• Wabangali waandamana kulaani njama za kufuta Uislamu kuwa dini rasmi

    Wabangali waandamana kulaani njama za kufuta Uislamu kuwa dini rasmi

    Mar 26, 2016 03:42

    Maelfu ya wananchi wa Bangladesh wamefanya maandamano katika mji mkuu wa nchi hiyo kukosoa kile walichokitaja kuwa njama za baadhi ya watu wanaojiita 'mashuhuri' nchini humo kutaka Uislamu usitambuliwe kuwa dini rasmi ya nchi hiyo.

  • Sheikh wa al Azhar: Shia na Suni na mbawa mbili za Uislamu

    Sheikh wa al Azhar: Shia na Suni na mbawa mbili za Uislamu

    Mar 17, 2016 04:24

    Sheikh Mkuu wa al Azhar nchini Misri amesema kuwa Shia na Suni ni wafuasi wa dini moja na ni mithili ya mbawa mbili za ndege mmoja

  • Wanawake Waislamu US watakiwa kujifunza mbinu za kujihami

    Wanawake Waislamu US watakiwa kujifunza mbinu za kujihami

    Mar 13, 2016 13:22

    Baraza la Mahusiano la Waislamu nchini Marekani limewataka wanawake wa Kiislamu nchini humo kujifunza mbinu za kujilinda na kujihami wanaposhambuliwa, wakati huu ambapo chuki dhidi ya Waislamu na Uislamu zimeongezeka kwa kiasi kikubwa mno.

  • Uislamu Chaguo Langu (94)

    Uislamu Chaguo Langu (94)

    Mar 01, 2016 08:28

    Hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kujiunga nami katika kipindi hiki ambacho huangazia watu ambao waliamua kufuata njia iliyojaa nuru katika maisha ya dunia na kesho akhera yaani Uislamu baada ya kufanya utafiti wa kina.

  • Uislamu Chaguo Langu (98)

    Uislamu Chaguo Langu (98)

    Mar 01, 2016 08:23

    Hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kujiunga nami katika makala hii ambayo huwaangazia watu ambao baada ya kufanya utafiti wa kina huamua kufuata njia iliyojaa nuru maishani yaani Uislamu. Katika makala ya leo tutamuangazia Mmarekani aliyesilimu Thomas Clayton. Karibuni.

  • Uislamu Chaguo Langu (96)

    Uislamu Chaguo Langu (96)

    Mar 01, 2016 08:16

    Hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kujiunga nami katika makala hii ambayo huwaangazia watu ambao baada ya kufanya utafiti wa kina huamua kufuata njia ya haki maishani yaani Uislamu. Katika makala yetu ya leo tutamuangazia Mtaliano aliyesilimu Sara Teras.

  • Uislamu Chaguo Langu (95)

    Uislamu Chaguo Langu (95)

    Mar 01, 2016 08:12

    Hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kujiunga nami katika makala hii inayowaangazia watu ambao baada ya utafiti wa kina na wa wazi huamua kufuata njia ya haki na iliyojaa nuru katika maisha ya dunia na akhera yaani Uislamu. Ni matumaini yangu kuwa utaendelea kuwa nami hadi mwisho ambapo leo tutamuangazia Mmarekani aliyesilimu Bi Susan Aubrey.

  • Larijan: Iran inataka kuona umoja wa kiistrataji miongoni mwa Waislamu

    Larijan: Iran inataka kuona umoja wa kiistrataji miongoni mwa Waislamu

    Feb 28, 2016 04:24

    Spika wa Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu yaani Bunge la Iran amesema moja ya sera za Jamhuri ya Kiislamu ni kuona umoja na mshikamano wa kiistratajia katika ulimwengu wa Kiislamu unadumishwa.

  • Hizbullah ya Lebanon: Saudi Arabia ndio inayochafua jina la dini tukufu ya Kiislamu

    Hizbullah ya Lebanon: Saudi Arabia ndio inayochafua jina la dini tukufu ya Kiislamu

    Feb 27, 2016 04:00

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon imetangaza kuwa, Saudi Arabia ndiyo mchafuzi mkubwa wa haiba na sura ya Uislamu ulimwenguni.

  • Mchungaji UK: Uislamu uko karibu na Issa AS zaidi kuliko Ukristo

    Mchungaji UK: Uislamu uko karibu na Issa AS zaidi kuliko Ukristo

    Feb 22, 2016 00:06

    Mchungaji mmoja nchini Uingereza amesema kuwa, mafundisho ya Kiislamu yako karibu na yale aliyoyafunza Yesu yaani Nabii Issa AS, kuliko mafundisho mengi yanayotolewa katika Makanisa ya Magharibi.