-
Katibu Mkuu wa UN azitaka nchi zilizoendelea kutimiza ahadi zao kuhusu hali ya hewa
Sep 14, 2022 21:57Shirika la hali ya hewa duniani Jumanne hii lilizindua ripoti ya kutisha iliyotolewa na mashirika mengi kuhusu majanga ya hali ya hewa katika maeneo mbalimbali duniani; ambapo Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ametoa wito wa kuchukuliwa hatua za haraka katika uwanja huo.
-
Kikao cha kimataifa cha Berlin kuhusu Libya na suala zima la uchaguzi mkuu
Sep 11, 2022 04:52Nchi zilizoshiriki katika katika kikao cha kimataifa cha Berlin kuhusu Libya zimesisitiza kuwa, uchaguzi ndiyo njia pekee ya utatuzi wa mgogoro wa nchi hiyo. Kikao hicho cha siku mbili kimehudhuriwa pia na wawakilishi kutoka Umoja wa Mataifa, Umoja wa Ulaya, Ufaransa, Uingereza, Marekani, Uturuki, Italia, Ujerumani na Misri.
-
Kuchaguliwa Kamishna Mkuu mpya wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa
Sep 10, 2022 21:55Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa limepasisha kuteuliwa bwana Volker Turk mwanadiplomasia wa Austria mwenye uzoefu wa muda mrefu ndani ya Umoja wa Mataifa kuchukua nafasi iliyokuwa ikishikiliwa na mtangulizi wake Michelle Bachelet ya Kamishna Mkuu wa umoja huo.
-
Russia yasisitiza kuhamishwa makao makuu ya Umoja wa Mataifa kutoka New York
Sep 05, 2022 03:04Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia imesisitiza kuwa Moscow inazingatia kikamilifu pendekezo la kuhamisha makao makuu ya Umoja wa Mataifa kutoka Marekani hadi sehemu nyingine.
-
UN yaitaka Marekani izipe fidia familia za wahanga wa utumwa
Sep 01, 2022 03:01Umoja wa Mataifa umetoa mwito kwa Marekani kuanza mchakato wa kutoa fidia kwa vizazi vya wahanga wa utumwa.
-
Hofu ya UN juu ya mgogoro wa kisiasa nchini Libya
Aug 31, 2022 02:42Mkuu wa Siasa wa Umoja wa Mataifa ameonya kuwa, kutotatuliwa mgogoro wa kisiasa wa Libya na kutofanyika uchaguzi uliocheleweshwa ni tishio kwa hali ya mambo katika nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Takwa la Umoja wa Mataifa la kuungwa mkono wakimbizi Waislamu wa Rohingya
Aug 27, 2022 07:50Mjumbe Maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametoa mwito kwa jamii ya kimataifa kuwasaidia kwa hali na mali wakimbizi Waislamu wa Rohingya walioko nchini Bangladesh.
-
UN yataka dunia iwasaidie wakimbizi Waislamu wa Rohingya
Aug 26, 2022 02:55Mjumbe Maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametoa mwito kwa jamii ya kimataifa kuwasaidia kwa hali na mali wakimbizi Waislamu wa Rohingya walioko nchini Bangladesh.
-
UN yalaani kufungwa jela miaka 34 mwanaharakati mwanamke Saudia
Aug 21, 2022 23:55Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa limekosoa hatua ya watawala wa Saudi Arabia ya kumpa hukumu nzito mwanaharakati mwanamke kutokana na ujumbe wake wa Twitter.
-
WFP: Njaa inatishia maisha ya watu milioni 22 barani Afrika
Aug 21, 2022 02:28Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani WFP limessema kuwa hivi sasa watu milioni 22 barani Afrika wako kwenye hatari ya kupoteza maisha kutokana na baa la njaa.