-
Bunge la Juu ya Uingereza lataka kuondolewa vikwazo Iran
Apr 15, 2020 03:39Mwenyekiti wa Kamati ya Uhusiano wa Kimataifa na Ulinzi ya Bunge la Juu la Uingereza (House of Lords) amesema anaunga mkono miito inayotolewa na maafisa wa nchi za Ulaya na Marekani za kutaka Jamhuri ya Kiislamu ya Iran iondolewa vikwazo, katika kipindi hiki ambapo Iran inaendelea kukabiliana na maambukizi makubwa ya virusi vya Corona.
-
Waziri Mkuu wa Uingereza akumbwa na corona, mtu mmoja anafariki dunia kila dakika 13 nchini humo
Mar 27, 2020 09:08Waziri Mkuu wa Uingereza, Boris Johnson amekumbwa na ugonjwa hatari wa COVID-19 unaoenea kwa kasi kubwa kote ulimwenguni.
-
Waislamu Uingereza wawasaidia wenye mahitaji wakati huu wa mripuko wa Corona
Mar 19, 2020 03:58Waislamu nchini Uingereza, mijini na vijijini wanafanya jitihada za kukusanya bidhaa muhimu za msingi kwa ajili ya kuwasaidia watu wenye mahitaji na wasiojiweza nchini humo, katika kipindi hiki cha mripuko wa Corona.
-
Zarif aitaka EU ipuuze vikwazo haramu vya Marekani dhidi ya Iran
Mar 17, 2020 04:32Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameutaka Umoja wa Ulaya uache kuifuata kibubusa Marekani katika kuliwekea taifa hili vikwazo vya upande mmoja, haramu na visivyo vya kisheria.
-
Abbas Mousavi: Serikali ya Uingereza haina haki ya kuipangia mambo Iran
Mar 11, 2020 23:13Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Uingereza haiko katika nafasi ya kutaka kuipangia mambo Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Ansarullah: Marekani na Uingereza zinaongoza vita vya muungano wa Saudia nchini Yemen
Mar 06, 2020 07:34Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Mapinduzi ya Watu wa Yemen amesema kuwa washauri wa kijeshi wa Marekani na Uingereza wanaongoza mashambulizi yanayofanywa na Saudi Arabia na washirika wake dhidi ya taifa la Yemen.
-
Mahakama ya Rufaa ya Uingereza 'yaharamisha' ndoa za Kiislamu
Feb 16, 2020 04:43Mahakama ya Rufaa ya Uingereza imebatilisha uamuzi wa miaka miwili iliyopita wa kutambua ndoa iliyofanyika kwa mujibu wa sheria za Kiislamu (Nikah).
-
Mauzo ya silaha za Uingereza kwa muungano wa Saudia yaongezeka
Dec 25, 2019 04:08Shirika la misaada ya kibinadamu la Oxfam limefichua kuwa, mauzo ya silaha za Uingereza kwa muungano vamizi wa Saudi Arabia katika mashambulizi ya Yemen yameongezeka kwa asilimia 50 ndani ya miaka mitano iliyopita.
-
Maandamano Uingereza kupinga matokeo ya uchaguzi, Scotland yataka kujitenga
Dec 14, 2019 08:52Maandamano makubwa yameripotiwa katika maeneo mbali mbali nchini Uingereza kupinga matokeo ya uchaguzi wa bunge ambapo chama cha Kihafhidhina (Conservative) cha Waziri Mkuu Boris Johnson kimepata ushindi.
-
Umoja wa Afrika waitaka Uingereza kurejesha visiwa vya Chagos, isitishe utawala wa kikoloni
Nov 23, 2019 08:38Umoja wa Afrika umeitaka Uingereza kuondoka katika Visiwa vya Chagos baada ya muhula iliyopewa na Umoja wa Mataifa kufanya hivyo kumalizika. Katika taarifa, Umoja wa Mataifa umesema iwapo London itakataa kutii amri hiyo basi itakuwa imekiuka sheria za kimataifa.