-
Bendera ya Palestina yapepea katika kilele cha Mlima Kilimanjaro
Apr 13, 2018 23:25Kikundi cha mabinti na vijana 16 wa Kipalestina kimefanikiwa kufika katika kilele cha Mlima Kilimanjaro nchini Tanzania na kupeperusha bendera ya Palestina katika mlima huo mrefu zaidi barani Afrika.
-
Zitto Kabwe: Watu wa Kigoma hawashindwi vita, hawatokubali kuonekana sio raia wa Tanzania (sauti)
Apr 13, 2018 03:07Mbunge wa Kigoma Mjini kupitia chama cha ACT Wazalendo, Zitto Zuberi Kabwe, amelaani vitendo vya kupotezwa watu vinavyoendelea kujiri nchini Tanzania kikiwemo kitendo cha kupotezwa mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Kakonko mkoani humo, Simon Kangue.
-
Waziri Mkuu Tanzania: Ni kweli kuna changamoto za muungano
Apr 11, 2018 00:13Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa ameelezea kuwepo changamoto katika muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
-
SAUTI, Makamu wa Rais Zanzibar: Serikati ya Tanzania imepania kuboresha sekta ya usafirishaji wa anga nchini
Apr 09, 2018 13:31Makamu wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Idd amesema kuwa, serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania itaendelea na juhudi zake za kuimarisha zaidi viwanja vyake vya ndege ili kukuza sekta ya usafiri wa nga ndani ya taifa hilo.
-
Mbunge Bungara wa Kilwa Kusini: Waziri Mkuu anaposema Tanzania kuna amani, mimi sielewi (na sauti)
Apr 09, 2018 10:35Mbunge wa Kilwa Kusini, wa chama cha Wananchi (CUF) nchini Tanzania, Selemani Saidi Ally Bungara amesema kuwa, hakubaliani na kipengee kilichopo kwenye hotuba ya Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kinachoeleza kuwa nchi hiyo ina amani sana.
-
SAUTI, Tanzania yajifunza kwa Uganda namna ya usajili wa ardhi kidijitali, yapania kumaliza matatizo ya ardhi
Apr 07, 2018 12:13Maafisa wa Wizara ya Ardhi nchini Tanzania wanaendelea kujifundisha namna ya usajili wa ardhi kwa njia ya kidijitali (tarakimu) kwa ajili ya kumaliza matatizo ya ardhi nchini kwao.
-
Rais John Magufuli: Polisi Tanzania hawakuajiriwa kufyeka mashamba ya bangi (sauti)
Apr 07, 2018 11:52Rais John Pombe Magufuli wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amesema kuwa, hakuna kitu kinachomkera kama askari polisi kwenda kufyeka mashamba ya bangi yaliyokamatwa na polisi hao akisisitiza kwamba polisi hawakuajiriwa kwa ajili ya kazi hiyo.
-
Ajali mbaya ya gari, watu 12 wafariki dunia Tanzania
Apr 05, 2018 03:45Kwa akali watu 12 wamepoteza maisha katika ajali mbaya ya basi iliyotokea mkoani Tabora nchini Tanzania. Kwa mujibu wa ripoti, ajali hiyo imelihusisha basi la Kampuni ya City Boys lililogongana na lori aina ya Fuso katika eneo la Makomero wilaya ya Igunga mkoani Tabora na kwamba ajali hiyo imetokea usiku wa kuamkia leo.
-
Viongozi wa Chadema Tanzania waachiwa huru kwa dhamana
Apr 03, 2018 09:36Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu nchini Tanzania imewaachia huru kwa dhamana viongozi 6 wa chama kikuu cha upinzani cha Chadema akiwemo mwenyekiti wa chama hicho Freeman Mbowe, baada ya kukamilisha masharti ya dhamana.
-
SAUTI, Maalim Seif: Amri ya uhamiaji Tanzania ya kuwapangia Watanzania mahala pa kusafiria kuelekea nje inashangaza
Apr 02, 2018 12:15Katibu Mkuu wa Chama Cha Wanachi (CUF), Maalif Seif Sharif Hamad, ameonyesha kushangazwa na amri ya idara ya uhamiaji Tanzania Bara, kutowaruhusu Watanzania waliochukulia pasipoti upande huo (bara) kusafiria kutokea Zanzibar kuelekea nchi nyingine.