-
Iran na nchi kadhaa duniani zasimamisha safari za ndege za Uingereza
Dec 21, 2020 04:49Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na nchi nyingine kadhaa duniani zimesimamisha kwa muda safari za ndege za kwenda na kutoka Uingereza baada ya kuripotiwa aina mpya ya msambao wa virusi vya corona mjini London na kusini mashariki mwa UK.
-
COVID-19 Ulaya: Sheria za udhibiti zaibua ghasia Uhispania, Uingereza yafungwa
Nov 01, 2020 08:04Bara Ulaya sasa linakabiliana na wimbi la pili la maambukizi ya COVID-19 au corona huku hali ikitabiriwa kuendelea kuwa mbaya katika wiki kadhaa zijazo.
-
Saudi Arabia, mnunuzi mkuu wa silaha Asia Magharibi
Oct 08, 2020 03:25Ripoti mpya iliyotolewa na serikali ya Uingereza inaonesha kuwa, nchi hiyo ilikuwa ya pili kwa kuuza silaha nyingi duniani mwaka uliopita huku mnunuzi mkuu wa silaha za Uingereza katika eneo la Asia Magharibi ukiwa ni utawala wa kiimla wa Saudi Arabia.
-
'Kanisa la Uingereza limefeli kukabili visa vya kudhalilishwa kingono watoto'
Oct 07, 2020 04:28Ripoti ya Tume ya Uchunguzi imefichua kuwa, Kanisa la Uingereza lilifeli kuwalinda watoto wadogo dhidi ya vitendo vya ubakaji na udhalilishaji wa kingono kwa miongo kadhaa.
-
Sri Lanka yarejesha Uingereza kontena zenye takataka hatarishi, vimo viungo vya binadamu
Sep 27, 2020 23:14Sri Lanka imezirejesha nchini Uingereza kontena zilizokuwa zimebeba takataka hatari huku serikali ya Colombo ikisema kuwa ziliingizwa nchini humo kwa kukiuka sheria za kimataifa zinazosimamia usafirishaji wa mada hatarishi.
-
Iran: Uingereza ichukue hatua za kivitendo kutulipa mamia ya mamilioni ya fedha zetu
Sep 11, 2020 00:14Wizara ya Ulinzi ya Iran imeashiria jinsi Uingereza ilivyokiri kuwa ina deni la miaka 40 la Iran na kuitaka London ichukue hatua za kivitendo za kuilipa Tehran fedha zake hizo ambazo ni mamia ya mamilioni.
-
Mgogoro wa corona wawakosesha ajira maelfu ya watu nchini Uingereza
Jun 17, 2020 01:57Taathira mbaya za kirusi cha corona katika sekta mbalimbali nchini Uingereza zimesababisha ukosefu mkubwa usiotarajiwa wa kazi nchini humo.
-
Mwafrika aokoa maisha ya mzungu mwenye chuki kali za kibaguzi nchini Uingereza + Video
Jun 15, 2020 03:11Kitendo cha uungwa na kiwango cha juu cha ubinadamu kilichooneshwa na raia mmoja wa Uingereza mwenye asili ya Afrika cha kuokoa maisha ya mzungu mwenye chuki kali za kibaguzi wakati wa ugomvi huko mjini London Uingereza, kimevigusa sana vyombo vya habari na mitandao ya kijamii.
-
Bunge la Juu ya Uingereza lataka kuondolewa vikwazo Iran
Apr 15, 2020 03:39Mwenyekiti wa Kamati ya Uhusiano wa Kimataifa na Ulinzi ya Bunge la Juu la Uingereza (House of Lords) amesema anaunga mkono miito inayotolewa na maafisa wa nchi za Ulaya na Marekani za kutaka Jamhuri ya Kiislamu ya Iran iondolewa vikwazo, katika kipindi hiki ambapo Iran inaendelea kukabiliana na maambukizi makubwa ya virusi vya Corona.
-
Waziri Mkuu wa Uingereza akumbwa na corona, mtu mmoja anafariki dunia kila dakika 13 nchini humo
Mar 27, 2020 09:08Waziri Mkuu wa Uingereza, Boris Johnson amekumbwa na ugonjwa hatari wa COVID-19 unaoenea kwa kasi kubwa kote ulimwenguni.