-
Marekani imekasirishwa na juhudi za kutaka kuirejesha Syria katika Jumuiya ya Nchi za Kiarabu
Apr 22, 2023 09:00Sambamba na hamu iliyoonyeshwa na Saudi Arabia na baadhi ya nchi za Kiarabu ya kutaka Syria irejee katika Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Marekani imezifahamisha Saudia na utawala haramu wa Israel kwamba inapinga juhudi hizo za kuirejesha Damascus katika jumuiya hiyo.
-
Je, kuanguka ndege isiyo na rubani ya Israel nchini Syria kumetokana na sababu za kiufundi?
Apr 21, 2023 04:28Utawala wa Kizayuni wa Israel umetangaza kuanguka kwa moja ya ndege zake zisizo na rubani wakati wa uvamizi wa anga ya Syria.
-
Iraq yakaribisha taarifa ya pamoja ya Syria na Saudia
Apr 14, 2023 03:48Iraq imekaribisha taarifa ya pamoja ya Syria na Saudi Arabia, iliyotolewa mwishoni mwa ziara ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Syria Faisal al-Miqdad mjini Riyadh siku ya Jumatano.
-
Damascus: Shambulio dhidi ya Msikiti wa Al-Aqsa linaonyesha sura ya apartheid ya utawala wa Israel
Apr 13, 2023 04:39Wizara ya Mambo ya Nje ya Syria imetangaza kuwa mashambulizi ya mara kwa mara ya walowezi wa Kizayuni katika Msikiti wa Al-Aqsa ni matokeo ya ubaguzi wa rangi na tabia ya kigaidi ya utawala huo.
-
Kuongezwa kiwango cha uhusiano wa Tunisia na Syria; kutoka uwakilishi hadi balozi kamili
Apr 06, 2023 22:50Syria imepongeza uamuzi wa Rais Kais Saied wa Tunisia wa kuongeza kiwango cha uhusiano na ushirikiano wa kidiplomasia katika ubalozi wa nchi hiyo mjini Damascus Syria.
-
IRGC yasisitiza: Jinai ulizofanya utawala wa Kizayuni katu hazitaachwa bila kujibiwa
Apr 02, 2023 07:22Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limesisitiza kuwa: bila ya shaka yoyote jinai za utawala bandia na mtenda jinai wa Kizayuni hazitaachwa bila kujibiwa; na utawala huo haramu utalipa gharama za jinai zake.
-
Gazeti la Wall Street: Syria na Misri zinakaribia kurejesha uhusiano wa kidiplomasia
Apr 02, 2023 07:20Duru za kuaminika zimelidokeza gazeti la Wall Street (WSJ) linalochapishwa nchini Marekani kwamba Syria na Misri ziko katika mazungumzo ya ngazi ya juu ya kurejesha uhusiano wa kidiplomasia ambao ulivunjwa baada ya kuzuka mgogoro nchini Syria mnamo mwaka 2011.
-
Russia yapinga vitendo vya uchochezi vya Marekani nchini Syria
Apr 02, 2023 04:35Kamanda wa ngazi za juu nchini Russia alitangaza siku ya Ijumaa kuwa Moscow iimelalmikia "vitendo vya uchochezi" vya vikosi vamizi vya Marekani nchini Syria.
-
Duru mpya ya oparesheni za kijeshi dhidi ya wanajeshi wa Marekani nchini Syria
Mar 26, 2023 06:50Vituo vya kijeshi vya Marekani nchini Syria vimelengwa kwa makombora, na Marekani nayo kutoa jibu kwa oparesheni hiyo kwa kutekeleza mashambulizi.
-
Hatua za Saudi Arabia na Qatar kwa ajili ya kurejesha uhusiano na Syria
Mar 25, 2023 09:56Nchi za Kiarabu zimeamua kurekebisha sera zao kuhusiana na Syria na sasa zimeweka mguu katika njia ya mazungumzo na kurejesha uhusiano na serikali ya Damascus.