Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Syria

  • Russia yaionya Israel isiendelee kufanya mashambulio nchini Syria

    Russia yaionya Israel isiendelee kufanya mashambulio nchini Syria

    Sep 09, 2021 03:02

    Mwandishi wa televisheni ya al Mayadeen mjini Moscow amefichua kuwa viongozi wa Russia wamekusudia kutoa onyo kwa waziri wa mambo ya nje wa utawala wa Kizayuni ili Israel isifanye tena mashambulizi nchini Syria.

  • Russia: Jeshi la Syria limetungua makombora 21 kati ya 24 ya Israeli

    Russia: Jeshi la Syria limetungua makombora 21 kati ya 24 ya Israeli

    Sep 04, 2021 22:10

    Jeshi la Russia linasema makombora ya ulinzi wa anga ya Jeshi la Syria yametungua aghalabu ya makombora ya Israeli yaliyokuwa yamevurumishwa kuelekea kwenye mji mkuu wa nchi hiyo, Damascus hivi karibuni.

  • Tathmini kuhusu hatua ya Marekani kuondoka katika vituo vyake vitatu vya kijeshi Syria

    Tathmini kuhusu hatua ya Marekani kuondoka katika vituo vyake vitatu vya kijeshi Syria

    Sep 03, 2021 07:15

    Marekani imeondoka katika vituo vyake vitatu vya kijeshi vilivyoko katika mikoa ya Deir ez-Zor na Al-Hasakah nchini Syria.

  • Mkuu mpya wa Shin Bet ya Israel aliongoza mauaji ya kamanda wa tawi la kijeshi la HAMAS

    Mkuu mpya wa Shin Bet ya Israel aliongoza mauaji ya kamanda wa tawi la kijeshi la HAMAS

    Sep 02, 2021 21:57

    Kwa mara ya kwanza, gazeti la Kizayuni la Yediot Ahronot limetoa taarifa kuhusu mkuu mpya wa shirika la usalama wa ndani la utawala haramu wa Kizayuni wa Israel Shin Bet na kueleza kuwa, afisa huyo ndiye aliyeongoza mauaji ya kigaidi ya mwaka 2012 ya kamanda mwandamizi wa Izzuddinul-Qassam, tawi la kijeshi la harakati ya HAMAS ya Palestina.

  • Magaidi wajisalimisha kwa jeshi la Syria katika eneo la Dar'a

    Magaidi wajisalimisha kwa jeshi la Syria katika eneo la Dar'a

    Sep 01, 2021 22:29

    Duru za habari zimetangaza kuwa, kundi la watu wenye silaha la eneo la Dar'a wa kusini mwa Syria limejisalimisha kwa jeshi la nchi hiyo na Kiarabu na kukabidhi silaha zao.

  • Kambi ya kijeshi ya Marekani yashambuliwa kwa maroketi Deir ez-Zor

    Kambi ya kijeshi ya Marekani yashambuliwa kwa maroketi Deir ez-Zor

    Sep 01, 2021 02:51

    Duru za kiusalama zimeripoti habari ya kushambuliwa kwa maroketi kambi ya kijeshi ya Marekani katika mkoa wa Deir ez-Zor, mashariki mwa Syria.

  • Mawaziri wa mambo ya nje wa Iran na Syria wakutana na kuzungumza mjini Damascus

    Mawaziri wa mambo ya nje wa Iran na Syria wakutana na kuzungumza mjini Damascus

    Aug 29, 2021 08:01

    Mawaziri wa mambo ya nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Syria wamekutana na kufanya mazungumzo katika mji mkuu wa Syria, Damascus.

  • Iran yataka kupelekwa misaada zaidi ya kibinadamu nchini Syria

    Iran yataka kupelekwa misaada zaidi ya kibinadamu nchini Syria

    Aug 24, 2021 03:10

    Msaidizi Mwandamizi wa Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran katika Masuala Maalumu ya Kisiasa ametoa mwito wa kupelekwa nchini Syria misaada zaidi ya kibinadamu.

  • Syria: Mashambulizi ya Israel yana lengo la kuinua juu moyo wa magaidi

    Syria: Mashambulizi ya Israel yana lengo la kuinua juu moyo wa magaidi

    Aug 21, 2021 03:10

    Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje ya Syria imelaani mashambulizi ya hivi karibuni ya Israel dhidi ya ardhi ya nchi hiyo na kutangaza kuwa, lengo la hujuma hiyo ni kuinua juu moyo uliofifia na kukosa matumaini wa makundi ya kigaidi.

  • Rais Assad wa Syria aalikwa kuhudhuria kikao cha Baghdad cha viongozi wa nchi za eneo

    Rais Assad wa Syria aalikwa kuhudhuria kikao cha Baghdad cha viongozi wa nchi za eneo

    Aug 16, 2021 08:04

    Duru za habari zimeripoti kuwa serikali ya Iraq imemwalika rais wa Syria kushiriki katika kikao cha viongozi wa nchi jirani na Iraq kitakachofanyika mjini Baghdad.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS