-
Baraza la Ulaya latahadharisha kuhusu hali mbaya ya wafungwa nchini Ufaransa
Sep 18, 2021 03:26Baraza la Ulaya limetahadharisha kuhusu hali mbaya ya wafungwa katika jela za Ufaransa.
-
Wafaransa waendeleza maandamano kupinga sheria za serikali kuhusu corona
Sep 05, 2021 06:22Wananchi wa Ufaransa wameendeleza maandamano kwa wiki ya nane mfululizo kupinga sheria kali ambazo serikali ya nchi hiyo imeziweka kukabiliana na maambukizi ya corona.
-
Rais Raisi: Tunakaribisha kustawisha uhusiano na Ufaransa kwa msingi wa kuheshimiana na kwa maslahi ya pamoja
Aug 09, 2021 22:04Rais Ebrahim Rais amesema, serikali mpya ya Iran inakaribisha kustawisha uhusiano na Ufaransa kwa msingi wa kuheshimiana na kuzingatia maslahi ya pamoja.
-
Mwanaharakati wa Ufaransa: Sheria ya karibuni dhidi ya Uislamu inahalalisha ubaguzi dhidi ya Waislamu
Aug 02, 2021 05:44Mwanaharakati mmoja wa haki za binadamu wa nchini Ufaransa amesema kuwa sheria iliyopitishwa karibuni na bunge la nchi hiyo inahalalisha kisheria kufanyika ubaguzi dhidi ya Uislamu na Waislamu wa nchi hiyo.
-
Bunge la Ufaransa lapitisha muswada wa chuki dhidi ya Uislamu
Jul 25, 2021 22:07Bunge la Ufaransa Ijumaa lilipitisha muswada wenye chuki na ulio dhidi ya Uislamu uliopewa jina la eti 'mapambano dhidi ya wanaotaka kujitenga' licha ya kuwepo upinzani wa vyama kadhaa vya mrengo wa kushoto dhidi ya muswada huo.
-
Emmanuel Macron, mhanga wa ujasusi wa Wazayuni kupitia programu ya Pegasus
Jul 23, 2021 03:52Gabriel Attal, Msemaji wa Serikali ya Ufaransa alisema Alhamisi kuwa Rais Emmanuel Macron aliitisha kikao cha Baraza la Ulinzi siku hiyo hiyo kwa ajili ya kuchunguza na kujadili ujasusi uliofanywa dhidi yake kupitia programu ya Kizayuni ya Pegasus.
-
Kirusi cha DELTA chapelekea hali ya corona Ufaransa kuwa mbaya sana
Jul 21, 2021 21:57Waziri wa Afya wa Ufaransa amesema kuwa, hali ya maambukizi ya corona ni mbaya sana nchini humo kutokana na kuenea kirusi kipya cha DELTA ambacho kwa mara ya kwanza kiligunduliwa nchini India.
-
Kikao cha viongozi wa Ufaransa na kundi la nchi tano za Sahel
Jul 11, 2021 03:52Rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron ameonana na wakuu wa nchi tano za eneo la Sahel ya Afrika ambazo ni Chad, Mali, Burkina Faso, Mauritania na Niger. Ingawa kikao hicho kimefanyika kwa njia ya Intaneti, lakini Rais Mohammad Bazoum wa Niger yeye ameshiriki kikao hicho akiwa ziarani nchini Ufaransa.
-
Ufaransa yakataa kutoa ramani za maeneo iliyofanyia majaribio ya mabomu ya nyuklia Algeria
Jul 07, 2021 23:48Baada ya takribani miaka 60 tokea Ufaransa ihitimishe ukoloni na ukaliaji mabavu wa Algeria, taathira za jinai zake katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika zingali zinahisika na wakuu wa Paris hawako tayari kufidia hasara ambazo waliwasababishia Waalgeria.
-
Sisitizo la viongozi wa Ufaransa, Ujerumani na China la udharura wa kuhuishwa JCPOA
Jul 06, 2021 21:51Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa, Kansela wa Ujerumani Angela Merkel, na Rais Xi Jinping wa China wamefanya mazungumzo kwa njia ya simu na kutoa wito kwa pande zinazofanya mazungumzo huko Vienna kwa ajili ya kuhuisha makubaliano ya nyuklia ya JCPOA kutumia vyema fursa iliyopo ya "Dirisha la Fursa" kwa ajili ya kufikia makubaliano kuhusiana na kadhia hiyo.