-
Uchunguzi wa Pew: Wamarekani weusi, wahanga wa ubaguzi wa rangi
Jul 19, 2016 03:29Uchunguzi mpya wa maoni unaonesha kuwa, Wamarekani wengi weusi wanaamini kuwa ni wahanga wa ubaguzi wa rangi.
-
Wamarekani waendelea kupinga ubaguzi wa rangi na ukatili wa polisi
Jul 09, 2016 23:25Marekani imegubikwa na wingu zito la maandamano ya wananchi wanaopinga ukatili na mauaji yanayofanywa na polisi wazungu dhidi ya raia wenye asili ya Afrika.
-
UN yataka kukomeshwa ubaguzi dhidi ya Waislamu wa Myanmar
Jul 02, 2016 03:30Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa katika Masuala ya Haki za Binadamu nchini Myanmar ametoa wito wa kukomeshwa ubaguzi dhidi ya Waislamu wa nchi hiyo.
-
Kulalamikiwa vitendo vya kibaguzi vya Uingereza dhidi ya Waislamu
May 27, 2016 23:18Kamisheni ya Haki za Binadamu ya Kiislamu ya nchini Uingereza imeulalamikia vikali uamuzi wa kibaguzi wa saerikali ya nchi hiyo wa kuunda timu ya kuchunguza namna ya utekelezaji wa sheria na kanuni za Kiislamu nchini humo.
-
UN yatiwa wasi wasi na matamshi ya chuki na ubaguzi katika kampeni za US
Apr 16, 2016 02:55Umoja wa Mataifa umekosoa vikali matamshi ya chuki na kichochezi yanayotolewa na baadhi ya wagombea na hususan wa chama cha Republican katika kampeni za urais nchini Marekani.