-
UN: Mashambulizi ya Marekani nchini Syria ni sawa na jinai za kivita
Sep 12, 2019 03:24Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, mashambulizi yanayofanywa na Marekani na washirika wake huko Syria ni sawa na jinai za kivita.
-
Syria yalaani doria ya Marekani na Uturuki katika ardhi yake, yasema ni uvamizi
Sep 08, 2019 20:02Serikali ya Syria imelaani hatua ya majeshi ya Marekani na Uturuki ya kupiga doria ya pamoja katika eneo liliilopewa jina la "ukanda wa amani" huko mashariki mwa Furati kaskazini mwa Syria na kusema ni ukiukaji wa sheria za kimataifa na mamlaka ya kujitawa ya Syriia.
-
Zarif: Iran inaunga mkono ushiriki chanya wa Syria na Umoja wa Mataifa
Sep 03, 2019 08:41Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesisitiza kuhusu azma ya Tehran ya kuupatia ufumbuzi mgogoro wa Syria kwa njia ya kisiasa na akasema Iran inaunga mkono ushiriki wowote chanya kati ya Damascus na Umoja wa Mataifa.
-
Ripota wa UN: Matatizo ya ukosefu wa amani Nigeria yapewe mazingatio
Sep 03, 2019 03:37Ripota maalumu wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa matatizo ya kiusalama ya Nigeria yametengeneza mgogoro ambao unahitajia kupewa mazingatio haraka iwezekanavyo, la sivyo utasababisha ukosefu wa usalama katika nchi nyingine za Kiafrika.
-
Iran na Syria, kuanzia vita dhidi ya ugaidi hadi kwenye ushirikiano wa kiuchumi
Aug 30, 2019 03:29Waziri wa Barabara na Ujenzi wa Iran amewasili katika mji mkuu wa Syria, Damascus kwa shabaha ya kufuatilia ushirikiano wa kiuchumi na kuchunguza njia za kuimarisha zaidi ushirikiano wa pande mbili.
-
Msemaji wa serikali ya Iran: Utawala wa Kizayuni wa Israel ukubali taathira mbaya za uchokozi wake
Aug 26, 2019 07:31Msemaji wa Serikali ya Iran amelaani mashambulizi yaliyofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel katika nchi za Lebanon, Iraq na Syria na kusema kuwa, utawala huo unapaswa ukubali taathira mbaya za uchokozi huo.
-
Jeshi la Syria lachukua udhibiti wa miji katika ngome ya mwisho ya magaidi
Aug 23, 2019 22:16Jeshi la Syria limechukua udhibiti wa eneo la kaskazini maghairbi mwa mkoa wa Hama ambalo lilikuwa linashikiliwa na magaidi tangu miaka ya awali ya vita nchini humo.
-
Bashar al-Jaafari: Chimbuko la mizozo ya Mashariki ya Kati ni uvamizi wa Israel
Aug 21, 2019 03:19Balozi na mwakilishi wa kudumu wa Syria katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa, chimbuko la mizozo na migogoro katika eneo la Mashariki ya Kati ni hatua ya Israel ya kuvamia na kukalia kwa mabavu ardhi za Kiarabu ikiwemo miinuko ya Golan ya Syria.
-
Jeshi la Syria laingia Khan Sheikhoun, katika awamu muhimu ya ukombozi wa Idlib
Aug 20, 2019 02:26Jeshi la Syria usiku wa kiamkia tarehe 18 Agosti liliingia katika eneo la Khan Sheikhoun huko kusini mwa mkoa wa Idlib.
-
Pentagon yakadhibisha madai ya Trump, yasema Daesh bado inaendesha shughuli zake Iraq na Syria
Aug 07, 2019 23:31Rais Donald Trump wa Marekani tarehe 19 Disemba 2018 alitangaza kuwa, askari wa Marekani wataondoka nchini Syria. Trump alidai kuwa, sababu ya uamuzi huo ni kushindwa kundi la kigaidi la Daesh nchini Syria.