Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ufaransa

  • Algeria: Ufaransa inakataa kutoa ramani ya maeneo yaliyotumiwa kwa majaribio ya nyuklia

    Algeria: Ufaransa inakataa kutoa ramani ya maeneo yaliyotumiwa kwa majaribio ya nyuklia

    Jul 05, 2021 05:49

    Waziri wa Mujahideen (maveterani wa vita vya ukombozi) nchini Algeria, Tayeb Zitouni amesema kuwa Ufaransa inakataa kuikabidhi nchi hiyo ramani ya maeneno yaliyotumiwa kwa ajili ya majaribio ya milipuko ya nyuklia yaliyofanywa na serikali ya Paris katika majangwa ya Algeria kwenye miaka ya sitini ya karne iliyopita.

  • Wabunge Ufaransa wakosoa kuteuliwa afisa wa UAE kuongoza Interpol

    Wabunge Ufaransa wakosoa kuteuliwa afisa wa UAE kuongoza Interpol

    Jun 19, 2021 00:40

    Makumi ya Wabunge wa Ufaransa wamelalamikia hatua ya kuteuliwa afisa wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kuwa Rais wa Polisi ya Kimataifa (Interpol).

  • Ufaransa yasitisha Operesheni ya Barkhane eneo la Sahel, Afrika

    Ufaransa yasitisha Operesheni ya Barkhane eneo la Sahel, Afrika

    Jun 11, 2021 03:28

    Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa ametangaza kuwa nchi hiyo karibuni hivi itasitisha Operesheni ya Barkhane ya eti kupambana na magenge ya kigaidi katika eneo la Sahel la Afrika.

  • Kuzabwa kibao Macron, kielelezo cha malalamiko ya wananchi na mgawanyiko wa kisiasa na kijamii Ufaransa

    Kuzabwa kibao Macron, kielelezo cha malalamiko ya wananchi na mgawanyiko wa kisiasa na kijamii Ufaransa

    Jun 10, 2021 08:28

    Katika matamshi yake ya kwanza kuhusu safari yake kwenye eneo la Ladrum huko Kusini Mashariki mwa Ufaransa na kuhusu kibao alichozabwa na mtu mmoja ambaye bado hajatambulishwa, Rais Emmanuel Macron amesema, mtu kueleza mitazamo yake ni jambo linalokubalika, lakini ujinga na ukatili havina nafasi katika utawala wa kidemokrasia.

  • Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa azabwa kibao + Video

    Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa azabwa kibao + Video

    Jun 08, 2021 22:01

    Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa amezabwa kibao wakati akiwa ziarani kusini mashariki mwa nchi hiyo. Katika kuonesha kuwa bado watu wanampenda, rais huyo anayeshindwa kuficha chuki zake dhidi ya Uislamu, alikwenda haraka kuwapa mikono watu waliokuwa wamesimama pembeni. Mtu wa kwanza kumpa mkono ametumia fursa hiyo hiyo kumzaba kibao.

  • 'Vikwazo vitaongeza ugumu katika mgogoro wa Mali, wananchi watazidi kuumia'

    'Vikwazo vitaongeza ugumu katika mgogoro wa Mali, wananchi watazidi kuumia'

    Jun 05, 2021 06:59

    Siku moja baada ya Ufaransa kukata uhusiano wake wa kijeshi na nchi ya Mali, Waziri Mkuu mtarajiwa wa nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika amesema kuwa, nchi yake inaheshimu sheria za kimataifa lakini vikwazo vitazidisha utata katika mgogoro wa nchi hiyo na vitazidi kuwaumiza wananchi wa kawaida.

  • Sisitizo la Macron kuhusu kusitishwa uingiliaji wa kigeni nchini Libya

    Sisitizo la Macron kuhusu kusitishwa uingiliaji wa kigeni nchini Libya

    Jun 03, 2021 08:57

    Katika hali ambayo kunafanyika jitihada za kuhitimisha mgogoro wa Libya ili uchaguzi utakaoyashirikisha makundi yote ya kisiasa ufanyike, uwepo wa wanajeshi wa kigeni na uingiliaji wa madola ajinabi katika mchakato wa amani nchini humo vinatambuliwa kuwa ni kizuizi katika kufikia amani ya kudumu.

  • Macron akiri, Ufaransa ilihusika katika mauaji ya kimbari ya Rwanda mwaka 1994

    Macron akiri, Ufaransa ilihusika katika mauaji ya kimbari ya Rwanda mwaka 1994

    May 28, 2021 02:42

    Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa amekiri kwamba, nchi yake ilihusika katika mauaji ya kimbari ya mwaka 1994 nchini Rwanda.

  • Ufaransa yakiri kuhusu utambulisho wa kigaidi wa utawala wa Israel dhidi ya Wapalestina

    Ufaransa yakiri kuhusu utambulisho wa kigaidi wa utawala wa Israel dhidi ya Wapalestina

    May 25, 2021 06:03

    Jumapili iliyopita Jean-Yves Le Drian, Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa aliashiria hujuma ya kinyama iliyofanywa karibuni na utawala haramu wa Israel katika miji kadhaa ya Waarabu katika ardhi unazozikalia kwa mabavu na kutahadharisha dhidi ya ubaguzi wa rangi unaotekelezwa na utawala huo dhidi ya Wapalestina.

  • Waziri wa Mambo Nje wa Ufaransa atahadharisha kuhusu sera za Apartheid za Israel dhidi ya Wapalestina

    Waziri wa Mambo Nje wa Ufaransa atahadharisha kuhusu sera za Apartheid za Israel dhidi ya Wapalestina

    May 24, 2021 07:10

    Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Ufaransa ametahadharisha kuhusu kuendelea kwa muda mrefu ubaguzi wa Apartheid wa utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS