-
Russia: Madai kuwa Iran imetuletea silaha ni uongo na ni propaganda za Wamagharibi
Apr 24, 2022 08:20Ubalozi wa Russia mjini Tehran umesema kuwa, uvumi ulioenezwa kwamba Iran imeipelekea silaha Russia ili izitumie katika vita vya Ukraine, ni uongo na ni propaganda tu za madola ya Magharibi.
-
Eritrea yakosoa mpango 'haramu' wa kuwahamishia Rwanda wakimbizi wa Uingereza
Apr 19, 2022 22:18Serikali ya Eritrea imekosoa makubaliano ya kuwahamishia Rwanda wakimbizi kutoka Uingereza ikisisitiza kuwa, mpango huo haukubaliki, unashtua na unapaswa kupingwa na kulaaniwa vikali.
-
China yaitaka Uingereza iachane na fikra za kikoloni
Apr 02, 2022 22:11Serikali ya China imelaani vikali uingiliaji wa Uingereza katika masuala ya ndani ya mji wa Hong Kong na kusisitiza kuwa, nchi hiyo ya Ulaya inapaswa kuachana na fikra zake za kikoloni.
-
Turathi zilizoibiwa na mkoloni Muingereza zarejeshwa Nigeria baada ya karne
Feb 20, 2022 04:26Turathi mbili muhimu za kihistoria za Nigeria zilizoibiwa na Uingereza katika enzi za ukoloni hatimaye zimerejeshwa katika nchi hiyo ya Afrika Magharibi, baada ya kupita zaidi ya miaka mia moja.
-
Mazungumzo ya Vienna; ajenda kuu ya maungumzo ya Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Uingereza
Feb 15, 2022 04:42Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Uingereza wamejadili misimamo ya nchi mbili katika mazungumzo yanayoendelea sasa huko Vienna nchini Austria kuhusu mapatano ya nyuklia ya JCPOA.
-
Iran yajibu uropokaji wa Uingereza kuhusu mazungumzo ya JCPOA
Jan 27, 2022 04:29Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekosoa vikali bwabwaja mpya zilizotolewa na Uingereza juu ya mazungumzo ya kufufua makubaliano ya nyuklia ya JCPOA yanayoendelea huko Vienna, Austria.
-
Serikali ya Uingereza yaagiza uchunguzi ufanyike kuhusu madai ya waziri wa zamani Muislamu aliyefutwa kazi
Jan 24, 2022 08:56Waziri Mkuu wa Uingereza Boris Johnson ameamuru uchunguzi ufanyike kuhusu madai ya waziri wa zamani Muislamu aliyesema kwamba alifutwa kazi katika serikali yake kwa sababu ya imani yake ya Kiislamu.
-
Corona imeua watu 150,000 Uingereza ndani ya mwezi mmoja
Jan 09, 2022 09:53Watu 150,000 wameaga dunia kutokana na ugonjwa wa Covid-19 katika kipindi cha mwezi mmoja uliopita nchini Uingereza, hiyo ikiwa ni idadi kubwa zaidi ya vifo vya maradhi hayo kuwahi kusajiliwa nchini humo tangu janga la Corona lishike kasi Machi 2020.
-
Waingereza wasalimu amri, wakubali kurejesha ufunguo wa seli ya Mandela Afrika Kusini
Jan 07, 2022 11:51Ufunguo wa seli ya gereza ya kisiwa cha Robben alikofungwa Nelson Mandela utarudishwa Afrika Kusini badala ya kupigwa mnada nchini Marekani.
-
Utafiti: Nusu ya watoto weusi wa UK wanaishi katika umaskini
Jan 04, 2022 04:31Utafiti mpya umefichua kuwa, zaidi ya asilimia 50 ya watoto wenye asili ya Afrika nchini Uingereza wanakulia katika mazingira ya uchocholea na umaskini wa kupindukia.