-
UN: Janga la njaa la Ghaza ni matokeo ya kucheleweshwa upelekaji misaada kwa miezi 22
Aug 28, 2025 06:07Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa anayehusika na uratibu wa masuala ya kibinadamu ametangaza kuwa baa la njaa lililothibitishwa rasmi katika Ukanda wa Ghaza ni matokeo ya kucheleweshwa kwa miezi 22 upelekaji misaada ya kibinadamu katika eneo hilo la Palestina lililowekewa mzingiro na Israel.
-
Je, inatosha kwa nchi za Magharibi kulaani kwa maneno matupu jinai za utawala wa Israel?
Aug 26, 2025 02:42Mawaziri wa Mambo ya Nje wa nchi 21 za Magharibi kwa pamoja wamelaani uamuzi wa Israel wa kujenga makaazi mapya ya walowezi wa Kizayuni huko Quds Mashariki.
-
Tangu Agosti 6, jeshi la Israel limebomoa kikamilifu majengo zaidi ya 1,000 ya Mji wa Ghaza
Aug 25, 2025 06:59Shirika la Ulinzi wa Raia la Palestina limetangaza kuwa jeshi la utawala wa kizayuni wa Israel limebomoa kikamilifu majengo zaidi ya 1,000 katika vitongoji vya Zeitoun na Sabra katika Mji wa Ghaza tangu lilipoanza kuuvamia mji huo mnamo Agosti 6, na hivyo kupelekea mamia ya Wapalestina kunasa chini ya vifusi vya majengo hayo.
-
Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran: Muqawama ni 'hazina kubwa' kwa eneo
Aug 15, 2025 07:31Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran amesema, Muqawama ni "hazina kubwa" kwa eneo na Ulimwengu wa Kiislamu na akabainisha kuwa makundi ya Muqawama yamefikia kwenye "ukomavu" katika kujichukulia maamuzi yao.
-
HAMAS: Mpango wa Netanyahu wa 'Israel Kubwa Zaidi' ni tishio la wazi kwa mataifa ya Kiarabu na Waislamu
Aug 15, 2025 07:30Kiongozi mwandamizi wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu wa Palestina HAMAS ametahadharisha kuhusu kupanuliwa kwa mipango ya ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa kizayuni katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na kueleza kwamba hatua hiyo inakwenda sambamba na matamshi na ndoto za Benjamin Netanyahu kuhusu kuasisi "Israel Kubwa Zaidi."
-
Kukosoa Umoja wa Mataifa ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu
Jul 02, 2024 11:35Uamuzi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wa kuendeleza ujenzi wa vitongoji vyay walowezi wa Kizayuni katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu umekosolewa na Umoja wa Mataifa.
-
OIC yatahadharisha kuhusu ujenzi wa vitongoji vya walowezi unaofanywa na Israel
Jun 29, 2024 12:36Katika radiamali yake kwa hatua mpya ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya kuendeleza ujenzi wa vitongoji vya walowezi katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan, Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imesema kuwa kitendo hicho cha Israel ni muendelezo wa maangamizi ya kizazi na mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina.
-
Kuendelea ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni kusini mwa Quds Tukufu
Mar 23, 2023 08:03Meya wa mji mtakatifu wa Quds ametoa idhini ya kujengwa vitongoji vipya vya walowezi wa Kizayuni katika mji huo, jambo ambalo linaenda kinyume na maazimio ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.
-
Taarifa rasmi ya Baraza la Usalama ya kulaani vitongoji vya walowezi
Feb 22, 2023 02:32Jumatatu ya tarehe 20 Februari Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa lilipasisha rasimu ya azimio linalolaani uamuzi wa serikali ya Israel yenye misimamo ya kufurutu ada ya Benjamin Netanyahu wa kuidhinisha ujenzi wa vitongoji vipya tisa katika ardhi za Wapalestina za Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
-
Qatar yalaani mpango wa Netanyahu wa kupanua vitongozi wa walowezi wa Kizayuni
Dec 31, 2022 07:31Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Qatar imelaani vikali mpango wa Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala ghasibu wa Israel wa kupanua vitongoji vya walowezi wa Kizayuni katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.