-
Vikosi vamizi vya US vyashambuliwa kwa maroketi mashariki ya Syria
Mar 25, 2023 03:38Kambi mbili haramu za wanajeshi vamizi wa Marekani zimeshambuliwa kwa makumi ya maroketi huko mashariki mwa Syria.
-
Baada ya kupita miaka kumi, Saudia na Syria zinatarajia kufungua tena balozi zao
Mar 24, 2023 06:31Televisheni ya Saudi Arabia imemnukuu afisa mmoja katika Wizara ya Mambo ya Nje ya nchi hiyo na kutangaza kuwa Riyadh imeanza mazungumzo na Syria ili kuanza tena kutoa huduma za kibalozi.
-
Iran: Mashambulizi ya Israel dhidi ya Aleppo yanakiuka sheria za kimataifa
Mar 23, 2023 23:18Naibu Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amelaani mashambulizi ya anga ya hivi karibuni ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Uwanja wa Kimataifa wa Ndege wa Aleppo (Halab) huko kaskazini mwa Syria na kusisitiza kuwa, uvamizi huo unakanyaga sheria za kimataifa, Hati ya Umoja wa Mataifa mbali na kuwa tishio kubwa kwa amani na uthabiti wa eneo la Asia Magharibi.
-
Ufunguzi wa ubalozi wa Saudia mjini Damascus baada ya miaka 12
Mar 20, 2023 06:50Vyanzo vya kuaminika vinasema kwamba Saudi Arabia inapanga kufungua tena ubalozi wake mjini Damascus baada ya mwezi mtukufu wa Ramadhani.
-
Watoto karibu 50 kutoka familia za magaidi wa Daesh kuhamishiwa Moscow
Mar 12, 2023 23:18Watoto karibu 50 wa familia za masalia ya magaidi wa kundi la kitakfiri la Daesh (ISIS) wamehamishwa katika mji mkuu wa Russia, Moscow.
-
Kurejeshwa uhusiano wa kisiasa wa Tunisia na Syria; pigo jingine kwa wenzo wa Magharibi wa kuitenga kisiasa Damascus
Mar 12, 2023 22:58Rais Kais Saied wa Tunisia ametangaza kuwa, serikali yake imechukua uamuzi wa kurejesha kikamilifu uuhusiano wake na taifa la Syria.
-
Abdollahian: Umefika wakati vikosi vamizi viondoke Syria mara moja
Mar 10, 2023 04:24Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema vikosi vya nchi ajinabi vinapaswa kuondoka katika ardhi ya Syria haraka iwezekanavyo.
-
Iran yalaani mashambulizi ya kinyama ya Israel dhidi ya Syria
Mar 09, 2023 23:26Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani wimbi la mashambulizi ya kikatili ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Syria, wakati huu ambapo taifa hilo linakabiliwa na matatizo chungu nzima kutoka na maafa makubwa ya matetemeko ya ardhi.
-
US yaendelea kuiba mafuta ya Syria licha ya kukumbwa na zilzala
Mar 05, 2023 07:19Marekani kwa kushirikiana na mamluki wa Kikurdi imeendelea kuiba mafuta ya Syria, wakati huu ambapo nchi hiyo ya Kiarabu inajaribu kujinasua kutoka kwenye misukosuko na changamoto zinazotokana na matetemeko ya ardhi yaliyoua maelfu ya watu nchini humo.
-
UNICEF: Watoto milioni 3.7 walioathirika na zilzala Syria wana hali mbaya
Mar 03, 2023 04:15Mkurugenzi mtendaji wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia Watoto UNICEF amesema, watoto milioni 3.7 ambao walinusurika na matetemeko ya ardhi ya tarehe 6 Februari mwaka huu katika maeneo yaliyoathirika nchini Syria wanakabiliwa na ongezeko la vitisho kadhaa vya zahma kubwa.