Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ujerumani

  • Utafiti: Mitazamo hasi dhidi ya Waislamu inaenea kwa kasi Ujerumani

    Utafiti: Mitazamo hasi dhidi ya Waislamu inaenea kwa kasi Ujerumani

    Oct 06, 2022 03:29

    Mitazamo hasi na vitendo vya chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu vimeongezeka kwa kiwango cha kutia wasiwasi nchini Ujerumani.

  • Chama cha Kushoto cha Ujerumani chakosoa hatua ya Berlin ya kuiuzia silaha Saudia

    Chama cha Kushoto cha Ujerumani chakosoa hatua ya Berlin ya kuiuzia silaha Saudia

    Oct 02, 2022 08:37

    Chama cha mrengo wa kushoto cha Ujerumani kimekosoa vikali hatua ya serikali mpya ya muungano ya nchi hiyo ya kutoa leseni ya kuuza silaha kwa serikali ya Saudi Arabia.

  • Mbunge wa Ujerumani: Serikali ya nchi hii ndio 'pumbavu zaidi' barani Ulaya

    Mbunge wa Ujerumani: Serikali ya nchi hii ndio 'pumbavu zaidi' barani Ulaya

    Sep 10, 2022 07:03

    Mwanasiasa wa mrengo wa kushoto nchini Ujerumani ameikosoa vikali serikali ya nchi hiyo kwa kusababisha alichokiita vita 'vibaya' vya kiuchumi dhidi ya Russia.

  • Kuanzisha uchunguzi Polisi ya Ujerumani dhidi ya Rais wa Palestina kuhusiana na Holocaust; undumakuwili mwingine wa Magharibi

    Kuanzisha uchunguzi Polisi ya Ujerumani dhidi ya Rais wa Palestina kuhusiana na Holocaust; undumakuwili mwingine wa Magharibi

    Aug 21, 2022 03:50

    Polisi ya Ujerumani imesema, imeanzisha uchunguzi dhidi ya Mahmoud Abbas, Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina kwa sababu ya kauli aliyotoa kuhusu Holocaust, yaani mauaji ya halaiki ya Wayahudi yanayodaiwa kufanywa na utawala wa Kinazi wa Ujerumani chini ya uongozi wa Adolf Hitler.

  • HAMAS yalaani hatua ya Polisi ya Ujerumani ya kufuatilia kauli ya Abbas kuhusu Holocaust

    HAMAS yalaani hatua ya Polisi ya Ujerumani ya kufuatilia kauli ya Abbas kuhusu Holocaust

    Aug 20, 2022 22:15

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS, imelaani hatua ya maafisa wa Polisi ya Ujerumani ya kuamua kuchunguza matamshi aliyotoa Mahmoud Abbas, Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina na kusisitiza kuwa hatua hiyo inadhihirisha kuwa si kweli kama Berlin haipendelei upande wowote.

  • Mkuu wa Vyuo vya Kiislamu nchini Iran alaani kuvunjiwa  heshima Qur'ani Tukufu Ujerumani

    Mkuu wa Vyuo vya Kiislamu nchini Iran alaani kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu Ujerumani

    Aug 12, 2022 03:39

    Vyuo vya Kiislamu nchini Iran vimelaani vikali kitendo cha kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu huko Hamburg, Ujerumani.

  • Medvedev: Rais wa Ukraine anafuata fikra za Adolf Hitler

    Medvedev: Rais wa Ukraine anafuata fikra za Adolf Hitler

    Aug 09, 2022 20:51

    Rais wa zamani wa Russia amesema fikra, mienendo na misimamo ya Rais wa Ukraine inafanana na ya mtawala wa zamani wa Ujerumani ya Manazi, Adolf Hitler.

  • Iran yalaani kuvunjiwa heshima Qurani, matukufu ya Kiislamu Ujerumani

    Iran yalaani kuvunjiwa heshima Qurani, matukufu ya Kiislamu Ujerumani

    Aug 08, 2022 02:29

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekosoa vikali kitendo cha kichochezi cha kuvunjiwa heshima Qurani Tukufu, na kutusiwa matukufu ya Kiislamu nchini Ujerumani.

  • Marekani yachochea moto, yaiuzuia ndege za kivita Ujerumani wakati huu wa mgogoro na Russia

    Marekani yachochea moto, yaiuzuia ndege za kivita Ujerumani wakati huu wa mgogoro na Russia

    Jul 31, 2022 02:57

    Serikali ya Marekani inaendelea na siasa zake za kuchochea vita kwa kuiuzia Ujerumani ndege za kivita kwa kisingizio cha kukabiliana na Russia katika mgogoro wa Ukraine.

  • Mgomo wa siku moja tu wafuta zaidi ya safari 1,000 za ndege nchini Ujerumani

    Mgomo wa siku moja tu wafuta zaidi ya safari 1,000 za ndege nchini Ujerumani

    Jul 29, 2022 02:30

    Shirika la ndege la Lufthansa la Ujerumani limelazimika kufuta zaidi ya safari elfu moja za ndege kutokana na mgomo wa siku moja wa wafanyakazi wake.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS