-
UN yakosoa tena jinai za utawala ghasibu wa Israel
Jan 28, 2016 04:06Umoja wa Mataifa umesisitiza tena misimamo yake kuhusu jinai zinazofanywa na utawala ghasibu wa Israel dhidi ya wananchi wa Palestina siku moja baad aya utawala huo kupinga matamshi ya Katibu Mkuu wa umoja huo ddhidi ya mienendo ya Israel.
-
Ban atoa wito wa kuzuiwa hujuma dhidi ya Uislamu
Jan 28, 2016 03:50Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema kwamba vitendo vya hujuma dhidi ya wageni, propaganda chafu dhidi ya Uislamu na mivutano ya kikaumu na kimadhehebu vimeongeseka kote duniani na kuogeza kuwa kutolewa elimu sahihi ndiyo ufunguo wa matatizo hayo yote.
-
Iran: Kuendelea jinai za Israel ni natija ya kutokuwa na uwezo Baraza la Usalama
Jan 27, 2016 10:16Naibu Mwakilishi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa kuendelea jinai za utawala wa Israel katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu ni kutokuwa na uwezo Baraza la Usalama katika kutekeleza wadhifa wake.