-
Waafrika Kusini wapinga azma ya Shell kuchimba mafuta pwani ya nchi hiyo
Dec 05, 2021 23:46Wananchi wa Afrika Kusini wamefanya maandamano katika fukwe za nchi hiyo kupinga mpango wa shirika la mafuta la Uingereza na Uholanzi la Royal Dutch Shell wa kuchimba mafuta katika pwani ya nchi hiyo ya kusini mwa Afrika.
-
HAMAS yaanzisha kampeni kubwa ya uhamasishaji kukabiliana na hatua ya Uingereza dhidi yake
Nov 27, 2021 23:22Mshauri wa Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema, Ismail Haniya ameagiza ianzishwe kampeni kubwa ya uhamasishaji ya kuunga mkono kadhia ya Palestina ili kukabiliana na hatua ya karibuni ya Uingereza dhidi ya Hamas.
-
Afrika Kusini yaikosoa UK kwa kusimamisha safari za ndege, kisa spishi mpya ya corona
Nov 27, 2021 01:08Afrika Kusini imeikosoa vikali serikali ya Uingereza kwa kupiga marufuku raia wa hiyo pamoja na nchi za Botswana, Namibia, Zimbabwe, Lesotho na Eswatini kuingia katika nchi hiyo ya Ulaya, kufuatia kugunduliwa spishi mpya ya corona kwa jina B.1.1.529 katika nchi hiyo ya kusini mwa Afrika.
-
Familia ya mwanamke wa Kenya aliyeuawa yalishtaki jeshi la Uingereza
Nov 10, 2021 10:54Familia ya mwanamke wa Kenya anayedaiwa kuuawa na askari wa Uingereza imelishtaki jeshi la UK ikitaka lishurutishwe kutoa majibu ya kitendawili cha mauaji hayo.
-
Waziri: Mafanikio ya mazungumzo ya Vienna yanategemea kuondolewa vikwazo vyote Iran
Nov 09, 2021 04:49Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kufanikiwa mazungumzo ya mjini Vienna, Austria kuhusu makubaliano ya JCPOA kutategemea na kuondolewa vikwazo vyote Iran, sambamba na kuifanya ya kawaida miamala ya kibiashara na Tehran.
-
Boris Johnson ajiunga na Biden, watwanga usingizi katikati ya mkutano wa tabianchi, Glasgow
Nov 03, 2021 07:18Waziri Mkuu wa Uingereza Boris Johnson amejiunga na Rais wa Marekani Joe Biden na kutwanga usingizi mfupi wakati wa vikao vya Mkutano wa Hali ya Hewa unaofanyika Glasgow huko Scotland.
-
Mbunge wa chama tawala Uingereza auawa kwa kisu kanisani
Oct 15, 2021 23:02Mbunge mmoja wa chama tawala cha kihafidhina nchini Uingereza ameuawa kwa kuchomwa kisu kanisani na mtu asiyejulikana katika mji wa Leigh-on-Sea kusini mwa nchi.
-
Korea Kaskazini yazionya US, UK na Australia kuhusu makubaliano yao ya nyambizi ya nyuklia
Sep 20, 2021 05:44Korea Kaskazini imesema makubaliano ya nyuklia yaliyofikiwa hivi karibuni baina ya nchi tatu za Marekani, Uingereza na Australia ni hatua hatari sana.
-
Lebanon yafungua mashtaka dhidi ya kampuni ya Uingereza kwa kuhusika na mlipuko wa Bandari ya Beirut
Aug 25, 2021 03:46Lebanon imefungua mashtaka katika mahakama Kuu ya Uingereza mjini London dhidi ya kampuni moja ya nchi hiyo kwa tuhuma za kuhusika katika mlipuko wa mwaka jana katika Bandari ya Beirut.
-
Palestine Action yavamia kiwanda cha kuzalisha silaha cha Israel nchini Uingereza
Aug 23, 2021 08:20Kama sehemu ya kampeni yao ya kitaifa dhidi ya kiwanda kinachotengeneza silaha za Israeli, wanaharakati wanaounga mkono Palestina nchini Uingereza wamefanya maandamano nje ya kiwanda cha kampuni hiyo kwenye eneo Oldham na kuvamia paa la kiwanda hicho.