-
Msemaji wa al Qassam asema Iran ni safu ya mbele ya kutetea Umma wa Kiislamu
Mar 22, 2026 03:48Msemaji wa tawi la kijeshi la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amepongeza mashambulizi ya makombora ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran dhidi ya maeneo mbalimbali ya utawala ghasibu wa Israel.
-
Rais Pezeshkian: Lengo kuu la Iran ni umoja, mshikamano na maelewano katika Umma wa Kiislamu
Sep 16, 2024 02:58Huku akielezea malengo ya safari yake ya siku tatu nchini Iraq, Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Masoud Pezeshkian amesema kuwa: Lengo kuu la serikali ni umoja, mafungamano na maelewano katika Umma mzima wa Kiislamu.
-
Raisi: Waislamu wana wajibu wa kukomesha mauaji ya kimbari ya Israel huko Gaza
Apr 10, 2024 00:07Rais wa Iran, Ebrahim Raisi, amesema ni wajibu wa kibinadamu na kidini kwa nchi za Kiislamu kukomesha mauaji ya kimbari ya miezi kadhaa ya utawala wa Israel dhidi ya Wapalestina huko Gaza.
-
Rais Raisi: Ahul Bayt AS ni siri ya Umoja wa Kiislamu
Sep 01, 2022 06:14Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Ahul Bayt AS- yaani watu wa nyumba ya Mtume Muhammad SAW, ni ufunguo wa Umoja wa Kiislamu na chimbuko la matumaini katika jamii ya mwanadamu.
-
Al Houthi: Uislamu wa Kimarekani ni wa kinafiki
Jul 13, 2018 22:51Katibu Mkuu wa harakati ya Ansurulla nchini Yemen amesema kuwa Uislamu wa Kimarekani, Kisaudia na Kiimarati ni Uislamu wa kinafiki unaopingana na asili ya Uislamu.
-
Alimu mkubwa Tunisia: Fatwa za mamufti wa Kiwahabi, zinalenga kuusambaratisha Uislamu
Apr 11, 2018 00:08Alimu mmoja wa ngazi ya juu wa Kiislamu nchini Tunisia, amesema kuwa fatwa za upotoshaji za mamufti wa Saudia, zinaelekea kuuangamiza umma wa Kiislamu.
-
Iran ni muungaji mkono wa umoja wa umma wa Kiislamu
Mar 17, 2017 00:29Mkuu wa Taasisi ya Wakfu na Mambo ya Kheri ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, siasa kuu za Tehran ni kupigania umoja na mshikamano katika umma wa Kiislamu.
-
Kongamano la Umoja wa Umma wa Kiislamu la kukabiliana na utakfiri lafanyika Iran
Feb 26, 2017 01:02Kongamano la sita la "Umoja wa Umma wa kiislamu Katika Kukabiliana na Utakfiri" lilifanyika jana Jumamosi katika mji wa Bojnord kaskazini mashariki mwa Iran na kuhudhuriwa na mamia ya wasomi wa madhehebu ya Kishia na Kisuni.
-
Harakati ya Ansarullah ya Yemen: Marekani na Israel ndio maadui wa Umma wa Kiislamu
Dec 17, 2016 13:12Serikali ya Wokovu wa Kitaifa ya Yemen imesisitiza juu ya udharura wa kutumiwa mafundisho ya Bwana Mtume (saw) kwa ajili ya kukabiliana na Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel tawala mbazo ni maadui wa Umma wa Kiislamu.
-
Siku ya Kimataifa ya Quds; Siku ya Mwamko wa Umma wa Kiislamu
Jun 26, 2016 11:24Ijumaa ya mwisho ya mwezi mtukufu wa Ramadhani ni Siku ya Kimataifa ya Quds. Hiyo ni siku ya mwamko wa Umma wa Kiislamu mbele ya dhulma, ukandamizaji na utumiaji mabavu wa mababeru.