• Ayatullah Khatami: Mirengo yote ina wagombea wao kwenye uchaguzi ujao wa Rais nchini Iran

    Ayatullah Khatami: Mirengo yote ina wagombea wao kwenye uchaguzi ujao wa Rais nchini Iran

    Jun 14, 2024 11:28

    Khatibu wa muda wa Sala ya Ijumaa ya hapa Tehran amesema kuwa, hivi sasa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeimarika mno kiasi kwamba mirengo yote ina wawakilishi wao katika uchaguzi ujao wa Rais humu nchini.

  • Waziri Mkuu wa kwanza mwanamke Italia, mabadiliko katika siasa za ndani na nje

    Waziri Mkuu wa kwanza mwanamke Italia, mabadiliko katika siasa za ndani na nje

    Oct 24, 2022 04:00

    Giorgia Meloni amepewa rasmi jukumu la uwaziri mkuu wa Italia kutoka chama chenye misimamo mikali ya kulia cha Brothers of Italy. Hayo yamekuja baada ya kufanyika mazungumzo ya pande kadhaa na hatimaye Rais wa Italia amempa jukumu Meloni la kuunda serikali mpya akiwa ni Waziri Mkuu wa kwanza kabisa mwanamke katika historia ya Italia.

  • Tangazo la Rais wa Tunisia la marekebisho ya sheria ya uchaguzi

    Tangazo la Rais wa Tunisia la marekebisho ya sheria ya uchaguzi

    Oct 09, 2022 10:22

    Ofisi ya Rais wa Tunisia imetangaza katika taarifa yake kwamba Rais Kais Saied, ameamua kurekebisha sheria ya uchaguzi wa Bunge la nchi hiyo.

  • Kikao cha kimataifa cha Berlin kuhusu Libya na suala zima la uchaguzi mkuu

    Kikao cha kimataifa cha Berlin kuhusu Libya na suala zima la uchaguzi mkuu

    Sep 11, 2022 09:22

    Nchi zilizoshiriki katika katika kikao cha kimataifa cha Berlin kuhusu Libya zimesisitiza kuwa, uchaguzi ndiyo njia pekee ya utatuzi wa mgogoro wa nchi hiyo. Kikao hicho cha siku mbili kimehudhuriwa pia na wawakilishi kutoka Umoja wa Mataifa, Umoja wa Ulaya, Ufaransa, Uingereza, Marekani, Uturuki, Italia, Ujerumani na Misri.

  • Matokeo ya karibuni ya uhesabuji kura za awali katika uchaguzi wa bunge Lebanon

    Matokeo ya karibuni ya uhesabuji kura za awali katika uchaguzi wa bunge Lebanon

    May 16, 2022 07:37

    Ripota wa televisheni ya al Aalam ametangaza kuwa, Harakati ya Amal inayoongozwa na Nabih Berri Spika wa Bunge la Lebanon imetangaza baada ya kujulikana matokeo ya awali ya uhesabuji kura kwamba, hadi sasa imeshinda viti 17 bungeni huku Harakati ya Muqawama ya nchi hiyo Hizbullah pia ikishinda viti 23 hadi sasa.

  • Duru ya pili ya uchaguzi Ufaransa; mchuano baina ya Macron na Le Pen

    Duru ya pili ya uchaguzi Ufaransa; mchuano baina ya Macron na Le Pen

    Apr 12, 2022 11:04

    Uchaguzi wa Rais nchini Ufaransa umemalizika huku Emmanuel Macron na Marine Le Pen wakiingia katika duru ya pili. Kwa utaratibu huo, siku 14 zijazo yaani tarehe 24 mwezi huu hatima ya uchaguzi huo itajulikana na mshindi wa duru hiyo atapata tiketi ya kuingia katika ikulu ya Elizeh.

  • Tarehe mpya ya Uchaguzi wa Rais nchini Libya

    Tarehe mpya ya Uchaguzi wa Rais nchini Libya

    Jan 05, 2022 10:01

    Tume ya Taifa ya Uchaguzi ya Libya imetangaza tarehe 24 mwezi huu wa Januari 2022 kuwa siku ya kufanyika uchaguzi wa rais nchini humo licha ya kwamba bado kuna hitilafu kuhusu wakati hasa unaopaswa kufanyika uchaguzi huo.

  • Kuendelea mivutano ya uchaguzi huko Libya

    Kuendelea mivutano ya uchaguzi huko Libya

    Dec 13, 2021 04:30

    Katika kipindi hiki cha kukaribia wakati wa kufanyika uchaguzi huko Libya, mivutano ya kisiasa imepamba moto nchini humo kwa kadiri kwamba, Tume Kuu ya Uchaguzi ya nchi hiyo imetangaza habari kuakhirishwa zoezi la kuchapisha orodha ya mwisho ya wagombea wa kiti cha urais.

  • Mwana wa kiume wa Muammar Gaddafi akataliwa kugombea urais

    Mwana wa kiume wa Muammar Gaddafi akataliwa kugombea urais

    Nov 25, 2021 08:03

    Tume ya Taifa ya Uchaguzi ya Libya imewakatalia shakhsia 25 akiwemo Saiful Islam Gaddafi mwana wa kiume wa kiongozi wa zamani wa Libya Kanali Muammar Gaddafi kugombea uchaguzi ujao wa rais nchini humo.

  • Vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya Iran kwa kisingizio cha kuingilia uchaguzi

    Vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya Iran kwa kisingizio cha kuingilia uchaguzi

    Nov 20, 2021 13:43

    Wizara ya Fedha ya Marekani juzi Alhamisi ilitangaza kuwa imeyaweka katika orodha yake ya vikwazo majina ya shakhsia sita na shirika moja la Iran kwa kisingizio cha kuingilia uchaguzi wa rais wa Marekani. Ofisi inayosimamia fedha ya taasisi hiyo ya Marekani imesema kuwa imeyaweka katika orodha yake ya vikwazo majina ya watu sita na taasisi moja ya Iran kwa kile ilichokitaja kuwa kujaribu kuathiri uchaguzi wa rais wa Marekani wa mwaka 2020.