Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Ulaya

  • Vifo na wasiwasi wa wakimbizi katika safari ya kuelekea Ulaya

    Vifo na wasiwasi wa wakimbizi katika safari ya kuelekea Ulaya

    Dec 30, 2021 23:19

    Huku mizozo ya kisiasa na kiuchumi ikiendelea kupanuka Asia Magharibi na katika nchi nyingi za Afrika, wimbi la watu wanaotafuta hifadhi na wakimbizi barani Ulaya linaendelea kwa kasi kubwa.

  • Borell asisitiza ushirikiano wa masharti kati ya Brussels na Taliban

    Borell asisitiza ushirikiano wa masharti kati ya Brussels na Taliban

    Dec 15, 2021 03:53

    Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya amesema kuwa udharura wa kuwepo ushirikiana na kundi la Taliban lakini ushirikiano huo unapaswa kufanyika kwa masharti.

  • Umoja wa Ulaya: Hatutaitambua serikali ya Taliban Afghanistan

    Umoja wa Ulaya: Hatutaitambua serikali ya Taliban Afghanistan

    Nov 28, 2021 04:32

    Mkuu wa Kamisheni ya Umoja wa Ulaya amesisitiza kuwa umoja huo hautaitambua serikali ya kundi la Taliban inayotawala nchini Afghanistan.

  • Afrika Kusini yaikosoa UK kwa kusimamisha safari za ndege, kisa spishi mpya ya corona

    Afrika Kusini yaikosoa UK kwa kusimamisha safari za ndege, kisa spishi mpya ya corona

    Nov 27, 2021 01:08

    Afrika Kusini imeikosoa vikali serikali ya Uingereza kwa kupiga marufuku raia wa hiyo pamoja na nchi za Botswana, Namibia, Zimbabwe, Lesotho na Eswatini kuingia katika nchi hiyo ya Ulaya, kufuatia kugunduliwa spishi mpya ya corona kwa jina B.1.1.529 katika nchi hiyo ya kusini mwa Afrika.

  • Umoja wa Mataifa wakosoa vitendo vya mabavu vya nchi za Ulaya dhidi ya wakimbizi

    Umoja wa Mataifa wakosoa vitendo vya mabavu vya nchi za Ulaya dhidi ya wakimbizi

    Nov 13, 2021 08:19

    Akizungumza katika bunge la Ulaya Filippo Grandi Kamishna Mkuu wa Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR amekosoa vitendo vya mabavu na ukandamizaji wa Umoja wa Ulaya dhidi ya wakimbizi na kusisitiza kuwa siku zote na mara kwa mara tunashuhudia raia wanaotafuta hifadhi barani Ulaya wakifukuzwa kwa mabavu na visingizio vya kisheria kutumika katika kuwanyima hifadhi raia hao.

  • Kupamba moto mgogoro wa wakimbizi barani Ulaya

    Kupamba moto mgogoro wa wakimbizi barani Ulaya

    Nov 11, 2021 07:10

    Kwa mara nyingine tena, wimbi la wakimbizi wanaomiminika kwenye mipaka ya nchi za Ulaya limeongezeka na kuwa mgogoro mkubwa. Nchi za Ulaya zimeamua kufunga mipaka yao ili kukabiliana na wimbi kubwa la wakimbizi wapya.

  • Mtaalamu wa WHO: Ulaya inaweza kukumbwa na vifo vingine vya corona laki tano

    Mtaalamu wa WHO: Ulaya inaweza kukumbwa na vifo vingine vya corona laki tano

    Nov 04, 2021 20:25

    Kiwango cha sasa cha maambukizi ya corona barani Ulaya kinatia wasiwasi mkubwa na bara hilo linaweza kukumbwa na vifo vingine laki tano vya corona ifikapo mapema mwakani. Hayo yameelezwa na Mkurugenzi wa WHO barani Ulaya.

  • Kukosoa Uturuki utendaji wa Umoja wa Ulaya ulio dhidi ya Uislamu

    Kukosoa Uturuki utendaji wa Umoja wa Ulaya ulio dhidi ya Uislamu

    Nov 04, 2021 20:23

    Ukosoaji mtawalia wa viongozi wa Uturuki dhidi ya Umoja wa Ulaya hususan sera za chuki dhidi ya Uislamu za umoja huo, zinapaswa kutathminiwa kama juhudi za Ankara za kukabiliana na sera za madola ya Magharibi dhidi ya serikali ya Rais Recep Tayyip Erdogan na kuimarisha wenzo wa kuishinikiza jumuiya hiyo ya Ulaya.

  • Madai ya Ufaransa kuhusu miradi ya nyuklia ya Iran, kuendelezwa sera za kindumakuwili za Ulaya

    Madai ya Ufaransa kuhusu miradi ya nyuklia ya Iran, kuendelezwa sera za kindumakuwili za Ulaya

    Oct 23, 2021 22:55

    Sambamba na mkutano wa Ijumaa ya wiki hii baina ya wawakilishi wa Marekani na nchi za Ulaya uliofanyika mjini Paris, Ufaransa imeitaka Iran ipunguze shughuli zake za kuzalisha nishati ya nyuklia.

  • Ungamo la Josep Borrell la kupungua ushawishi wa Umoja wa Ulaya

    Ungamo la Josep Borrell la kupungua ushawishi wa Umoja wa Ulaya

    Oct 12, 2021 08:32

    Hatua ya Umoja wa Ulaya ya kuifuata kibubusa Marekani imeitilia alama ya swali utendaji na mamlaka ya uchukuaji maamuzi ya umoja huo katika medani za kimataifa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS