-
Umoja wa Mataifa wasikitishwa na kufukuzwa afisa wake nchini Sudan
May 23, 2016 02:56Umoja wa Mataifa umesema kuwa, kitendo cha Sudan cha kukataa kumuongezea muda wa iqama na kibali cha kuishi afisa mmoja wa ngazi za juu wa umoja huo, kina maana ya kumfukuza nchini humo.
-
ICC yaitaka Uganda kueleza kwa nini haikumkamata Rais wa Sudan
May 21, 2016 11:28Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai ICC imeitaka Uganda kueleza ni kwa nini ilishindwa kumkamata Rais Omar al-Bashir wa Sudan alipofanya ziara nchini humo wiki iliyopita.
-
Kushambuliwa kambi ya wakimbizi Darfur Sudan
May 11, 2016 03:16Watu wenye silaha wameishambulia kambi ya wakimbizi katika jimbo la Darfur, magharibi mwa Sudan na kuua watu wasiopungua watatu na kuwajeruhi wengine 11.