-
Watu 155,000 wamefariki dunia kwa virusi vya corona katika nchi za Ulaya
May 13, 2020 13:23Takwimu za vifo vinavyotokana na ugonjwa na Covid-19 zinaonyesha kuwa hadi sasa watu wasiopungua laki moja na elfu 55 wamefariki dunia katika nchi Ulaya kwa ugonjwa huo unaosababishwa na virusi vya corona.
-
Upinzani wa madola ya Ulaya kwa takwa la Marekani la kuongezwa muda wa vikwazo vya silaha dhidi ya Iran
Apr 30, 2020 12:05Moja ya vipengee muhimu katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na azimio nambari 2231 la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa ni kufutwa vikwazo vya silaha dhidi ya Iran baada ya miaka mitano tangu kuanza kutekelezwa makubaliano hayo.
-
Zarif: Marekani na Ulaya haziwezi kuipa mawaidha Iran kuhusu azimio la Baraza la Usalama la UN
Apr 24, 2020 15:03Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, Marekani na Ulaya haziwezi kuipa mawaidha Iran kwa kutumia tafsiri ghalati na isiyo na msingi kuhusu utekelezaji wa azimio nambari 2231 la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.
-
Mawaziri wa Afya wa G20 wakiri: Mfumo wa afya duniani ni dhaifu, wajadili njia za kuuimarisha
Apr 21, 2020 06:09Mawaziri wa Afya wa nchi wanachama katika G20 walioshiriki kwenye mkutano uliofanyika kwa njia ya video wamechunguza athari mbaya za mlipuko wa virusi vya corona na kukiri kwamba, mfumo wa afya duniani ni dhaifu na kwamba mlipuko wa maambukizi ya virusi vya corona umeweka wazi uhakika huo.
-
Maambukizi ya corona Ulaya yapindukia watu milioni moja, vifo Canada vyaongezeka kwa asilimia 12
Apr 20, 2020 03:12Kituo cha Kudhibiti Magonjwa Barani Ulaya kimetangaza kuwa, idadi ya waliokumbwa na ugonjwa wa COVID-19 barani humo imepindukia watu milioni moja.
-
Maambukizi ya corona na kutoweka kwa maadili ya kibinadamu katika nchi za Magharibi
Apr 04, 2020 11:26Baada ya mlipuko wa maambukizi ya virusi vya corona katika pembe mbalimbali za dunia hivi sasa Magharibi hususan nchi za Ulaya na Marekani zimekuwa kitovu kikuu cha maambukizi ya virusi hivyo.
-
Guterres: Mgogoro wa sasa wa virusi vya corona ndio mbaya zaidi duniani tangu baada ya Vita vya Pili vya Dunia
Apr 01, 2020 08:11Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametahadharisha kuwa maambukizi ya sasa ya virusi vya corona ndiyo mgogoro mkubwa zaidi duniani tangu baada ya vita vya Pili vya Dunia.
-
Licha ya kujigamba, Trump aziomba msaada wa vifaa nchi za Asia na Ulaya ili kukabiliana na corona
Mar 26, 2020 08:08Gazeti la The Guardian limefichua kuwa, licha ya lugha ya mbwembwe na majigambo anayotumia Rais Donald Trump wa Marekani kwamba nchi yake haitahitaji msaada wa mataifa ya kigeni, serikali ya Washington imeomba msaada kwa waitifaki wake wa Ulaya na Asia kwa ajili ya kukabiliana na janga la corona.
-
Virusi vya Corona vyazidi kuenea bara Ulaya
Mar 08, 2020 08:13Virusi hatari vya Corona vimeenea kwa kasi kubwa barani Ulaya katika kipindi cha wiki mbili zilizopita na kusababisha maafa makubwa barani humo.
-
Polisi na raia wa Ugiriki wapambana na wahajiri wanaoingia Ulaya
Mar 03, 2020 02:24Polisi na kundi la raia wa Ugiriki wamekabiliana na wahajiri wanaovuka mpaka kuelekea Ulaya.