-
WHO: Tanzania ipo nafasi ya pili ya hatari kukumbwa na ugonjwa hatari wa Ebola
May 25, 2018 09:13Shirika la Afya Duniani (WHO) limeitaja Tanzania kuwa ipo na nafasi ya pili ya nchi zilizo katika hatari ya kukumbwa na maambukizi ya ugonjwa hatari wa Ebola.
-
Joseph Mbilinyi (Sugu): Kuna maana gani Tanzania kufungua ubalozi wake Israel na kuwaacha Wapalestina
May 24, 2018 03:17Mbunge wa Mbeya mjini wa chama cha upinzani nchini Tanzania (CHADEMA) Joseph Osmund Mbilinyi maarifa kwa jina la Sugu amesema kuwa, inashangaza kuona hii leo serikali ya Rais John Magufuli inakwenda kinyume na misingi iliyojengwa na Tanzania katika kuwatetea watu wanaokandamizwa duniani, hususan Palestina.
-
Hali ya taharuki yatanda Kongo DR na nchi jirani kufuatia kusambaa ugonjwa hatari wa Ebola
May 18, 2018 03:46Wasi wasi umetanda nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na nchi jirani na taifa hilo kutokana na kuripotiwa kusambaa ugonjwa hatari wa Ebola.
-
Tanzania: Hakuna ugonjwa wa Ebola nchini, lakini tunachukua tahadhari
May 11, 2018 03:06Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imesema kuwa, hadi sasa hakuna mtu yeyote nchini aliyegundulika kuwa na viashiria vya ugonjwa wa Ebola, lakini itaendelea kudhibiti na kujikinga na ugonjwa huo.
-
SAUTI, Mbunge Saidi Bungara wa Kilwa Kusini: Serikali ya Tanzania inatunyanyasa Waislamu tumekosa nini?
May 06, 2018 12:32Mbunge wa Kilwa Kusini, wa chama cha Wananchi (CUF) nchini Tanzania, Selemani Saidi Ally Bungara amehoji kwamba ni kosa gani wamelifanya Waislamu ndani ya nchi hiyo hadi waendelee kukandamizwa kila uchao nchini mwao?
-
Majaliwa: Ma-RC na ma-DC, simamieni bei za bidhaa msimu wa Ramadhani nchini Tanzania
May 05, 2018 00:15Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amewatoa hofu waumini wa dini ya Kiislamu akisema kuwa, kuwa bei za bidhaa hazitapanda katika msimu wa mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
-
Mshiriki wa Tanzania katika Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Iran +Video
May 01, 2018 13:02Mashindano ya 35 ya Kimataifa ya kusoma na kuhifadhi Qur'ani Tukufu ya Iran yalimalizika Jumatano 15 Aprili hii huku kukitolewa wito wa Umoja na kushikamana na Qur'ani Tukufu.
-
Tanzania yaadhimisha miaka 54 ya muungano, wapinzani waitisha maandamano
Apr 26, 2018 03:29Tanzania leo inaadhimisha miaka 54 tangu Tanganyika na Zanzibar zilipoungana na kuunda taifa moja la Tanzania huku baadhi ya wapinzani wakiitisha maandamano ya kuipinga serikali.
-
Polisi Tanzania yaimarisha usalama kuhusu maandamano, nayo Chadema yayakana
Apr 25, 2018 09:52Jeshi la Polisi nchini Tanzania limeimarisha usalama kila kona ya nchi, kutokana na tetesi za kufanyika maandamano ya kesho tarehe 26 Aprili na ambayo yamekuwa yakihimizwa katika mitandao mbalimbali ya kijamii kwa ajili ya kupinga serikali ya Rais John Pombe Magufuli wa nchi hiyo.
-
Mafuriko yashtadi Tanzania, watu tisa waripotiwa kufariki dunia huku mvua zikiendelea kunyesha
Apr 16, 2018 09:54Jeshi la polisi nchini Tanzania limetangaza kuwa hadi sasa watu tisa wameripotiwa kufariki dunia jijini Dar es Salaam kutokana na mafuriko yanayosababishwa na mvua kali zinazoendelea kunyesha katika maeneo tofauti.