-
Rais Pezeshkian: Lengo kuu la Iran ni umoja, mshikamano na maelewano katika Umma wa Kiislamu
Sep 16, 2024 06:28Huku akielezea malengo ya safari yake ya siku tatu nchini Iraq, Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Masoud Pezeshkian amesema kuwa: Lengo kuu la serikali ni umoja, mafungamano na maelewano katika Umma mzima wa Kiislamu.
-
Raisi: Waislamu wana wajibu wa kukomesha mauaji ya kimbari ya Israel huko Gaza
Apr 10, 2024 03:37Rais wa Iran, Ebrahim Raisi, amesema ni wajibu wa kibinadamu na kidini kwa nchi za Kiislamu kukomesha mauaji ya kimbari ya miezi kadhaa ya utawala wa Israel dhidi ya Wapalestina huko Gaza.
-
Rais Raisi: Ahul Bayt AS ni siri ya Umoja wa Kiislamu
Sep 01, 2022 10:44Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Ahul Bayt AS- yaani watu wa nyumba ya Mtume Muhammad SAW, ni ufunguo wa Umoja wa Kiislamu na chimbuko la matumaini katika jamii ya mwanadamu.
-
Al Houthi: Uislamu wa Kimarekani ni wa kinafiki
Jul 14, 2018 03:21Katibu Mkuu wa harakati ya Ansurulla nchini Yemen amesema kuwa Uislamu wa Kimarekani, Kisaudia na Kiimarati ni Uislamu wa kinafiki unaopingana na asili ya Uislamu.
-
Alimu mkubwa Tunisia: Fatwa za mamufti wa Kiwahabi, zinalenga kuusambaratisha Uislamu
Apr 11, 2018 04:38Alimu mmoja wa ngazi ya juu wa Kiislamu nchini Tunisia, amesema kuwa fatwa za upotoshaji za mamufti wa Saudia, zinaelekea kuuangamiza umma wa Kiislamu.
-
Iran ni muungaji mkono wa umoja wa umma wa Kiislamu
Mar 17, 2017 03:59Mkuu wa Taasisi ya Wakfu na Mambo ya Kheri ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, siasa kuu za Tehran ni kupigania umoja na mshikamano katika umma wa Kiislamu.
-
Kongamano la Umoja wa Umma wa Kiislamu la kukabiliana na utakfiri lafanyika Iran
Feb 26, 2017 04:32Kongamano la sita la "Umoja wa Umma wa kiislamu Katika Kukabiliana na Utakfiri" lilifanyika jana Jumamosi katika mji wa Bojnord kaskazini mashariki mwa Iran na kuhudhuriwa na mamia ya wasomi wa madhehebu ya Kishia na Kisuni.
-
Harakati ya Ansarullah ya Yemen: Marekani na Israel ndio maadui wa Umma wa Kiislamu
Dec 17, 2016 16:42Serikali ya Wokovu wa Kitaifa ya Yemen imesisitiza juu ya udharura wa kutumiwa mafundisho ya Bwana Mtume (saw) kwa ajili ya kukabiliana na Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel tawala mbazo ni maadui wa Umma wa Kiislamu.
-
Siku ya Kimataifa ya Quds; Siku ya Mwamko wa Umma wa Kiislamu
Jun 26, 2016 15:54Ijumaa ya mwisho ya mwezi mtukufu wa Ramadhani ni Siku ya Kimataifa ya Quds. Hiyo ni siku ya mwamko wa Umma wa Kiislamu mbele ya dhulma, ukandamizaji na utumiaji mabavu wa mababeru.