-
Uislamu Chaguo Langu (95)
Mar 01, 2016 08:12Hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kujiunga nami katika makala hii inayowaangazia watu ambao baada ya utafiti wa kina na wa wazi huamua kufuata njia ya haki na iliyojaa nuru katika maisha ya dunia na akhera yaani Uislamu. Ni matumaini yangu kuwa utaendelea kuwa nami hadi mwisho ambapo leo tutamuangazia Mmarekani aliyesilimu Bi Susan Aubrey.
-
Larijan: Iran inataka kuona umoja wa kiistrataji miongoni mwa Waislamu
Feb 28, 2016 04:24Spika wa Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu yaani Bunge la Iran amesema moja ya sera za Jamhuri ya Kiislamu ni kuona umoja na mshikamano wa kiistratajia katika ulimwengu wa Kiislamu unadumishwa.
-
Hizbullah ya Lebanon: Saudi Arabia ndio inayochafua jina la dini tukufu ya Kiislamu
Feb 27, 2016 04:00Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon imetangaza kuwa, Saudi Arabia ndiyo mchafuzi mkubwa wa haiba na sura ya Uislamu ulimwenguni.
-
Mchungaji UK: Uislamu uko karibu na Issa AS zaidi kuliko Ukristo
Feb 22, 2016 00:06Mchungaji mmoja nchini Uingereza amesema kuwa, mafundisho ya Kiislamu yako karibu na yale aliyoyafunza Yesu yaani Nabii Issa AS, kuliko mafundisho mengi yanayotolewa katika Makanisa ya Magharibi.