-
Wanaopinga 'Brexit' waandamana wakitaka UK ijiunge tena na EU
Oct 24, 2022 00:30Makumi ya maelfu ya watu wamefanya maandamano katika mji mkuu wa Uingereza, London wakishinikiza nchi hiyo irejee katika Umoja wa Ulaya.
-
Waislamu London walaani kuvunjiwa heshima thamani za Kiislamu
Oct 02, 2022 04:08Waislamu wanaoishi London, mji mkuu wa Uingereza wamefanya maandamano ya kulalamikia vitendo vya kuvunjiwa heshima thamani za Kiislamu na chokochoko dhidi ya Mapinduzi ya Kiislamu.
-
Maelfu waandamana Uingereza kulalamikia gharama za juu za maisha
Oct 02, 2022 04:00Maelfu ya watu wamefanya maandamano katika miji mbalimbali ya Uingereza, kulalamikia mgogoro wa mfumko wa bei na kupanda kwa gharama za maisha.
-
Watu wa Wales wamwambia Mfalme Charles: Unafuja mali zetu katika sherehe zako, wewe si mfalme wetu
Sep 18, 2022 07:53Mfalme wa Uingereza, Charles III, amekabiliwa na hali ya aibu na fedheha huko Cardiff, mji mkuu wa Wales, alipokuwa akisalimiana na raia kadhaa waliokuwa wamekusanyika kuhudhuria kutawazwa kwake, wakati mtu mmoja alipojitokeza na kumshutumu mfalme kuwa anafuja pesa za walipakodi kwa ajili ya sherehe za kifalme.
-
Bin Salman akaribishwa kwa maandamano nchini Uingereza
Sep 18, 2022 03:36Makumi ya watetezi wa haki za binadamu wamefanya maandamano nje ya ubalozi wa Saudi Arabia mjini London, kulaani safari ya Mrithi wa Ufalme wa Saudi Arabia, Mohammed bin Salman nchini Uingereza.
-
Maandamano dhidi ya ufalme wa Uingereza yafanyika Scotland
Sep 14, 2022 03:17Kwa mara nyingine tena, maandamano makubwa yameshuhudiwa katika mji mkuu wa Scotland, Edinburg kupinga mfumo wa kifalme wa Uingereza.
-
New Zealand itaacha kuwa chini ya ufalme wa Uingereza, itajitangaza Jamhuri
Sep 13, 2022 21:42Waziri Mkuu wa New Zealand amesema nchi hiyo hatimaye itaacha kuwa chini ya mfumo wa kifalme wa Uingereza na kujitangaza kuwa Jamhuri.
-
Taasisi ya utafiti: Uingereza inatunga sheria za kuwafanya Waislamu kuwa raia wa daraja la pili
Sep 12, 2022 21:59Taasisi ya Mahusiano ya Mbari ya Uingereza (The Institute of Race Relations) imesema, sera ya serikali ya Uingereza inawafanya Waislamu wa nchi hiyo kuwa raia wa daraja la pili kutokana na sheria zinazoruhusu kupokonywa uraia wa Uingereza.
-
Maelfu waandamana Uingereza kulaani mauaji ya raia mweusi
Sep 11, 2022 07:36Maelfu ya watu wamefanya maandamano katika mji mkuu wa Uingereza, London kulaani mauaji ya mtu mmoja mwenye asili ya Afrika yaliyofanywa na askari polisi wa nchi hiyo.
-
Kifo cha Malkia; mashabiki wa soka Uingereza waitisha pesa zao
Sep 11, 2022 07:33Jumuiya ya Mashabiki wa Soka Uingereza (FSA) imetoa mwito wa mashabiki kurejeshewa pesa walizotoa kwa ajili ya kununua tiketi za kushuhudia michuano ya mpira wa miguu; lakini baadaye ikaakhirishwa kufuatia kifo cha Malkia Elizabeth II wa nchi hiyo.