Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ujerumani

  • Vyama vya Siasa Tunisia vyalaani hatua ya Ujerumani dhidi ya Hizbullah

    Vyama vya Siasa Tunisia vyalaani hatua ya Ujerumani dhidi ya Hizbullah

    May 06, 2020 03:25

    Vyama vitano vya kisiasa nchini Tunisia vimelaani vikali hatua ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Ujerumani ya kuiorodhesha Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon kama kundi la kigaidi.

  • Nasrullah: Tangazo la Ujerumani dhidi ya Hizbullah ni kwa maslahi ya Wazayuni

    Nasrullah: Tangazo la Ujerumani dhidi ya Hizbullah ni kwa maslahi ya Wazayuni

    May 04, 2020 22:18

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon sanjari na kulaani hatua ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Ujerumani ya kuiita harakati hiyo ya muqawama kuwa ni kundi la kigaidi, amesisitiza kuwa serikali ya Berlin imeshindwa kuwasilisha ithibati yoyote ya kuyapa nguvu madai yake hayo.

  • Mshikamano wa muqawama Asia Magharibi dhidi ya uamuzi wa Ujerumani kuhusiana na Hizbullah ya Lebanon

    Mshikamano wa muqawama Asia Magharibi dhidi ya uamuzi wa Ujerumani kuhusiana na Hizbullah ya Lebanon

    May 03, 2020 02:59

    Mhimili wa muqawama katika eneo mla Asia Magharibi umechukua msimamo mmoja wa kulaani hatua ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Ujerumani ya kuiita Hizbullah ya Lebanon kuwa ni kundi la kigaidi.

  • Vyama vya Palestina na Lebanon vyatoa radiamali kufuatia hatua ya Ujerumani dhidi ya Hizbullah

    Vyama vya Palestina na Lebanon vyatoa radiamali kufuatia hatua ya Ujerumani dhidi ya Hizbullah

    May 02, 2020 06:22

    Vyama na makundi tofauti ya Lebanon, Syria na Palestina vimeitaja hatua ya Ujerumani ya kuitangaza Harakati ya Muqawama ya Lebanon Hizbullah kuwa ni kundi la kigaidi ni kusalimu amri kwa njia ya kujidhalilisha nchi hiyo ya Magharibi kwa amri za Marekani na utawala haramu wa Kizayuni.

  • Jihadul-Islami na HAMAS zalaani hatua ya Ujerumani dhidi ya Hizbullah ya Lebanon

    Jihadul-Islami na HAMAS zalaani hatua ya Ujerumani dhidi ya Hizbullah ya Lebanon

    May 01, 2020 23:00

    Harakati ya Jihadul-Islami ya Palestina imelaani hatua ya Ujerumani ya kuiweka Hizbullah ya Lebanon kwenye orodha ya makundi ya kigaidi na kueleza kwamba hatua hiyo inadhihirisha upendeleo na uungaji mkono wa Berlin kwa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel.

  • Oparesheni ya nyuklia ya siri ya Marekani yafichuliwa katika ardhi ya Ujerumani

    Oparesheni ya nyuklia ya siri ya Marekani yafichuliwa katika ardhi ya Ujerumani

    Apr 12, 2020 03:12

    Vyombo vya habari vimeripoti kufichuliwa oparesheni ya siri ya jeshi la Marekani iliyotekelezwa katika msimu wa mapukutiko mwaka uliopita wa 2019 nchini Ujerumani kwa lengo la kuboresha mabomu yake ya nyuklia 20.

  • Wasi wasi wa Umoja wa Ulaya kuhusu kuendelea mapigano nchini Yemen, undumakuwili wa EU

    Wasi wasi wa Umoja wa Ulaya kuhusu kuendelea mapigano nchini Yemen, undumakuwili wa EU

    Apr 01, 2020 05:11

    Tangu mwezi Machi 2015, Saudi Arabia iliunda muungano kwa kushirikiana na Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) na kuanzisha vita vya kidhalimu dhidi ya watu wa Yemen na hadi sasa makumi ya maelfu ya raia wa nchi hiyo wameshauawa shahidi na kujeruhiwa.

  • Corona yawaelemea Wazayuni, waomba msaada kwa Ujerumani, wakataliwa

    Corona yawaelemea Wazayuni, waomba msaada kwa Ujerumani, wakataliwa

    Mar 29, 2020 21:56

    Baada ya wimbi la maambukizi ya corona kuukumba utawala wa Kizayuni wa Israel, viongozi wa utawala huo ghasibu wamekuwa wakihaha kutafuta msaada kila sehemu ikiwemo Ujerumani ambako Kansela wa nchi hiyo Angela Merkel amekataa kuisaidia Israel akisisitiza kuwa Ujerumani yenyewe ina upungufu wa vifaa.

  • Merkel: 60% hadi 70% ya Wajerumani huenda wakakumbwa na Corona

    Merkel: 60% hadi 70% ya Wajerumani huenda wakakumbwa na Corona

    Mar 11, 2020 03:47

    Kansela wa Ujerumani, Angela Merkel amesema yumkini asilimia 60 hadi 70 ya jamii ya nchi hiyo ya Ulaya itaambukizwa virusi vya Corona.

  • Theluthi mbili ya Wajerumani hawataki Angela Merkel awanie tena Ukansela

    Theluthi mbili ya Wajerumani hawataki Angela Merkel awanie tena Ukansela

    Feb 23, 2020 03:45

    Matokeo ya uchunguzi mpya wa maoni uliofanywa nchini Ujerumani yanaonyesha kuwa theluthi mbili ya Wajerumani hawataki Kansela wa nchi hiyo Bi Angela Merkel awanie tena wadhifa huo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS