Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Sudan: Tunafanya juhudi za kufikia mapatano kuhusu Bwawa la Renaissance

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Sudan: Tunafanya juhudi za kufikia mapatano kuhusu Bwawa la Renaissance

    May 30, 2021 08:58

    Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Sudan amesema nchi yake ina azma kubwa ya kufikia mapatano madhubuti na nchi jirani ya Ethiopia kuhusiana na kadhia ya kujazwa maji na kuanza kufanya kazi bwawa hilo.

  • Mazungumzo ya amani yaanza baina ya serikali ya Sudan na waasi wa SPLM huko Juba

    Mazungumzo ya amani yaanza baina ya serikali ya Sudan na waasi wa SPLM huko Juba

    May 26, 2021 21:51

    Mazungumzo ya amani baina ya serikali ya Sudan na Harakati ya Ukombozi wa Watu wa Sudan tawi la Kaskazini (SPLM) yalianza jana katika mji wa Juba chini ya usimamizi wa Rais ya serikali ya Sudan Kusini, Salva Kiir Mayardit.

  • Waziri Mkuu wa Sudan alaani mauaji ya maandamano mjini Khartoum

    Waziri Mkuu wa Sudan alaani mauaji ya maandamano mjini Khartoum

    May 13, 2021 02:37

    Waziri Mkuu wa Sudan Abdalla Hamdok amesema "ameshtushwa" na mauaji ya waandamanaji wanaotetea haki za Wasudani waliouawa na askari usalama miaka miwili iliyopita na ameyataja mauaji ya sasa kuwa ni "uhalifu wa kutumia risasi hai dhidi ya watu wanaoandamana kwa amani".

  • Sudan yasitisha mkataba wa kujenga kituo cha kijeshi cha Russia kwa sababu ya Marekani

    Sudan yasitisha mkataba wa kujenga kituo cha kijeshi cha Russia kwa sababu ya Marekani

    Apr 28, 2021 23:13

    Vyombo vya habari vya Russia vimetangaza kuwa, mkataba wa kujenga kituo cha kijeshi cha nchi hiyo nchini Sudan umesimamishwa na serikali ya Khartoum.

  • Ethiopia: Misri na Sudan hazitaki mgogoro wa Bwawa la al-Nahdha utatuliwe

    Ethiopia: Misri na Sudan hazitaki mgogoro wa Bwawa la al-Nahdha utatuliwe

    Apr 27, 2021 23:15

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Ethiopia amepuuza vitisho vya Misri na Sudan dhidi ya nchi hiyo na kusema kuwa, Cairo na Khartoum hazitaki kuona mzozo kuhusu Bwawa la al-Nahdha unapatiwa ufumbuzi na kumalizika.

  • Addis Ababa: Hakuna askari yeyote wa Ethiopia aliyekuwa mateka nchini Sudan

    Addis Ababa: Hakuna askari yeyote wa Ethiopia aliyekuwa mateka nchini Sudan

    Apr 22, 2021 03:22

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Ethiopia amesema Sudan imeikabidhi nchi hiyo wakulima 59 na wanamgambo wawili wa kieneo.

  • Ethiopia: File na bwawa la Renaissance si kadhia ya kimataifa

    Ethiopia: File na bwawa la Renaissance si kadhia ya kimataifa

    Apr 16, 2021 07:36

    Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Ethiopia amepinga mpango wowote wa kulifanya suala la bwawa la Renaissance kuwa mgogoro wa kimataifa.

  • Ujumbe wa Sudan kufanya safari rasmi ya kuelekea Israel wiki ijayo

    Ujumbe wa Sudan kufanya safari rasmi ya kuelekea Israel wiki ijayo

    Apr 15, 2021 08:21

    Maafisa wawili wa Sudan wamefichua kuwa, ujumbe wa serikali ya nchi hiyo utafanya ziara ya kwanza rasmi kuelekea Israel (Palestina inayokaliwa kwa mabavu) wiki ijayo.

  • Wasudani waandamana mbele ya ikulu ya rais wakilalamikia hali mbaya ya kiuchumi

    Wasudani waandamana mbele ya ikulu ya rais wakilalamikia hali mbaya ya kiuchumi

    Apr 12, 2021 05:59

    Wananchi wa Sudan wamefanya maandamano mbele ya ikulu ya rais wa nchi hiyo mjini Khartoum wakilalamikia hali mbaya ya uchumi na ughali wa maisha.

  • Sudan: Endapo tutaingia katika vita na Ethiopia tutaibuka na ushindi

    Sudan: Endapo tutaingia katika vita na Ethiopia tutaibuka na ushindi

    Apr 12, 2021 03:40

    Mjumbe wa Baraza la Utawala wa Mpito nchini Sudan ametangaza kuwa, endapo nchi yake itaingia katika vita na Ethiopia basi itaibuka na ushindi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS