-
Oxfam yaitaka UK iache kuiuzia Saudia silaha baada ya ripoti ya mauaji ya Khashoggi
Feb 28, 2021 22:50Shirika la misaada ya kibinadamu la Oxfam limeitaka Uingereza isimamishe mauzo ya silaha zake kwa Saudi Arabia, baada ya ripoti ya kiintelijensia ya Marekani kusema Mohammad Bin Salman, mrithi wa kiti cha ufalme wa Saudi Arabia ndiye aliyetoa amri ya kuuawa Jamal Khashoggi, mwandishi wa habari aliyekuwa akiukosoa utawala wa Aal-Saud.
-
UK: Aina mpya ya virusi vya corona imetokea Afrika Kusini
Dec 24, 2020 04:43Waziri wa Afya wa Uingereza amesema spishi mpya ya kirusi cha corona iliyogunduliwa nchini humo na inayoambukiza na kuenea kwa kasi kubwa zaidi iliibukia nchini Afrika Kusini.
-
Iran na nchi kadhaa duniani zasimamisha safari za ndege za Uingereza
Dec 21, 2020 04:49Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na nchi nyingine kadhaa duniani zimesimamisha kwa muda safari za ndege za kwenda na kutoka Uingereza baada ya kuripotiwa aina mpya ya msambao wa virusi vya corona mjini London na kusini mashariki mwa UK.
-
COVID-19 Ulaya: Sheria za udhibiti zaibua ghasia Uhispania, Uingereza yafungwa
Nov 01, 2020 08:04Bara Ulaya sasa linakabiliana na wimbi la pili la maambukizi ya COVID-19 au corona huku hali ikitabiriwa kuendelea kuwa mbaya katika wiki kadhaa zijazo.
-
Saudi Arabia, mnunuzi mkuu wa silaha Asia Magharibi
Oct 08, 2020 03:25Ripoti mpya iliyotolewa na serikali ya Uingereza inaonesha kuwa, nchi hiyo ilikuwa ya pili kwa kuuza silaha nyingi duniani mwaka uliopita huku mnunuzi mkuu wa silaha za Uingereza katika eneo la Asia Magharibi ukiwa ni utawala wa kiimla wa Saudi Arabia.
-
'Kanisa la Uingereza limefeli kukabili visa vya kudhalilishwa kingono watoto'
Oct 07, 2020 04:28Ripoti ya Tume ya Uchunguzi imefichua kuwa, Kanisa la Uingereza lilifeli kuwalinda watoto wadogo dhidi ya vitendo vya ubakaji na udhalilishaji wa kingono kwa miongo kadhaa.
-
Sri Lanka yarejesha Uingereza kontena zenye takataka hatarishi, vimo viungo vya binadamu
Sep 27, 2020 23:14Sri Lanka imezirejesha nchini Uingereza kontena zilizokuwa zimebeba takataka hatari huku serikali ya Colombo ikisema kuwa ziliingizwa nchini humo kwa kukiuka sheria za kimataifa zinazosimamia usafirishaji wa mada hatarishi.
-
Iran: Uingereza ichukue hatua za kivitendo kutulipa mamia ya mamilioni ya fedha zetu
Sep 11, 2020 00:14Wizara ya Ulinzi ya Iran imeashiria jinsi Uingereza ilivyokiri kuwa ina deni la miaka 40 la Iran na kuitaka London ichukue hatua za kivitendo za kuilipa Tehran fedha zake hizo ambazo ni mamia ya mamilioni.
-
Mgogoro wa corona wawakosesha ajira maelfu ya watu nchini Uingereza
Jun 17, 2020 01:57Taathira mbaya za kirusi cha corona katika sekta mbalimbali nchini Uingereza zimesababisha ukosefu mkubwa usiotarajiwa wa kazi nchini humo.
-
Mwafrika aokoa maisha ya mzungu mwenye chuki kali za kibaguzi nchini Uingereza + Video
Jun 15, 2020 03:11Kitendo cha uungwa na kiwango cha juu cha ubinadamu kilichooneshwa na raia mmoja wa Uingereza mwenye asili ya Afrika cha kuokoa maisha ya mzungu mwenye chuki kali za kibaguzi wakati wa ugomvi huko mjini London Uingereza, kimevigusa sana vyombo vya habari na mitandao ya kijamii.