Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uingereza

  • Uingereza yaidhinisha dawa ya kuzuia na kutibu Corona

    Uingereza yaidhinisha dawa ya kuzuia na kutibu Corona

    Aug 20, 2021 21:58

    Mamlaka ya Kusimamia Dawa na Matibabu Uingereza (MHRA) imeidhinisha kile ilichokitaja kuwa dawa ya aina yake ya kukinga na kutibu ugonjwa wa COVID-19.

  • Wanasoka weusi wa timu ya taifa ya Uingereza waandamwa na hujuma za ubaguzi wa rangi

    Wanasoka weusi wa timu ya taifa ya Uingereza waandamwa na hujuma za ubaguzi wa rangi

    Jul 12, 2021 03:45

    Shirikisho la Soka la Uingereza limetoa taarifa likieleza kuchukizwa na kauli za matusi ya kibaguzi dhidi ya wachezaji weusi wa timu ya taifa ya soka ya nchi hiyo na kutangaza uungaji mkono wake kwa wachezaji hao.

  • Mbunge wa chama cha Leba ataka sheria ya kuwaadhibu wanaomvunjia heshima Mtume (saw)

    Mbunge wa chama cha Leba ataka sheria ya kuwaadhibu wanaomvunjia heshima Mtume (saw)

    Jul 11, 2021 00:12

    Mbunge wa Uingereza ametetea heshima ya Mtume Muhammad (saw) katika hotuba ya kupendeza kwenye Bunge la nchi hiyo, akiangazia mashinikizo ya kiroho na madhara yaliyosababishwa kwa Waislamu ulimwenguni kote kutokana na katuni na picha zinazochapishwa mara kwa mara barani Ulaya zikimvunjia heshima Nabii huyo wa Mwenyezi Mungu.

  • Waziri wa zamani wa mambo ya ndani wa Uingereza aitaka Conservative itupilie mbali Islamophobia

    Waziri wa zamani wa mambo ya ndani wa Uingereza aitaka Conservative itupilie mbali Islamophobia

    May 26, 2021 21:50

    Waziri wa zamani wa mambo ya ndani wa Uingereza amekishauri chama tawala cha Conservative kujipanga upya kwa kutupilia mbali sera za kupiga vita Uislamu (Islamophobia).

  • Marekani yasimamisha chanjo ya corona ya Johnson & Johnson kwa hofu ya kuganda damu

    Marekani yasimamisha chanjo ya corona ya Johnson & Johnson kwa hofu ya kuganda damu

    Apr 13, 2021 22:05

    Marekani imesitisha matumizi ya chanjo ya virusi vya corona iliyotengenezwa na kampuni ya dawa ya nchi hiyo, Johnson and Johnson, ambayo kuna madai kuwa inasababisha kuziba kwa mishipa kama matokeo ya tatizo la kuganda kwa damu kwa watu waliopewa chanjo hiyo.

  • 7 waaga dunia UK kwa kuganda damu baada ya kupigwa chanjo ya AstraZeneca

    7 waaga dunia UK kwa kuganda damu baada ya kupigwa chanjo ya AstraZeneca

    Apr 03, 2021 07:27

    Wakala wa Kudhibiti Madawa Uingereza (MHRA) umesema miongoni mwa watu 30 waliopaata matatizo ya kuganda damu baada ya kupigwa chanjo ya AstraZeneca, saba wameaga dunia.

  • Bri. Jen. Hatami: Uingereza ichukue hatua za kivitendo kulipa deni la Iran

    Bri. Jen. Hatami: Uingereza ichukue hatua za kivitendo kulipa deni la Iran

    Mar 23, 2021 22:39

    Waziri wa Ulinzi wa Iran ameashiria jinsi Uingereza ilivyokiri kuwa ina deni la miaka 42 la Iran na kuitaka London ichukue hatua za kivitendo za kuilipa Tehran fedha zake hizo ambazo ni mamia ya mamilioni ya dola.

  • Iran yakosoa undumakuwili wa Uingereza, yataka silaha zote za nyuklia ziharibiwe

    Iran yakosoa undumakuwili wa Uingereza, yataka silaha zote za nyuklia ziharibiwe

    Mar 17, 2021 03:04

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekosoa vikali undumakuwili wa Uingereza; ambayo kwa upande mmoja inatoa madai yasiyo na msingi dhidi ya miradi ya nyuklia ya Iran yenye malengo ya amani na kwa upande mwingine, inasema kuwa inataka kuongeza akiba ya silaha zake za nyuklia.

  • Oxfam yaitaka UK iache kuiuzia Saudia silaha baada ya ripoti ya mauaji ya Khashoggi

    Oxfam yaitaka UK iache kuiuzia Saudia silaha baada ya ripoti ya mauaji ya Khashoggi

    Feb 28, 2021 22:50

    Shirika la misaada ya kibinadamu la Oxfam limeitaka Uingereza isimamishe mauzo ya silaha zake kwa Saudi Arabia, baada ya ripoti ya kiintelijensia ya Marekani kusema Mohammad Bin Salman, mrithi wa kiti cha ufalme wa Saudi Arabia ndiye aliyetoa amri ya kuuawa Jamal Khashoggi, mwandishi wa habari aliyekuwa akiukosoa utawala wa Aal-Saud.

  • UK: Aina mpya ya virusi vya corona imetokea Afrika Kusini

    UK: Aina mpya ya virusi vya corona imetokea Afrika Kusini

    Dec 24, 2020 04:43

    Waziri wa Afya wa Uingereza amesema spishi mpya ya kirusi cha corona iliyogunduliwa nchini humo na inayoambukiza na kuenea kwa kasi kubwa zaidi iliibukia nchini Afrika Kusini.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS