-
Jumuiya ya Maulamaa wa Muqawama yasisitiza kuondolewa haraka vikwazo dhidi ya Syria
Feb 13, 2023 08:19Jumuiya ya Maulamaa wa Muqawama imetoa taarifa ikisisitiza udharura wa kuondolewa haraka iwezekanavyo vikwazo dhidi ya Syria katika kipindi hiki ambacho nchi hiyo inahitajia misaada kutokana na kukumbwa na janga la tetemeko la ardhi.
-
Syria yakosoa 'upotoshaji' wa Marekani kuhusu kuondoa vikwazo
Feb 11, 2023 23:05Serikali ya Syria imekosoa vikali hatua ya Marekani ya kutangaza kuisimamishia vikwazo nchi hiyo ya Kiarabu kwa muda wa miezi sita, eti ili kuruhusu kupelekwa misaada ya dharura katika taifa hilo lililokumbwa na mitetemeko mikubwa ya ardhi hivi karibuni.
-
Idadi ya waliofariki dunia yapindukia 24,000 zilzala ya Syria na Uturuki, matumaini ya kupata manusura zaidi yanafifia
Feb 11, 2023 03:56Matumaini ya kupata manusura zaidi chini ya vifusi vya nyumba zilizobomolewa na zizlala ya Jumatatu iliyopita katika nchi za Syria na Uturuki yanazidi kupungua siku 5 baada ya maafa ya tetemeko la ardhi lililoua zaidi ya watu 24,000 na kujeruhi makumi ya maelfu ya wengine.
-
Mshauri wa Bashar Assad: Vikwazo vya Magharibi vinatatiza utoaji wa misaada kwa waathiriwa wa tetemeko la ardhi
Feb 11, 2023 03:53Mshauri wa vyombo vya habari wa Rais wa Syria amesema: Kinachozidisha hali mbaya ya sasa kwa watu waliokumbwa na janga la tetemeko la ardhi ni vikwazo vya Marekani na Ulaya dhidi ya Syria.
-
Umoja wa Mataifa wakiri kuingizwa masuala ya kisiasa katika kadhia ya kuwasaidia wahanga wa tetemeko la ardhi nchini Syria
Feb 10, 2023 22:48Rola Amin, Msemaji wa Kamishna Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi, UNHCR amesema misimamo ya kisiasa inapaswa kuwekwa kando na juhudi kufanyika kwa ajili ya kuwafikishia misaada ya kibinadamu waathirika wa tetemeko la ardhi nchini Syria.
-
Shehena ya sita ya misaada ya Iran yawafikia wahanga wa tetemeko la ardhi nchini Syria
Feb 10, 2023 07:00Shehena ya sita ya ndege ya misaada ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa ajili ya wahanga wa tetemeko la ardhi imewafikia wananchi wa Syria mapema leo Ijumaa.
-
Mazungumzo ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa
Feb 10, 2023 03:52Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa wamejadili kuhusu matukio ya kieneo na kimataifa, ikiwa ni pamoja na tetemeko kubwa la ardhi lililotokea karibuni nchini Syria na Uturuki, na hali ya mazungumzo ya kuiondolea Iran vikwazo vya kidhulma.
-
Hizbullah: Tupo tayari kuwasaidia waathirika wa tetemeko la ardhi Syria
Feb 10, 2023 03:27Harakati ya Muqawama ya Hizbullah ya Lebanon imetoa taarifa ikisisitiza uungaji mkono wa pande zote wa muqawama wa Lebanon kwa waathiriwa wa tetemeko la ardhi huko Syria na kusisitiza kuwa itatumia suhula zake zote kuisaidia na kuihudumia serikali na wananchi wa Syria katika mazingira haya magumu baada ya zilzala.
-
Rais Assad: Marekani inazishinikiza nchi nyingi zisiwasaidie waathirika wa tetemeko la ardhi Syria
Feb 09, 2023 10:15Rais Bashar al-Assad wa Syria amefichua kuwa Marekani inatoa mashinikizo kwa nchi zinazotaka kuwasaidia waathirika wa tetemeko la ardhi nchini Syria. Assad ameyasema hayo katika mkutano na ujumbe wa mawaziri kadhaa wa Lebanon.
-
Shehena ya nne ya misaada ya kibinadamu ya Iran kwa ajili ya waathiriwa wa tetemeko la ardhi yawasili Aleppo, Syria
Feb 09, 2023 04:29Shehena ya nne ya misaada ya kibinadamu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa watu waliokumbwa na tetemeko la ardhi nchini Syria iliwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Aleppo (kaskazini magharibi mwa Syria) Jumatano jioni.