Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ufaransa

  • Maafa ya vifo vya wakimbizi katika mfereji wa Manch, matokeo ya mzozo kati ya Ufaransa na Uingereza

    Maafa ya vifo vya wakimbizi katika mfereji wa Manch, matokeo ya mzozo kati ya Ufaransa na Uingereza

    Nov 27, 2021 11:28

    Zaidi ya wakimbizi 27 kutoka pwani ya kaskazini ya Ufaransa waliovuka Mfereji wa Manchi wakijaribu kufika katika ardhi ya Uingereza walighariki na kufariki Jumatano jioni, Novemba 24, baada ya boti yao kuzama.

  • Uingereza na Ufaransa zashambuliana kwa maneno kuhusu wakimbizi

    Uingereza na Ufaransa zashambuliana kwa maneno kuhusu wakimbizi

    Nov 25, 2021 23:18

    Nchi mbili za Ulaya za Uingereza na Ufaransa zimeingia kwenye malumbano na vita vikali vya maneno baada ya wakimbizi 34 kupoteza maisha baharini wakati walipokuwa njiani kukimbilia Uingereza.

  • Ripoti: Misri ilitumia taarifa za kijasusi za Ufaransa kuua raia

    Ripoti: Misri ilitumia taarifa za kijasusi za Ufaransa kuua raia

    Nov 22, 2021 08:33

    Ripoti mpya imefichua kuwa, vikosi vya usalama vya Misri vimetumia taarifa za kiintelijensia za jeshi la Ufaransa kuwahujumu na hata kuwaua raia wa nchi hiyo ya Kiarabu wanaotuhumiwa kufanya magendo.

  • Wanne wajeruhiwa Burkina Faso katika kupinga msafara wa kijeshi wa Ufaransa

    Wanne wajeruhiwa Burkina Faso katika kupinga msafara wa kijeshi wa Ufaransa

    Nov 21, 2021 04:42

    Vyombo vya habari vimeripot kwamba raia wanne wa Burkina Faso wamejeruhiwa katika malalamiko ya kupinga kupita nchini humo msafara wa kijeshi wa Ufaransa kuelekea nchi jirani ya Niger.

  • Algeria yafunga ofisi zake sita za kibalozi nchini Ufaransa

    Algeria yafunga ofisi zake sita za kibalozi nchini Ufaransa

    Nov 19, 2021 04:09

    Katika kile kinachoonekana ni kuendelea kuvurugika uhusiano wa kidiplomasia kati ya Ufaransa na Algeria, serikali ya Algiers imetangaza habari ya kufunga balozi zake ndogo zipatazo sita katika nchi hiyo ya Ulaya.

  • Mkutano wa Paris wataka askari wa kigeni walioivamia Libya waondoke nchini humo

    Mkutano wa Paris wataka askari wa kigeni walioivamia Libya waondoke nchini humo

    Nov 13, 2021 08:06

    Washiriki wa mkutano wa Paris, mji mkuu wa Ufaransa wametaka kufanyike uchaguzi katika tarehe iliyopangwa nchini Libya, kama ambavyo wamehimiza pia wajibu wa kutoka wanajeshi wa kigeni nchini humo.

  • Rais wa Algeria akataa mwaliko wa Ufaransa wa kushiriki katika mkutano wa Paris kuhusu Libya

    Rais wa Algeria akataa mwaliko wa Ufaransa wa kushiriki katika mkutano wa Paris kuhusu Libya

    Nov 11, 2021 08:22

    Rais wa Algeria ametangaza kuwa, hatashiriki katika mkutano wa Paris ulioitishwa kwa ajili ya kujadili hali ya kisiasa nchini Libya.

  • Algeria: Ni baidi kurejeshwa uhusiano wa kawaida na Ufaransa katika mazingira ya sasa

    Algeria: Ni baidi kurejeshwa uhusiano wa kawaida na Ufaransa katika mazingira ya sasa

    Nov 07, 2021 00:12

    Rais wa Algeria amesema katika mazingira ya sasa ni jambo lililombali kuweza kurejeshwa uhusiano wa kawaida na Ufaransa baada ya matamshi hatari yaliyotolewa na rais wa nchi hiyo.

  • Serikali ya Ufaransa yaendeleza hujuma dhidi ya Uislamu, yazuia kampeni ya EU ya kutetea hijabu

    Serikali ya Ufaransa yaendeleza hujuma dhidi ya Uislamu, yazuia kampeni ya EU ya kutetea hijabu

    Nov 04, 2021 04:19

    Kampeni ya Ulaya ya kupambana na hujuma dhidi ya Uislamu na kutetea vazi la staha la hijabu imesimamishwa kutokana na mashinikizo ya serikali ya Ufaransa.

  • Waziri Mkuu wa Australia ajibizana na Rais wa Ufaransa kuhusu mkataba wa nyambizi za nyuklia

    Waziri Mkuu wa Australia ajibizana na Rais wa Ufaransa kuhusu mkataba wa nyambizi za nyuklia

    Nov 02, 2021 02:40

    Waziri Mkuu wa Australia Scott Morrison amejibu tuhuma alizotoa Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa dhidi yake kuhusiana na kuvunjwa kwa mkataba wa ununuzi wa nyambizi za nyuklia kutoka Ufaransa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS