-
UN: Utumwa mamboleo umekita mizizi kote duniani
Aug 18, 2022 23:34Ripota maalumu wa Umoja wa Mataifa ametahadharisha kuhusiana na kuongezeka maafa ya utumwa mamboleo katika maeneo mbalimbali duniani.
-
UN: Tunahitaji dola milioni 73 kuwasaidia kwa chakula wakimbizi wa ndani Ethiopia
Aug 10, 2022 03:33Mashirika mawili ya Umoja wa Mataifa na serikali ya Ethiopia wametoa ombi la kupatiwa dola milioni 73 ili kuweza kuendelea na utoaji msaada wa chakula kwa wakimbizi 750,000 walioko nchini humo katika kipindi cha miezi sita ijayo.
-
Wataalamu wa UN: Askari 'wazungu' walihusika na mauaji ya raia 33 Mali
Aug 06, 2022 06:26Wataalamu wa Umoja wa Mataifa wamesema vikosi vya jeshi la Mali vilishirikiana na 'askari wazungu' katika operesheni iliyopelekea makumi ya raia kuuawa karibu na mpaka wa Mauritania mnamo Machi mwaka huu.
-
Wataalamu wa UN: Rwanda inawaunga mkono waasi wa M23 Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
Aug 05, 2022 03:43Vikosi vya jeshi la Rwanda viliwashambulia askari ndani ya ardhi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na vililisaidia na kulipatia na silaha kundi la waasi wa M23.
-
UN yasikitishwa na hatua ya DRC kumtimua msemaji wa MONUSCO
Aug 04, 2022 20:44Umoja wa Mataifa umekosoa vikali hatua ya serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ya kumfukuza nchini humo msemaji wa kikosi cha kulinda amani cha Umoja wa Mataifa MONUSCO.
-
UN: Teknolojia ya intaneti inatumiwa vibaya katika Usafrishaji Haramu wa Binadamu
Jul 31, 2022 07:04Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema, migogoro, janga la tabianchi, ukosefu wa usawa na umasikini huwaacha mamilioni ya watu katika hatari ya wahalifu wanaotumia vibaya mtandao kuwahadaa waathiriwa wa Usafirishaji Haramu wa Binadamu kwa ahadi za uwongo.
-
Waandamanaji DRC wavamia ofisi za UN, wataka kuondoka askari wa MONUSCO
Jul 25, 2022 23:05Wananchi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wameshambulia makao makuu ya kikosi cha kulinda amani cha Umoja wa Mataifa nchini humo MONUSCO katika mji wa Goma, makao makuu ya mkoa uliogubikwa na machafuko wa Kivu Kaskazini ambao unapakana na Rwanda na Uganda.
-
Kusainiwa mkataba wa mauzo ya nafaka kutoka Ukraine, mwanzo wa kutatua mgogoro wa chakula duniani
Jul 23, 2022 06:42Jana Ijumaa, Ukraine, Uturuki na Umoja wa Mataifa zilitia saini makubaliano ya kutatua mgogoro wa nafaka duniani. Mkataba huo ulitiwa saini kati ya Oleksandr Kubrakov, Waziri wa Miundombinu wa Ukraine, Kholusi Akar Waziri wa Ulinzi wa Uturuki, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres na Waziri wa Ulinzi wa Russia Sergei Shoigu.
-
Mgogoro wa chakula ulimwenguni kupungua baada ya Russia, Ukraine kusaini mapatano ya nafaka
Jul 23, 2022 02:23Russia na Ukraine zimesaini mapatano pamoja na Umoja wa Mataifa na Uturuki kuhusu kuanza tena usafirishaji wa nafaka huku kukiwa na matumaini kuwa makubaliano hayo yatapunguza shida ya chakula ulimwenguni.
-
Mali yamtimua msemaji wa kikosi cha UN nchini humo, MINUSMA
Jul 21, 2022 06:31Mali imemfukuza msemaji wa kikosi cha kulinda amani cha Umoja wa Mataifa nchini humo (MINUSMA), huku uhusiano baina ya Bamako na UN ukizidi kuharibika.