Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uingereza

  • Mpango wa UK wawaacha bila makazi wahanga wa mauaji ya kimbari Rwanda

    Mpango wa UK wawaacha bila makazi wahanga wa mauaji ya kimbari Rwanda

    Sep 01, 2022 03:06

    Wahanga wa mauaji ya kimbari nchini Rwanda waliofurushwa katika mabweni walikokuwa wakiishi kutokana na mpango tata wa wakimbizi wa Uingereza, wanalalamika kuwa wameachwa bila pahala pa kuishi, licha ya mabweni hayo kusalia bila watu.

  • Wakenya waishitaki Uingereza kwa jinai za enzi za ukoloni

    Wakenya waishitaki Uingereza kwa jinai za enzi za ukoloni

    Aug 24, 2022 06:25

    Kundi la raia wa Kenya limeifungulia mashitaka serikali ya Uingereza katika Mahakama ya Haki za Binadamu ya Ulaya, likitaka iwajibishwe kwa jinai ilizotenda dhidi ya wananchi wa Kenya enzi za ukoloni.

  • UK: Tuko tayari kutumia silaha za atomiki ikitulazimu

    UK: Tuko tayari kutumia silaha za atomiki ikitulazimu

    Aug 24, 2022 06:15

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza ambaye anatazamiwa kupanda ngazi na kuwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo amesema serikali yake haitasita kutumia silaha za maangamizi za nyuklia, iwapo nchi hiyo italazimika kufanya hivyo.

  • China: Uhuru wa Taiwan maana yake ni vita

    China: Uhuru wa Taiwan maana yake ni vita

    Aug 18, 2022 23:34

    Balozi wa China mjini London ameonya kuwa, uingiliaji wa mambo unaofanywa na Uingereza na Marekani juu ya suala la Taiwan hautakuwa na matokeo mengine ghairi ya vita.

  • Malkia wa Uingereza aitwa 'Mkoloni' na Seneta wa Australia wakati wa kula kiapo

    Malkia wa Uingereza aitwa 'Mkoloni' na Seneta wa Australia wakati wa kula kiapo

    Aug 01, 2022 22:56

    Kauli iliyotolewa na seneta mmoja wa Australia ya kumwita mkoloni Malkia Elizabeth II wa Uingereza imeibua makelele ndani ya bunge la Australia.

  • Uchunguzi: Jeshi la UK liliua makumi ya wafungwa wa Kiafghani

    Uchunguzi: Jeshi la UK liliua makumi ya wafungwa wa Kiafghani

    Jul 12, 2022 23:12

    Uchunguzi uliofanywa na shirika la habari la BBC la Uingereza umefichua kuwa, askari wa nchi hiyo ya Ulaya waliwaua kwa kuwafyatulia risasi raia zaidi ya 50 wa Afghanistan, licha ya kuwa hawakuwa wamejizatiti kwa silaha.

  • Afisa wa Iran: Ubaguzi umekita mizizi katika historia ya Uingereza

    Afisa wa Iran: Ubaguzi umekita mizizi katika historia ya Uingereza

    Jun 22, 2022 23:08

    Ubaguzi na udhalilishaji wa binadamu ni mambo yaliyokita mizizi katika historia ya Uingereza. Hayo yamesemwa na Katibu wa Baraza Kuu la Haki za Binadamu la Iran, Kazem Gharibabadi katika ujumbe wake kwa njia ya Twitter.

  • UN yajitenga na mpango wa kuwahamishia wakimbizi wa UK nchini Rwanda

    UN yajitenga na mpango wa kuwahamishia wakimbizi wa UK nchini Rwanda

    Jun 11, 2022 05:50

    Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) limejiweka mbali na madai kuwa linaunga mkono mpango wa kuwahamishia Rwanda wakimbizi na watu wanaotafuta hifadhi nchini Uingereza.

  • Wanazuoni Uingereza walaani filamu inayouvunjia heshima Uislamu

    Wanazuoni Uingereza walaani filamu inayouvunjia heshima Uislamu

    Jun 11, 2022 05:49

    Wanazuoni wa Kiislamu nchini Uingereza wamelaani na kukosoa vikali filamu tata ya "Mwanamke wa Peponi" yenye kuvunjia heshima matukufu ya Kiislamu.

  • 70% ya Waislamu UK wamefanyiwa vitendo vya 'Islamophobia' kazini

    70% ya Waislamu UK wamefanyiwa vitendo vya 'Islamophobia' kazini

    Jun 08, 2022 06:20

    Utafiti mpya umefichua kuwa, Waislamu saba kati ya kumi nchini Uingereza wamekabiliwa na vitendo vya chuki na ubaguzi kwa misingi ya dini yao.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS