-
Waziri wa mambo ya nje wa Russia aendelea na ziara yake Afrika kwa kuitembelea Uganda
Jul 26, 2022 07:04Waziri wa mambo ya nje wa Russia Sergey Lavrov amewasili nchini Uganda akiendelea na zaira yake katika nchi kadhaa za Afrika.
-
Njaa yaua watu 900 katika eneo la Karamoja, Uganda
Jul 26, 2022 03:24Mamia ya watu wamepoteza maisha kutokana na makali ya njaa katika eneo la Karamoja, kaskazini mwa Uganda.
-
Iran na Uganda kuimarisha uhusiano wa kiuchumi
Jul 07, 2022 03:39Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Anayehusika na Diplomasia ya Uchumi amekutana na kuzungumza kwa nyakati tofauti na Rais na Waziri Mkuu wa Uganda kwa lengo la kuimarisha uhusiano wa kiuchumi kati ya nchi mbili.
-
Ajali ya basi yasababisha vifo vya watu wasiopungua 20 nchini Uganda
May 04, 2022 10:24Polisi wa Uganda wamesema watu 20 wameuawa baada ya basi la abiria kuanguka kwenye shamba la chai nje ya barabara kuu magharibi mwa Uganda.
-
UNHCR yahitaji dola milioni 47.8 kuwasaidia wakimbizi Uganda
Apr 30, 2022 23:40Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi, UNHCR na wadau wengine 44 wa misaada ya kibinadamu wametoa ombi la dharura la dola za Marekani milioni 47.8 ili kukabiliana na mahitaji muhimu ya maelfu ya wakimbizi waliofika Uganda mwaka huu, wakikimbia ghasia katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) na za mapigano ya hapa na pale nchini Sudan Kusini.
-
Viongozi wa Waislamu Uganda wazika tofauti zao, wapania kuunda taasisi moja
Apr 13, 2022 03:28Viongozi wa makundi na mashirika ya Kiislamu nchini Uganda wametangaza kuungana na kusuluhisha tofauti zao, sanjari na kusaini makubaliano ya kuunda taasisi moja itakayowaleta pamoja na kuwaunganisha.
-
EU yaeleza wasiwasi wake kuhusu kambi za mateso nchini Uganda
Apr 07, 2022 06:46Mwakilishi Maalumu wa Umoja wa Ulaya katika Masuala ya Haki za Binadamu ameelezea wasiwasi wake kuhusu kuteswa wafungwa na ukiukwaji mwingine wa haki za binadamu nchini Uganda.
-
Spika wa Bunge la Uganda, Jacob Oulanyah aaga dunia
Mar 20, 2022 08:40Spika wa Bunge la Kitaifa la Uganda, Jacob L'Okori Oulanyah amefariki dunia akitibiwa nchini Marekani.
-
Jeshi la Uganda limekanusha kuwa mtoto wa Museveni amejiuzulu
Mar 14, 2022 10:25Jeshi la Uganda limesema leo Jumatatu kwamba mtoto wa kiume wa Rais Yoweri Museveni, Luteni Jenerali Muhoozi Kainerugaba ambaye anatajwa kuwa ndiye atakayerithi miikoba ya baba yake kama rais ajaye wa Uganda, hajajiuzulu.
-
ICJ yaiamuru Uganda kuilipa DRC dola milioni 325 tu kufidia gharama za vita
Feb 10, 2022 04:05Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) imetangaza kuwa dola milioni 325 ndio kiasi cha fidia ambacho Uganda inapaswa kuilipa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, ambayo ilikuwa ikidai zaidi ya dola bilioni 11 kwa uvamizi uliofanywa na jeshi la serikali ya Kampala mashariki mwa nchi hiyo wakati wa vita vya miaka ya 1998-2003.