-
Kuanza kazi serikali mpya ya Syria; na changamoto tofauti na za hapo kabla
Aug 16, 2021 06:48Jumamosi ya tarehe 14 Agosti, Baraza jipya la mawaziri nchini Syria linaloongozwa na Waziri Mkuu Hussein Anrous liliapishwa mbele ya Rais Bashar al-Assad. Uchaguzi wa Rais nchini Syria ulifanyika tarehe 26 Mei na Rais Assad aliibuka na ushindi baada ya kupata asilimia 95 ya kura.
-
Safari ya Qalibaf mjini Damascus; ukurasa mpya wa uhusiano wa kiuchumi kati ya Iran na Syria
Jul 30, 2021 22:09Katika safari yake ya karibuni nchini Syria, Mohammad Baqer Qalibaf, Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran ameonana na kuzungumza na rais, waziri mkuu, waziri wa mambo ya nje na wafanyabiashara wa nchi hiyo.
-
Russia yaitaka Marekani iwaondoe wanajeshi wake Iraq, Libya, Syria na Afghanistan
Jul 28, 2021 03:17Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia ameitaka Marekani iwaondoe wanajeshi wake huko Iraq, Libya, Afghanistan na Syria.
-
Bashar al Assad: Tunafanya jitihada ili wakimbizi wa Syria warejee nchini
Jul 27, 2021 02:52Rais wa Syria amesisitiza kuwa Damascus inafanya jitihada kuandaa mazingita ya kurejea wakimbizi nchini.
-
Mpango wa kuanzisha utawala wa ndani Syria, njama ya wapinzani wa serikali ya Damascus
Jul 24, 2021 20:49Wizara ya Mambo ya Nje ya Syria imetangaza kuwa, kile kinachoitwa "serikali ya mamkala ya kujiendeshea mambo yake" ni mpango wa kutaka kuiodhoofisha nchi hiyo.
-
Hizbullah: Israel inafanya uchokozi wa waziwazi dhidi ya ardhi za Syria na Lebanon
Jul 23, 2021 07:13Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imesema, shambulio la karibuni la utawala haramu wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Syria ni uchokozi na uvamizi wa waziwazi dhidi ya ardhi ya nchi hiyo na ardhi ya Lebanon.
-
Ripoti: Uingereza imetumia Pound milioni 350 kuipindua serikali ya Syria lakini imeshindwa
Jul 22, 2021 03:26Mtandao mmoja wa habari umefichua kuwa, katika kipindi cha miaka ya hivi karibuni, Uingereza imetumia zaidi ya Pound milioni 350 kwa ajili ya kuipindua serikali ya Syria. Hata hivyo, dola hilo la kibeberu na kikoloni limeshindwa kupindua serikali halali iliyochaguiwa kidemokrasia huko Syria.
-
Bashar al Assad aapishwa rasmi kuwa Rais wa Syria
Jul 17, 2021 07:57Bashar al Assad leo amekula kiapo rasmi cha kuwa Rais wa nchi hiyo kwa kipindi kingine cha miaka miaka 7 mingine.
-
Wamarekani waendelea kuiba mafuta na maliasili ya Syria
Jul 03, 2021 22:06Wanajeshi vamizi na maharamia wa Marekani wanaendelea kuiba mafuta ya nchi ya Syria waliyoivamia kinyume cha sheria na kuhamisha nishati hiyo nje ya mipaka ya Syria kupitia kaskazini mwa Iraq.
-
Russia yaitaka Marekani iache kuiba rasilimali za Wasyria
Jul 03, 2021 08:10Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema Marekani inapaswa kukomesha tabia yake ya kuiba rasilimali za wananchi wa Syria, na badala yake ipambane na magenge ya kigaidi.