Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan

  • Wasudan waandamana tena kupinga utawala wa kijeshi, 50 wajeruhiwa

    Wasudan waandamana tena kupinga utawala wa kijeshi, 50 wajeruhiwa

    Mar 04, 2022 08:47

    Zaidi ya watu 50 wamejeruhiwa katika maandamano ya kupinga utawala wa kijeshi katika mji mkuu wa Sudan, Khartoum na miji mingine mikubwa ya nchi hiyo.

  • Wapinzani wa utawala wa kijeshi Sudan wataka kuondoa wanajeshi wa nchi hiyo katika vita vya Yemen

    Wapinzani wa utawala wa kijeshi Sudan wataka kuondoa wanajeshi wa nchi hiyo katika vita vya Yemen

    Feb 28, 2022 10:22

    Kamati za wanamapambano wa Sudan zimetoa wito wa kurejeshwa nyumbani wanajeshi wa nchi hityo wanaoshirikiana na Saudi Arabia katika vita dhidi ya taifa la Yemen.

  • Mtaalamu wa UN awasili Sudan kuchunguza ukiukaji wa haki za binadamu baada ya mapinduzi ya jeshi

    Mtaalamu wa UN awasili Sudan kuchunguza ukiukaji wa haki za binadamu baada ya mapinduzi ya jeshi

    Feb 22, 2022 08:22

    Mtaalamu wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa yuko nchini Sudan kuthibitisha madai ya wwa haki za binadamu baada ya mapinduzi ya kijeshi yaliyotokea nchini humo Oktoba mwaka jana ambayo yameitumbukiza nchi katika machafuko na kusababisha maandamano ya karibu kila siku dhidi ya utawala wa kijeshi.

  • 28 wajeruhiwa katika maandamano ya Wasudan ya kupinga utawala wa kijeshi

    28 wajeruhiwa katika maandamano ya Wasudan ya kupinga utawala wa kijeshi

    Feb 18, 2022 08:02

    Watu wasiopungua 28 wamejeruhiwa katika maandamano ya kupinga utawala wa kijeshi katika mji mkuu wa Sudan, Khartoum.

  • Al-Burhan: Jeshi la Sudan litatimiza ahadi ya kuitisha uchaguzi 2023

    Al-Burhan: Jeshi la Sudan litatimiza ahadi ya kuitisha uchaguzi 2023

    Feb 14, 2022 23:32

    Mkuu wa Baraza la Utawala la Sudan, Jenerali Abdel Fattah al-Burhan amesisitiza kuwa, jeshi litatimiza ahadi yake ya kuitisha uchaguzi katikati ya mwaka 2023 na wala halina nia ya kurefusha kipndi cha utawala mpito.

  • Burhan apongeza 'uhusiano wa kijasusi' wa Sudan na Israel

    Burhan apongeza 'uhusiano wa kijasusi' wa Sudan na Israel

    Feb 13, 2022 09:07

    Mkuu wa Jeshi la Sudan, Luteni Jenerali Abdel Fattah al-Burhan amejitokeza hadharani na kutetea kitendo chake cha kiafriti, cha kushinikiza kuboresha uhusiano wa kawaida wa nchi hiyo na utawala haramu wa Israel.

  • Wasudan waandamana kuulaani utawala wa Kizayuni wa Israel

    Wasudan waandamana kuulaani utawala wa Kizayuni wa Israel

    Feb 11, 2022 07:09

    Wananchi wa Sudan wamefanya maandamano katika mji mkuu wa nchi hiyo Khartoum, kulaani jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel na utawala wa majenerali wa kijeshi nchini mwao.

  • Maandamano mapya ya Wasudan ya kupinga utawala wa kijeshi

    Maandamano mapya ya Wasudan ya kupinga utawala wa kijeshi

    Feb 08, 2022 04:18

    Mamia ya wananchi wa Sudan jana Jumatatu kwa mara nyingine tena waliandamana katika mji mkuu Khartoum kupinga utawala wa kijeshi nchini humo.

  • UN: Imarati inasaidia magenge ya watu wenye silaha magharibi mwa Sudan

    UN: Imarati inasaidia magenge ya watu wenye silaha magharibi mwa Sudan

    Feb 06, 2022 01:11

    Umoja wa Mataifa umetoa ripoti yake maalumu na kusema kuwa, Umoja wa Falme za Kiarabu unayasadia magenge yenye silaha katika jimboi la Darfur la magharibi mwa Sudan.

  • Maandamano ya Wasudani kupinga uingiliaji wa madola ya kigeni katika masuala ya nchi hiyo

    Maandamano ya Wasudani kupinga uingiliaji wa madola ya kigeni katika masuala ya nchi hiyo

    Jan 27, 2022 08:22

    Raia wa Sudan wanaendelea kufanya maandamano wakipinga uingiliaji wa madola ya kigeni katika masuala ya ndani ya nchi yao na wamemtaka mjumbe maalumu wa Umoja wa Mataifa kuondoka nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS