoti kuwa Jeshi la Sudan limefanya mashambulizi makali dhidi ya ngome za wapiganaji wa Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) mjini Khartoum na kwamba mapigano makali yanashuhudiwa karibu na ikulu ya rais.

  • WFP yasimamisha usambazaji wa chakula Darfur Kaskazini, Sudan

    WFP yasimamisha usambazaji wa chakula Darfur Kaskazini, Sudan

    Mar 01, 2025 07:14

    Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) limesitisha usambazaji wa chakula cha msaada katika kambi ya wakimbizi ya Zamzam nchini Sudan kutokana na kushtadi mapigano kati ya jeshi la serikali na Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF).

  • Mkuu wa haki za binadamu wa UN atadhaharisha juu ya hali mbaya ya mgogoro nchini Sudan

    Mkuu wa haki za binadamu wa UN atadhaharisha juu ya hali mbaya ya mgogoro nchini Sudan

    Feb 28, 2025 07:32

    Mkuu wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa siku ya Alhamisi aligusia mzozo unaozidi kuongezeka nchini Sudan na kutoa wito wa kuchukuliwa hatua za haraka za kimataifa ili kuzuia ukatili zaidi, njaa na watu wengi kuhama makazi yao.

  • Karibu wagonjwa 1,200 zaidi wa kipindupindu wameripotiwa katika jimbo la White Nile, Sudan

    Karibu wagonjwa 1,200 zaidi wa kipindupindu wameripotiwa katika jimbo la White Nile, Sudan

    Feb 23, 2025 07:40

    Mtandao wa Madaktari wa Sudan umeripoti kuwa kesi 1,197 za ugonjwa wa kipindupindu, vikiwemo vifo 83 vilivyosababishwa na ugonjwa huo vimesajiliwa katika jimbo la White Nile siku mbili zilizopita.

  • Pezeshkian: Iran inakaribisha kuhuishwa uhusiano wake na Sudan

    Pezeshkian: Iran inakaribisha kuhuishwa uhusiano wake na Sudan

    Feb 19, 2025 12:11

    Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian amesema Jamhuri ya Kiislamu inakaribisha kwa mikono miwili kurejeshwa kwa uhusiano wa nchi hii na Sudan, akisisitiza kuwa nchi za Kiislamu zinapaswa kuepuka mivutano na kukata uhusiano baina yao.

  • Sudan kukabiliana na watakaojaribu kuunda serikali nyingine

    Sudan kukabiliana na watakaojaribu kuunda serikali nyingine

    Feb 19, 2025 12:09

    Mjumbe wa Baraza Kuu la Sudan amesema serikali ya nchi hiyo "itapambana na yeyote anayetaka kuanzisha serikali nyingine" katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.

  • Spika Ghalibaf: Iran inaunga mkono uthabiti nchini Sudan

    Spika Ghalibaf: Iran inaunga mkono uthabiti nchini Sudan

    Feb 18, 2025 07:38

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran), Mohammad Baqer Ghalibaf amesema Jamhuri ya Kiislamu inaunga mkono juhudi za kurejeshwa utulivu na uthabiti nchini Sudan, sanjari na kuundwa "utawala wa umoja" ambao utahakikisha kuwa taifa hilo lina mamlaka kamili ya kujitawala.

  • Sudan yaafiki kuanzishwa nchini humo kambi ya jeshi la wanamaji la Russia

    Sudan yaafiki kuanzishwa nchini humo kambi ya jeshi la wanamaji la Russia

    Feb 13, 2025 02:52

    Khartoum na Moscow zimekubaliana juu ya kuanzishwa kituo cha jeshi la wanamaji la Russia nchini Sudan.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS