Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Tanzania

  • Rais Magufuli wa Tanzania aapishwa, atoa mwito wa ushirikiano

    Rais Magufuli wa Tanzania aapishwa, atoa mwito wa ushirikiano

    Nov 05, 2020 08:16

    Rais John Pombe Magufuli ameapishwa leo Alkhamisi kuhudumu muhula wa pili na wa mwisho wa kuiongoza Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

  • Makada 20 wa CHADEMA kizimbani kwa kuchochea maandamano Tanzania

    Makada 20 wa CHADEMA kizimbani kwa kuchochea maandamano Tanzania

    Nov 03, 2020 04:01

    Jeshi la Polisi mkoani Singida katikati mwa Tanzania limewafikisha mahakamani viongozi na wafuasi 20 wa chama cha upinzani cha CHADEMA kwa tuhuma za kukusanyika na kufanya kikao kinyume cha sheria, kwa lengo la kuhamasisha wananchi kufanya vurugu.

  • Hussein Mwinyi aapishwa kuwa rais wa Zanzibar, viongozi wa upinzani Tanzania Bara wakamatwa na kuwekwa kizuizini

    Hussein Mwinyi aapishwa kuwa rais wa Zanzibar, viongozi wa upinzani Tanzania Bara wakamatwa na kuwekwa kizuizini

    Nov 02, 2020 11:37

    Dr. Hussein Ali Mwinyi ameapishwa kuwa Rais wa nane wa Zanzibar katika hafla kubwa iliyofanyika visiwani Zanzibar leo.

  • Rais Magufuli wa Tanzania aendelea kupongezwa kimataifa baada ya ushindi katika uchaguzi

    Rais Magufuli wa Tanzania aendelea kupongezwa kimataifa baada ya ushindi katika uchaguzi

    Oct 31, 2020 23:57

    Rais John Pombe Magufuli wa Tanzania anaendelea kupongezwa kimataifa kutokana na ushindi mkubwa alioupata katika uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba 28.

  • Chadema na ACT Wazalendo vyapinga matokeo ya uchaguzi mkuu Tanzania, Waangalizi wasema ulifuata taratibu

    Chadema na ACT Wazalendo vyapinga matokeo ya uchaguzi mkuu Tanzania, Waangalizi wasema ulifuata taratibu

    Oct 31, 2020 09:43

    Vyama vya upinzani nchini Tanzania vya CHADEMA na ACT Wazalendo vimesema kuwa havitambui matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 28 yaliyotangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC).

  • Hussein Mwinyi atangazwa mshindi urais wa visiwa vya Zanzibar, Magufuli aongoza katika uchaguzi wa rais wa Tanzania

    Hussein Mwinyi atangazwa mshindi urais wa visiwa vya Zanzibar, Magufuli aongoza katika uchaguzi wa rais wa Tanzania

    Oct 29, 2020 19:25

    Tume ya Taifa ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) imemtangaza Dr. Hussein Mwinyi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kuwa Rais Mteule wa Zanzibar baada ya kupata ushindi wa kura 380,402 sawa na 76.27%. akifuatiwa na Maalim Seif Sharif Hamad wa chama cha ACT Wazalendo aliyepata kura 96,103 sawa na asilimia 19.87.

  • Uchaguzi Tanzania; Upinzani wapoteza viti vingi vya ubunge na udiwani

    Uchaguzi Tanzania; Upinzani wapoteza viti vingi vya ubunge na udiwani

    Oct 29, 2020 04:51

    Matokeo ya awali ya uchaguzi wa Bunge nchini Tanzania yanaonyesha kuwepo mpambano mkali kati ya chama tawala CCM na chama kikuu cha upinzani Chadema; ambapo upinzani umeonekana kupoteza viti vingi.

  • Watanzania washiriki kwa wingi katika upigaji kura leo

    Watanzania washiriki kwa wingi katika upigaji kura leo

    Oct 28, 2020 08:57

    Mamilioni ya Watanzania, leo Jumatano, Oktoba 28, 2020 wamejitokeza katika vituo vya kupigia kura kwa ajili ya kuwachagua Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Rais wa Zanzibar, wabunge wa Bunge la Muungano, madiwani na wajumbe wa Baraza la Wawakilishi la Zanzibar.

  • Watanzania wanapiga kura katika uchaguzi mkuu

    Watanzania wanapiga kura katika uchaguzi mkuu

    Oct 28, 2020 01:17

    Mamilioni ya raia wa Tanzania leo wanaelekea katika masanduku ya kupiga kura kwa ajili ya uchaguzi wa rais, wabunge na madiwani.

  • Mwito wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuelekea uchaguzi mkuu wa Tanzania

    Mwito wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuelekea uchaguzi mkuu wa Tanzania

    Oct 27, 2020 09:24

    Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), António Guterres ametaka mchakato mzima wa uchaguzi nchini Tanzania kuwa huru na haki.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS